Ukweli mchungu: Mayele bado ana miss kitu kimoja kikubwa sana!! Ndicho kinacho fanya Kibu Dennis aonekane bora kuliko Mayele

Ukweli mchungu: Mayele bado ana miss kitu kimoja kikubwa sana!! Ndicho kinacho fanya Kibu Dennis aonekane bora kuliko Mayele

Makolo kumejaa mataahira,huyo Kibu mlinganishe na Ambundo
 
Hii nyundo nzito sana kwa wachungaji wa Ng'ombe, unastahiki kuwekewa ulinzi mkuu..!
 
huyo kibu kafunga hat trick mech ngapi kati ya hizo alizocheza
 
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
Kupata vichekesho Kama hivi Tuma meseji LIKUD kwenda 354409 kwa mitandao yote.
 
Vinara wa Assists ligi kuu !

1. 🎯 05 = Jesus Moloko

2. 🎯 04 = Abubakar Ngalema
....🎯 04 = Christian Zigah
....🎯 04 = Djuma Shabani
....🎯 04 = Feisal Salum
....🎯 04 = Pius Buswita
....🎯 04 = Reliants Lusajo
....🎯 04 = Tepsie Evans
....🎯 04 = Ntibazonkiza
.
.
Vinara wa magoli ligi kuu !

1. ⚽ 13 🎯 03 = Fiston Mayele
....⚽ 13 🎯 03 = George Mpole

2. ⚽ 10 🎯 04 = Reliants Lusajo
3. ⚽ 08 🎯 02 = Rodgers Kola
4. ⚽ 07 🎯 04 = Ntibazonkiza

5. ⚽ 07 🎯 03 = Abdul Sopu
....⚽ 07 🎯 03 = Matheo Anthony
....⚽ 07 🎯 02 = Anuar Jabir
....⚽ 07 🎯 01 = Medie Kagere
Weka Kibu hapo kwa Kola wa Azam .... Si tumeambiwa ana goli nane.
 
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
Kibu goli 8 kazitoa wapi mkuu?? Mbona unaleta uongo kwa watu welevu??
 
Unafanya mchezo na Mayele wewe! Shida kubwa anayoipitia Mayele ni kukamiwa na wapinzani wote hivyo hiyo njaa unayoisema si lelemama!
Hakuna Cha kukamiwa mkuu , straika ni straika tu.Straika bora na mwenye njaa atafunga ktk mazingira yyte yale. Hakuna mechi rahisi, hakuna beki watacheza laini laini wakati wanajua yuko pale kwa ajili ya kuwafunga.

Ligi Ni ngumu na msimu ujao itazidi kuwa ngumu hasa. Hivyo huwezi kuja na kigezo cha kukamiwa.

Huwezi kupata nafasi za wazi uko na kipa hufungi halafu useme umekamiwa. Ndiyo njaa inayozungumzwa hapa. Straika bora na wa maana anafunga ktk mazingira yyte yale.
 
Tukumbushane kidogo Simba 1:0 Mbeya kwanza
Yanga 4:0 Mbeya kwanza.
 
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa striker anaehitajika katika mpira wa sasa hivi. Mayele huwa anakuwa na njaa kali sana akiwa hajafunga goli lakini akisha funga tu anakuwa hana njaa tena ndio maana anaweza kufunga goli moja na akakosa magoli mengine ya wazi manne au hata zaidi ya hapo.

Kwa mfano kwenye mechi nyepesi kama ya Yanga vs Mbeya Kwanza kwa fowadi mwenye uchu , kiu na njaa ya magoli kama Kibu Dennis angeweza kupiga hat trick bila wasiwasi wowote lakini hilo haliwezekani kwa Mayele kwa sababu hana njaa.

Meddie Kagere wakati wa ufalme wake alikuwa na njaa ya magoli ndio maana alikuwa anafunga magoli matatu au mawili karibu kila mechi nyepesi na mastraika wote duniani wanao ongozaka kwa wingi wa magoli huwa wanafunga magoli mengi kwenye mechi nyepesi " Score more goals in all easy game"

Kibu Dennis ana magoli manane ( ya kwenye ligi ) na alikuwa majeruhi plus bench kwa muda mrefu, hajacheza zaidi ya nusu za mechi z a Simba walizo cheza. Kama Kibu angecheza mechi zote kama alivyo cheza Mayele pengine sasa hivi angekuwa na goli 18 +.

It is high time now benchi a ufundi la Yanga waanze kumtrain Mayele kuwa na njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja sio unafunga kagoli kamoja tu unaridhika then unawekwa benchi.

Hata Makambo kwangu mimi ni bora kuliko Mayele kwa sababu ana njaa ya kufunga magoli mengi ndani ya mechi moja., Amesha fanya hivyo kwa kupiga hat trick kwenye FA. Tunataka kuwa na fowadi mwenye mentality ya aina hii.

Kwenye kikosi changu ukiniambia nimpange Kibu au Mayele nitaenda na Kibu without a doubt.

# Mimi ni mwanacha wa klabu ya Yanga, amabe nimekuwa disappointed na Mayele kuridhika baada ya kufunga goli moja kwenye mechi ya jana.
Unapitia maumivu makali yaliopitiliza, umeshindwa kustahmili, akili imekuruka kama nguo yako ya utotoni, huelewi unamzungumzia mayele au unamkingia kifua Kibu,umejibu hoja ambazo hujaulizw ,Kuna memba yyte alietaka kujua diagnosis y majeraha ya Kibu.Chagua moja shekh aidha usherehekee ubingwa au uwapongeze mambingwa.Full stop
 
Ulisema kweli
Kibudenga ana magoli 27 wakati mayele hajafunga tangu ligi ianze
 
Back
Top Bottom