Ukweli mchungu na sababu za kusimamishwa kwa Chama jr

Ukweli mchungu na sababu za kusimamishwa kwa Chama jr

Chama ana dharau sana, Hana LA maana halafu anajiona Iniesta.

Mbona Kuna wachezaji wakubwa walipita kwa heshima zao?

Waachane naye!
Viongozii wapo tayari ila chama ametega mtego wa kuvunjiwa mkataba apewe Pesa nyingi...hapo ndio kuna ugumu kwa viongozi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Method Mogella "fundi" alikuwa anacheza 6 mkuu,Said Mwamba baada ya kucheza straiker kwa muda mrefu baadae sana mwaka 1998 ndio alicheza 5 kwenye mashindano ya Afrika Mashariki na Kati kule Uganda,hata Hussein Marsha naye baada kucheza kiungo kwa muda mrefu aliishia kucheza 5 tena kwa kiwango cha juu mno

Medhod Alicheza Simba nambari tano, Saba halafu nane akibadilishana na gaga. mda mrefu alicheza 5 siyo Sita. Sita ilichezwa na wengi akina bakri iddy, iddy selemani, ramadhani lenny maufi. Nico bambaga na Hussein MASHA ambaye baadae alienda namba nane baada Juma Amir kuondoka Simba.

Hata mechi ya mwisho kuchezea Simba, ambapo tayr tetesi za Method kuhamia Yanga zili trend, Method alikuwa akizomewa na kusukumwa na mashabiki aende zake Yanga, mechi hiyo ilikuwa Simba na Reli ambapo Simba ilipigwa 2 kwa moja. Simba iliongoza reli ikachomoa na kupiga mbili kupitia David Mihambo na Mwanamtwa ambao wote baadae walikuja kuhamia Simba.

Kwa Saidi Mwamba upo sahihi kama nilivyosema kuanza kucheza namb 5 Uganda kipindi cha mashindano ya africa mashariki
 
Habari za jioni wakereketwa wa kabumbu.

Ebwana kutoka kwenye chanzo cha ndani kabisa na kwa mtu Makini na kiongozi wa Simba ambaye ni miaka 4 sasa anafanya kazi Simba amenipa dondoo nne za kusimamishwa kwa mwamba wa Lusaka.
1- Chama aliuomba uongozi kuvunja mkataba wake mwenyewe ili abadilishe mazingira (akadhani uongozi utamgomea) lakini uongozi wa simba ulikuwa tayari umesharidhia na ombi lake hapa chama alipigwa na butwaa kwani kuvunja mkataba wake ni Pesa ndefu Sana...

2-Kwa wale ambao waliwai kufika uwanjani siku ile Simba anacheza na waydad Casablanca, muda wa warming up chama alimuomba jamaa flani hivi mpira punde si punde kocha wa viungo aliwaita wachezaji wote ili waendelee na program cha ajabu chama hakutaka kuenda kwenye program ya kocha wa viungo ananga'nga'nia apewe mpira na yule jamaa akamkazia kumpa mpira....hii ilipelekea chama kukasirika sana mpaka matola kumsihi zaidi ya mara tatu chama akafanye mazoezi na wenzake(walio kuwepo uwanjani waliona hili tukio live).

3- Chama hataki kamwe kuwa mbadala wa mchezaji yeyote pale Simba anataka aanze kupangwa yeye hataki kuingia akitokea SUB,katika hili chama ashajiona yeye ni Ronaldo pale Simba kwamba kumuweka benchi ni dharau na kumkosea heshima.

4-Chama aligomea tena mazoezi ya viungo Jana hii ilimkasirisha Sana kocha Benchika na rasmi akamtoa kwenye mipango yake.

Hatahivyo chama ajitumi mazoezini , ajishughulishi na amejisahau kwamba hakuna mkubwa katika timu.

Tutegemee mawili katika maamuzi ya kikao cha kamati ya nidhamu
1-Chama kutakiwa Kila khery Simba.

2- Au kupumzishwa mechi sita zote za mashindano ya ndani na nje.

Hizi ni habari za kweli kabisa achana na wazee wa udaku.

Namimi kama Abby.
Chambuzi genius.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Vingi ulivyoviandika ni vitu vya kizushi na kufikirika. Kwa mfano.

1. Mchezaji kuomba kuvunja mkataba wake inakuwaje kuwa ni kosa la kinidhamu?

2. Mchezaji agomee mazoezi inakuwaje bado awe anapangwa kila mechi?

3. Mchezaji akosane na kocha wake inakuwaje bado kocha huyo huyo ahakikishe ana mpanga kila mechi?
 
Viongozii wapo tayari ila chama ametega mtego wa kuvunjiwa mkataba apewe Pesa nyingi...hapo ndio kuna ugumu kwa viongozi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hii nayo ni fix tu. Hakuna ukweli hapo.
Mchezaji anapotaka yeye kuvunja mkataba haiwezekani tena yeye huyo huyo ashinikize kulipwa pesa. Anayetaka kuvunja mkataba ndio anawajibika kulipa fidia au kupoteza haki za maslahi yake na sio tofauti.
 
Vingi ulivyoviandika ni vitu vya kizushi na kufikirika. Kwa mfano.

1. Mchezaji kuomba kuvunja mkataba wake inakuwaje kuwa ni kosa la kinidhamu?

2. Mchezaji agomee mazoezi inakuwaje bado awe anapangwa kila mechi?

3. Mchezaji akosane na kocha wake inakuwaje bado kocha huyo huyo ahakikishe ana mpanga kila mechi?
Mkuu chama ameomba kuvunja mkataba mwenyewe hii ipowazi

2- hii imetokea Ile siku ya mechi ya waydad na haina shaka katika ilo wewe ndio hukuona ujeri wa chama

3- baada ya kugomea mazoezi ya viungo kocha wa viungo alimfata baadae kumwambia utovu wa nidhamu wa chama....pia nikwambe usichokijua kama saido asingekuwa na Kadi tatu za njano chama asingeanza mechi Ile na asingecheza kabisa

Siongei udaku mkuu it's real

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hii nayo ni fix tu. Hakuna ukweli hapo.
Mchezaji anapotaka yeye kuvunja mkataba haiwezekani tena yeye huyo huyo ashinikize kulipwa pesa. Anayetaka kuvunja mkataba ndio anawajibika kulipa fidia au kupoteza haki za maslahi yake na sio tofauti.
Jitahidi uwe unasomea vizuri mkuu naona ujaelewa kabs..

Ipo hivi mchezaji anapoomba kuvunja mkataba kama timu inaona wa muhimu lazima imtulize ili achane na hiyo dhamira kwamaana wambembeleze kama alivyofanya akidhan watambembeleza tahamaki wakamkubali kwamba avunje ila asubir msimu wa dirisha kubwa hapo ndipo chama alipoanza vituko

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Habari za jioni wakereketwa wa kabumbu.

Ebwana kutoka kwenye chanzo cha ndani kabisa na kwa mtu Makini na kiongozi wa Simba ambaye ni miaka 4 sasa anafanya kazi Simba amenipa dondoo nne za kusimamishwa kwa mwamba wa Lusaka.
1- Chama aliuomba uongozi kuvunja mkataba wake mwenyewe ili abadilishe mazingira (akadhani uongozi utamgomea) lakini uongozi wa simba ulikuwa tayari umesharidhia na ombi lake hapa chama alipigwa na butwaa kwani kuvunja mkataba wake ni Pesa ndefu Sana...

2-Kwa wale ambao waliwai kufika uwanjani siku ile Simba anacheza na waydad Casablanca, muda wa warming up chama alimuomba jamaa flani hivi mpira punde si punde kocha wa viungo aliwaita wachezaji wote ili waendelee na program cha ajabu chama hakutaka kuenda kwenye program ya kocha wa viungo ananga'nga'nia apewe mpira na yule jamaa akamkazia kumpa mpira....hii ilipelekea chama kukasirika sana mpaka matola kumsihi zaidi ya mara tatu chama akafanye mazoezi na wenzake(walio kuwepo uwanjani waliona hili tukio live).

3- Chama hataki kamwe kuwa mbadala wa mchezaji yeyote pale Simba anataka aanze kupangwa yeye hataki kuingia akitokea SUB,katika hili chama ashajiona yeye ni Ronaldo pale Simba kwamba kumuweka benchi ni dharau na kumkosea heshima.

4-Chama aligomea tena mazoezi ya viungo Jana hii ilimkasirisha Sana kocha Benchika na rasmi akamtoa kwenye mipango yake.

Hatahivyo chama ajitumi mazoezini , ajishughulishi na amejisahau kwamba hakuna mkubwa katika timu.

Tutegemee mawili katika maamuzi ya kikao cha kamati ya nidhamu
1-Chama kutakiwa Kila khery Simba.

2- Au kupumzishwa mechi sita zote za mashindano ya ndani na nje.

Hizi ni habari za kweli kabisa achana na wazee wa udaku.

Namimi kama Abby.
Chambuzi genius.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kiukweli CHAMA kama Simba kachez Sana, nasi tunamshukuru.... Hakutakiwa kumaliza vibaya hapo kajidanganya nasi tuko tayari aende hata Yanga kwani yeye sio wa kwanza walikuwepo kina Morison Leo wako wap?

Aende anakotaka, umri ushamkimbia halafu anatuletea zengwezengwe huyu Mzambia Wala sio mtaanzania... Wana Mbeya tupo tayari kumpokea Airport Songwe na kumsindikiza mpaka Tunduma!
 
Kiukweli CHAMA kama Simba kachez Sana, nasi tunamshukuru.... Hakutakiwa kumaliza vibaya hapo kajidanganya nasi tuko tayari aende hata Yanga kwani yeye sio wa kwanza walikuwepo kina Morison Leo wako wap?

Aende anakotaka, umri ushamkimbia halafu anatuletea zengwezengwe huyu Mzambia Wala sio mtaanzania... Wana Mbeya tupo tayari kumpokea Airport Songwe na kumsindikiza mpaka Tunduma!
Anajivunia na historia insha'Allah kikao kitaamua vyema

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Medhod Alicheza Simba nambari tano, Saba halafu nane akibadilishana na gaga. mda mrefu alicheza 5 siyo Sita. Sita ilichezwa na wengi akina bakri iddy, iddy selemani, ramadhani lenny maufi. Nico bambaga na Hussein MASHA ambaye baadae alienda namba nane baada Juma Amir kuondoka Simba.

Hata mechi ya mwisho kuchezea Simba, ambapo tayr tetesi za Method kuhamia Yanga zili trend, Method alikuwa akizomewa na kusukumwa na mashabiki aende zake Yanga, mechi hiyo ilikuwa Simba na Reli ambapo Simba ilipigwa 2 kwa moja. Simba iliongoza reli ikachomoa na kupiga mbili kupitia David Mihambo na Mwanamtwa ambao wote baadae walikuja kuhamia Simba.

Kwa Saidi Mwamba upo sahihi kama nilivyosema kuanza kucheza namb 5 Uganda kipindi cha mashindano ya africa mashariki
Kama unasema Method alicheza Simba namba 5 basi huenda umemuona akicheza mwishoni mwa carrier yake pale Msimbazi, nakumbuka kwenye mechi dhidi ya Yanga mwaka 1990 Yanga alivyofungwa 1-0 kwa goli la faulo ya mbali la Mavumbi Omari, Method alicheza no 6 huku Gaga akicheza 8,wakati huo hao uliowataja hawakuwepo Simba isipokuwa Lenny aliyekuwa anakuja na kuondoka Simba (maana kuna kipindi alikuwa anaenda kucheza Uarabuni na wachezaji wengine kama Idd Pazi),Ingawa Method alikuwa kiraka anayeweza kucheza namba zote isipokuwa kipa,no 6 ndiyo ilimtambulisha tangu akiwa Umiseta Kanda ya kusini (wakati huo akisoma Mtwara Tech) hadi alivyoenda Arusha Tech pia ambapo akiwa Arusha alicheza AICC na huko alikuwa akicheza no 6, Method Mogella alikuwa kiungo mwenye ball control ya hali juu sana,alipohamia Yanga ndio nikamwona akicheza no 5 but unapotaja jina Method Mogella picha ya kwanza inayokujia ni kiungo na sio beki wa zamani.Wengi hawajui kuwa kuwa Method Mogella ndiye mchezaji mahiri aliyecheza Simba huku akiwa ni shabiki lialia wa Yanga huku Thomas Kipese naye ni mchezaji mahiri aliyecheza Yanga huku akiwa mnazi mkubwa wa Simba,pia wengi wanafikiri Method Mogella aka yake ilikuwa" fundi' kwa sababu ya umahiri wake kiwanjani,huyu alikuwa mchezaji aliyekuwa fundi by profession akiihitimu Chuo cha ufundi Arusha
 
Mlipeni pesa zake hao viongozi ndio wanawadanganya kila kukicha mtu anadai pesa mnasema maswala ya nidhamu...hata usajiri wake ulisumbua kisa mlitaka kumkopa wakati yeye anazijua hizi Team zetu.. acheni janja janja mpeni pesa yake yote anayoidai Simba sio mnampa kesi moja baada ya ingine...
 
Nadhani chama alitakiwa apewe "senkyuu" msimu jana ulipomalizika lakini hawajachelewa kumpa mkono wa kwa heri tena kwenye dilisha dogo hili ili wapate mbadala wake wa kudumu, hiyo itatoa funzo zuri kwa wachezaji wengine kubaki kwenye nidhamu zao
 
Mchezaji kama apangwi anatakiwa awe na subra kama alivyofanya mudathir yahya abas na pale unapopangwa unaonyesha kwanini ulipangwa kwa kufanya vizuri kama alivyofanya mudathir siku zilizopita sio kukerwa kama anavyo Fanya chama mpuuzi Sana anataka kutukuzwa Tanzania alafu yeye mzambia

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Sio apangwi ni hapangwi.

Aise uandishi huu unatia mashaka na elimu ya mtu.
 
Kama unasema Method alicheza Simba namba 5 basi huenda umemuona akicheza mwishoni mwa carrier yake pale Msimbazi, nakumbuka kwenye mechi dhidi ya Yanga mwaka 1990 Yanga alivyofungwa 1-0 kwa goli la faulo ya mbali la Mavumbi Omari, Method alicheza no 6 huku Gaga akicheza 8,wakati huo hao uliowataja hawakuwepo Simba isipokuwa Lenny aliyekuwa anakuja na kuondoka Simba (maana kuna kipindi alikuwa anaenda kucheza Uarabuni na wachezaji wengine kama Idd Pazi),Ingawa Method alikuwa kiraka anayeweza kucheza namba zote isipokuwa kipa,no 6 ndiyo ilimtambulisha tangu akiwa Umiseta Kanda ya kusini (wakati huo akisoma Mtwara Tech) hadi alivyoenda Arusha Tech pia ambapo akiwa Arusha alicheza AICC na huko alikuwa akicheza no 6, Method Mogella alikuwa kiungo mwenye ball control ya hali juu sana,alipohamia Yanga ndio nikamwona akicheza no 5 but unapotaja jina Method Mogella picha ya kwanza inayokujia ni kiungo na sio beki wa zamani.Wengi hawajui kuwa kuwa Method Mogella ndiye mchezaji mahiri aliyecheza Simba huku akiwa ni shabiki lialia wa Yanga huku Thomas Kipese naye ni mchezaji mahiri aliyecheza Yanga huku akiwa mnazi mkubwa wa Simba,pia wengi wanafikiri Method Mogella aka yake ilikuwa" fundi' kwa sababu ya umahiri wake kiwanjani,huyu alikuwa mchezaji aliyekuwa fundi by profession akiihitimu Chuo cha ufundi Arusha
Heshima kwenu wazee wetu
 
Mlipeni pesa zake hao viongozi ndio wanawadanganya kila kukicha mtu anadai pesa mnasema maswala ya nidhamu...hata usajiri wake ulisumbua kisa mlitaka kumkopa wakati yeye anazijua hizi Team zetu.. acheni janja janja mpeni pesa yake yote anayoidai Simba sio mnampa kesi moja baada ya ingine...
Subiri nikwambie kijana wakati Benchika anakuja Simba aliomba amsikilize Kila mchezaji mmoja mmoja shida yake na alisema kama kuna mchezaji anawadai mlipeni la sivyo hawezi pata namba kwenye kikosi, wachezaji wote walipewa bonansi zao hizi sasa Simba hakuna mchezaji anayedaiwa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom