Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
- Thread starter
- #101
Swadakta umesema kweli walichelewa sanNadhani chama alitakiwa apewe "senkyuu" msimu jana ulipomalizika lakini hawajachelewa kumpa mkono wa kwa heri tena kwenye dilisha dogo hili ili wapate mbadala wake wa kudumu, hiyo itatoa funzo zuri kwa wachezaji wengine kubaki kwenye nidhamu zao
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app