Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Na ndiyo maana wakitoka CDM wanapewa uongozi huko jalalani.
Njoo Basi na wewe upewe Kama Ni Rahisi Rahisi tu, CCM Ni chama kikubwa kilicho kimbilio la watu wote waliokosa matumaini na kuonewa huko watokako, siyo Kama Huko kwenu mnakorushiana Hadi vipande vya matofali
 
Njoo Basi na wewe upewe Kama Ni Rahisi Rahisi tu, CCM Ni chama kikubwa kilicho kimbilio la watu wote waliokosa matumaini na kuonewa huko watokako, siyo Kama Huko kwenu mnakorushiana Hadi vipande vya matofali
Mimi?Nikijua nimepatwa na pepo la kuhamia CCM najiua halafu nakimbia nchi.
 
Mzungu hawezi kukuchekea kama hatopata faida kupitia wewe,hii nchi itakuwa mikononi mwa watu ambao hawafai endapo tu anae zungumzia atachukua nchi,watanzania sio wajinga wanaona vinavyo endelea/vilivyo tokea nchi za wenzetu kupitia hao hao wazungu.
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Kuficha hilo neno Lisu kwenye post yako mtu anaweza kudhani unamzungumzia Magufuli. Kama magufuli ameweza kuwa rais wa nchi hii, hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu atashindwa kuwa rais.
 
Lisu Hana huo uwezo wa kuwa Rais wa nchi hii, kwa kuwa Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi na Amiri Jeshi mkuu
Kuficha hilo neno Lisu kwenye post yako mtu anaweza kudhani unamzungumzia Magufuli. Kama magufuli ameweza kuwa rais wa nchi hii, hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu atashindwa kuwa rais.
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Vipi kwa upande wako unaweza kuongoza hata nyumba 10,achilia mbali familia kama baba au mama,je watoto wanaenda shule na je hawaishi Chimbo na baba au mama hata habari huna,je msako wa panyaroad hauja nasa yeyote wa nyumba yako🥱
 
Mzungu hawezi kukuchekea kama hatopata faida kupitia wewe,hii nchi itakuwa mikononi mwa watu ambao hawafai endapo tu anae zungumzia atachukua nchi,watanzania sio wajinga wanaona vinavyo endelea/vilivyo tokea nchi za wenzetu kupitia hao hao wazungu.

Nchi hii ina nini wanachohitaji wazungu? Tungekuwa na cha maana hivyo tusingeona kusumbuana kwenye tozo za miamala. Au wazungu wanataka kuja kukusanya tozo kwenye line za simu?
 
Lisu Hana huo uwezo wa kuwa Rais wa nchi hii, kwa kuwa Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi na Amiri Jeshi mkuu

Hakuna mwanaccm mwizi anatamani Lisu awe rais, maana wanajua wote wataishia jela. Ndio maana tunataka muheshimu box la kura kisha mchukue majibu ya wananchi.
 
Hakuna mwanaccm mwizi anatamani Lisu awe rais, maana wanajua wote wataishia jela. Ndio maana tunataka muheshimu box la kura kisha mchukue majibu ya wananchi.
Hakuna anayeweza wapa kura maana hamna Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Wala kumkwamua mkulima aliyopo kule kijijini Kama ifanyavyo CCM katika kuwatumikia watanzania
 
Hakuna anayeweza wapa kura maana hamna Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Wala kumkwamua mkulima aliyopo kule kijijini Kama ifanyavyo CCM katika kuwatumikia watanzania

Uko sahihi, ndio maana tunataka muheshimu tu box la kura uone kama nyie chama cha majizi mtaendelea kusalia madarakani.
 
Tundu ni akili kubwa sana katika watu waliowahi kuja hapa duniani
 
Mimi siogopi Ila naongea ukweli ili mfahamu Lisu Ni Mtu wa aina gani
ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Back
Top Bottom