Ukweli Mchungu: Serikali Haiwezi Kuendesha SGR Kwa Watanzania Tuliopo. Tujifunze Kutoka Kwenye Mwendokasi

Tusikubali SGR ifeli kama ulivyofeli MWENDOKASI, hivi vitu vipewe SEKTA BINAFSI mara moja
 
Mbona kama sielewi Ina maana hawakujipanga?,swali fikirishi je hakuna mpango wa biashara, (andiko la mpango wa biashara), kitaalamu ukitaka kuanzisha biashara yenye mafanikio ni lazima uwe na andiko la mpango wa biashara husika. I thought there is a business plan, a business plan is a game plan or an operation plan
 
Serikali kwa asili siyo ya kuzalisha, ni ya kuvuna (kukusanya kodi, ushru, tozo,... ) na kutumia.
Serikali Ina wajibu wa kuweka sera, sheria na kanuni zitakazohakikisha ustawi wa raia wake kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni ili kujiletea maendeleo.
Hata hivyo, kwa sababu ya ujinga, kutostaarabika kwa jamii, viongozi wengi wa nchi masikini (hasa za Africa) huibia mataifa yao kwa kushrikiana na wageni kupitia mikataba, miradi na kandarasi mbalimbali. Kuanzia enzi za Mangungo, mambo ni yale yale, tofauti ni hali ya teknolojia ya dunia tu. Mangungo wa siku hizi wanaweza, kusoma, kuandika na kusafiri.
Kinachotakiwa kifanyike ni kujenga uwezo wa watu wetu wa ndani badala ya kutegemea wageni. Hili lawezekana kwa wananchi kuunganisha nguvu kuchagua na kuweka viongozi wenye maono na fikra chanya, huku wakiondoa wale walio kinyume na matarajio yao.
 
Hata ingefika Kisangani ambako haiwezi fika Kwa sababu kumejaa vita ,ni hivi 70% ya mzigo wote wa DRC unaenda njia Ya Lubumbashi,huko maporini hakuna kitu.

Hakuna siku mtakuja kupata faida kwenye hiyo Sgr ya kupigia picha na Kukamatwa wajinga.
 
Hata ingeenda DRC via Kigoma au Burundi hakuna kitu utaleta Wala haitakuja kupata faida.

70% ya mzigo wa DRC unaenda Lubumbashi na sio huko kwingine

Mzigo uliobaki unagawanyoka kati ya central corridor na Northern Corridor so no way hiyo cosmetics Sgr itakuwa kuleta faida.

Huyo shujaa wenu alijenga Ili kuwapumbaza wasio na akili na Kwa taarifa Yao tuu watazisi kuwa maskini Kwa sababu Serikali itakuwa Inachukua kodi Yao na yangu kuendesha limradi linaloleta hasara.

Unajiuliza hivi hii Nchi ilikuwa inahitaji Sgr Kwa wakati huu? Hupati majibu ila wajinga Sasa walishangilia.
 
Tusikubali SGR ifeli kama ulivyofeli MWENDOKASI, hivi vitu vipewe SEKTA BINAFSI mara moja
Itakufa tuu,hata tukiwapa private operators hakuna Cha maana itabeba so lazima ijifie kifo Cha mende

Ukitaka isife tuendelee kuchukua Kodi na kuiendesha,Sasa huu utakuwa ni upumbavu
 
Uthibitisho ni SGR kuanza kwa safari za DAR-MORO asubuhi na jioni tu kwa siku.
 
Kuwa na maono siyo kuelekeza pesa nyingi kwenye "white elephant projects"
Wanasiasa wetu wengi ni majuha yanayoimba na kushangilia kwa gharama ya jasho la walalahoi, huku wakifuata viongozi kama kundi la nyumbu bila kujali hatari inayoweza kuwa mbele.
Ujinga huu unaanzia kwa wananchi ambao wanahitaji kuelimishwa na kujengewa ujasiri wa kuamua kwa akili huru.
 
Hata Mwendokasi ina Business Plan lakini je unaridhika na performance yake? Tatizo ni kwamba hatuna watu wetu ambao wako committed kwenye utendaji na matokeo. Wengi wa Watanzania ni wezi walevi, wavivu, upendeleo, siasa nk
 
Hata Mwendokasi ina Business Plan lakini je unaridhika na performance yake? Tatizo ni kwamba hatuna watu wetu ambao wako committed kwenye utendaji na matokeo. Wengi wa Watanzania ni wezi walevi, wavivu, upendeleo, siasa nk
Wana ahirisha kufikiri Kwa nafsi a. k. a kujizima data
 
SI KWELI...Jifunze kidogo kupitia nchi zinazopaa kiuchumi mf. China, Japan, Brazil,N. Korea... Nchi nyingi makini serikali zao huendesha kwa ufanisi miradi muhimu mf. Umeme,maji,usafiri kama treni,ndege nyingine ni kwa ubia mfana madini,utalii nk.
sisi hakuna mradi wakiuzalishaji serikali imeonesha umakini na ufanisi zaidi ni umaskini wa fikra na ufisadi!! Hata elimu imewashinda
 
Wahujumu wakubwa ni wafadhili wa CCM na majangili ya nchi
 
Huku ukiiba unaenda kui-support CCM unakuwa kwenye safe side
 
Ndiyo maana serikali imekaribisha wawekezaji! Serikali inahitaji wabia!
 
Hili lazima tuli implement na huo ndiyo ukweli mchungu
 
Nakubaliana na wewe kabisa.
Hapo kuna ubia (sekta binafsi), hivyo kinachoendesha pale ni hiyo element ya ownership (sekta binafsi).
Hata usalama wa taifa bila uwepo wa mikataba na wenye nchi wakiwa na nguvu (sekta binafsi) ya ndani (siyo magabacholi) bado unakuwa shakani.
Ni lazima mataifa ya Afrika, Tanzania ikiwemo yajenge uchumi na usalama kupitia raia wake wa asili na walio wengi (weusi), vinginevyo hakutakuwa na maendeleo endelevu, zaidi sana ni kuimarisha utumwa wa kiuchumi.
Usalama na miradi ya maendeleo bila raia weusi wenye nguvu za kiuchumi bado ni changamoto.
Ni muhimu kutofautisha taifa na nchi.
Taifa la Tanzania ni watu weusi zaidi na hivyo kujenga taifa ni kuwajenga watu weusi walio wengi, kinyume chake ni kubomoa taifa.
Nchi ya Tanzania ni eneo tu linalokaliwa na hao watu.
Bila kuwawezesha hao weusi kifikra na kiuchumi, maendeleo ya taifa itakuwa ndoto.
Wengi wenye fikra za kukariri wataona huu ni ubaguzi, lakini ni ukweli mchungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…