Ukweli mchungu: Simba mwendo ameumaliza Kwa wydadi

Ukweli mchungu: Simba mwendo ameumaliza Kwa wydadi

Uchawi hautaisha Afrika. Kwa sababu roho mbaya ni kozi yake mwisho.
 
Mashabiki maandazi huwa wanajiandikia tu bila kufuatilia. Msimu ule Kaizer Chief alivyotoka kumtoa mnyama akaja kujipigia kamoja hao Wydad hapo hapo kwao na kule south ikawa 0-0 na Kaizer kutinga final.
Kaizer ile unajua vizuri ilivyokuwa yamoto?
 
Kaizer ile unajua vizuri ilivyokuwa yamoto?
Una uhakika ilikuwa ya Moto? Kwenye ligi Yao ilimaliza ya 8. Ni Kaizer ambayo ilimtoa Simba Kwa agg ya 4-3.Kwenye final walipigwa kirahisi sana na Al ahly 3-0. Huo Moto wao unaosema uliuona wapi?
 
Nawewe usituchoshe na roho mbaya yako! Hata sisi tunaelewa tumeshatolewa, sasa unataka nini?
Ndio tumetolewa furahi sasa.
Jibu zuri kabisa.Tumetoka ndiyo,ila at least tumeonesha ka upinzani kidogo kwa timu kubwa.

Lakini wakae wakijua kuwa simba hatakuwa amesimama kule Morocco ohooooo
 
Simba haitongia makundi
Simba haitongia robo fainali
Simba atapigwa na raja nje ndani[emoji3581]
Simba atapigwa na Wydad nje ndani
Simba haitongia nusu finali ......loading......

Ikitokea Simba SC ameingia nusu finali, sijui mtajificha wapi.

View attachment 2597003
Haiwezekan mkuu
 
Kama ulifuatilia mechi ya Jana Kwa macho ya kiuchambuzi basi utakuwa umeelewa approach waliokuja nayo wydadi Casablanca.......waliokuja na approach ya kuisoma gemu ya wapinzani na sio kushambulia sana that's y hawakutaka kufa goal nyingi

Mistakes za kina Chama mtazijutia

Walishajua kuwa wydadi Casablanca wapo vipi na ni gemu ya nyumbani so ilitakiwa kuhakikisha wanashinda at least goal 3.....na sio kushinda ball possession. MAKOLO mmeumaliza mwendo

𝗠𝗢𝗥𝗢𝗖𝗖𝗢 [emoji1173]

Makolo Wameshinda lakini wenye furaha hapa uwanjani ni mashabiki wa Waydad Casablanca [emoji23].Hapa Nawakumbusha tu hakuna points 3...

NB:Unacheza na mwarabu halafu unashinda bao 1 [emoji16]na Fitina umefanya..[emoji119]karibuni Casablanca
View attachment 2596899
Tunaojua mpira tumekuelewa.
 
wenzako waliomba ban jf kisa ubishan huu huu wa simba so sishangai kwa maandishi yako.
umekaa kishabiki zaid kuliko kiuhalisia na hilo ndilo tatzo lako.
See you nextweek
 
Kama ulifuatilia mechi ya Jana Kwa macho ya kiuchambuzi basi utakuwa umeelewa approach waliokuja nayo wydadi Casablanca.......waliokuja na approach ya kuisoma gemu ya wapinzani na sio kushambulia sana that's y hawakutaka kufa goal nyingi

Mistakes za kina Chama mtazijutia

Walishajua kuwa wydadi Casablanca wapo vipi na ni gemu ya nyumbani so ilitakiwa kuhakikisha wanashinda at least goal 3.....na sio kushinda ball possession. MAKOLO mmeumaliza mwendo

𝗠𝗢𝗥𝗢𝗖𝗖𝗢 [emoji1173]

Makolo Wameshinda lakini wenye furaha hapa uwanjani ni mashabiki wa Waydad Casablanca [emoji23].Hapa Nawakumbusha tu hakuna points 3...

NB:Unacheza na mwarabu halafu unashinda bao 1 [emoji16]na Fitina umefanya..[emoji119]karibuni Casablanca
View attachment 2596899
Sifa inakua kumfunga wydad
 
Kama ulifuatilia mechi ya Jana Kwa macho ya kiuchambuzi basi utakuwa umeelewa approach waliokuja nayo wydadi Casablanca.......waliokuja na approach ya kuisoma gemu ya wapinzani na sio kushambulia sana that's y hawakutaka kufa goal nyingi

Mistakes za kina Chama mtazijutia

Walishajua kuwa wydadi Casablanca wapo vipi na ni gemu ya nyumbani so ilitakiwa kuhakikisha wanashinda at least goal 3.....na sio kushinda ball possession. MAKOLO mmeumaliza mwendo

𝗠𝗢𝗥𝗢𝗖𝗖𝗢 [emoji1173]

Makolo Wameshinda lakini wenye furaha hapa uwanjani ni mashabiki wa Waydad Casablanca [emoji23].Hapa Nawakumbusha tu hakuna points 3...

NB:Unacheza na mwarabu halafu unashinda bao 1 [emoji16]na Fitina umefanya..[emoji119]karibuni Casablanca
View attachment 2596899
MAPUNGUFU ALIONAYO CHAMA YTAIGHARIMU SIMBA. HAWEZI KUJUA WAPI NITOE PASS KWA HARAKA TIMING MBOVU SANA
 
Back
Top Bottom