Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kama ulifuatilia mechi ya Jana Kwa macho ya kiuchambuzi basi utakuwa umeelewa approach waliokuja nayo wydadi Casablanca.......waliokuja na approach ya kuisoma gemu ya wapinzani na sio kushambulia sana that's y hawakutaka kufa goal nyingi
Mistakes za kina Chama mtazijutia
Walishajua kuwa wydadi Casablanca wapo vipi na ni gemu ya nyumbani so ilitakiwa kuhakikisha wanashinda at least goal 3.....na sio kushinda ball possession. MAKOLO mmeumaliza mwendo
𝗠𝗢𝗥𝗢𝗖𝗖𝗢 [emoji1173]
Makolo Wameshinda lakini wenye furaha hapa uwanjani ni mashabiki wa Waydad Casablanca [emoji23].Hapa Nawakumbusha tu hakuna points 3...
NB:Unacheza na mwarabu halafu unashinda bao 1 [emoji16]na Fitina umefanya..[emoji119]karibuni Casablanca
Mistakes za kina Chama mtazijutia
Walishajua kuwa wydadi Casablanca wapo vipi na ni gemu ya nyumbani so ilitakiwa kuhakikisha wanashinda at least goal 3.....na sio kushinda ball possession. MAKOLO mmeumaliza mwendo
𝗠𝗢𝗥𝗢𝗖𝗖𝗢 [emoji1173]
Makolo Wameshinda lakini wenye furaha hapa uwanjani ni mashabiki wa Waydad Casablanca [emoji23].Hapa Nawakumbusha tu hakuna points 3...
NB:Unacheza na mwarabu halafu unashinda bao 1 [emoji16]na Fitina umefanya..[emoji119]karibuni Casablanca