Ukweli mchungu: Simba mwendo ameumaliza Kwa wydadi

Ukweli mchungu: Simba mwendo ameumaliza Kwa wydadi

Nakubaliana mkuu.....ila inabidi shughuli nzito ifanyike
Nakwambia mkuu mpira unadundaa. Watu wa kamari huwa wanajua zaid nikisema hiviii. Unaona yanga alichokifanyaaa?
Unaona masandawana walochokifanyaaa.

KItaalamu huwa mech ngumu hatumaliz maneno maama maneno huwa yanabak na huwa yanatuhukumu

Chochote kinaweza tokea.

Pyramid alikuwa kapigwa kwake na kaja chomoa dakika ya 90 tena kwa penati na pyramid walikuwa wamepewa nafasi kubwa ya usindi
 
Mimi nahs tuskatishane tamaa tuwape moyo na hili tufanye kwa timu zote zinapochexa nje kwani mpira una matokeo 3 kumbuka Hilo kushinda sare na kufungwa, kwahiyo yote yanawexekana tusubiri dakika 90 ndo tuongee,yangu ni hayo
 
Back
Top Bottom