Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Thank you for promoting me mr chair owner[emoji23][emoji23][emoji16][emoji23]I second you Mr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you for promoting me mr chair owner[emoji23][emoji23][emoji16][emoji23]I second you Mr.
Huoni mashabiki na wachezaji wanaupenda zaidi mpira ni mashabiki?. Wachezaji wanakatishwa sana tamaa ukiondoa wachezaji wa njeNimecheka kama hali ndio ii kwenye mpira vp kwenye mambo mengine
Hii hadithi ipo na episodes ngapi!?Azam walipitisha nyasi bei sawa na bure, Mo aliulizwa hizi nyasi za nn? Nakumbuka alijiitetea sana hadi mawakili wake walihusika. Cha ajabu serikali ikamstafisha na kulazimisha azinunue tena. Hv unafikiri alikuwa gajui gharama za bandarrini hadi akaagiza? Ubishi wake wa kununua zile nyasi ziikampelekea atekwe. Akaambiwa utalalia hizi nyasi hadi ziishe. Serikali umeiongezea kazi. Mo anawashukuru sana wana Simba kwa kipiga kelele japo nyasi aliziniunua na saizi zipo(MAEG) Mo Arena exercise ground
Mzee unadhani kujenga kiwanja cha mpira ni kama kununua pipi ya kijiti dukani. Waulize Arsenal iliwachukua miaka mingapi mpaka kuwa na kiwanja chao.Ndio hivyo! Mechi za Simba na Yanga wakicheza na vilabu vingine ni wao wenyewe wanapanga viingilio..
Lakini ikifika Derby ni TFF ndio wanapanga viingilio,
Angalia mapato ambayo Simba na Yanga wanaingiza kupitia Mkapa Stadium!
Leo hii uwaruhusu Yanga na Simba wamiliki viwanja vyao halafu???
Ule uwanja uwe wa fiesta au?
Ndio maana utaona Wataruhusiwa kuwa na viwanja vya mazoezi tu!!
Lakini kwa mechi mtasahau!
Wao kila siku wanapata hasara kwa kauli zao.Mzee unadhani kujenga kiwanja cha mpira ni kama kununua pipi ya kijiti dukani. Waulize Arsenal iliwachukua miaka mingapi mpaka kuwa na kiwanja chao.
Fanya research kwanza wewe mbumbumbu kisha ulete UTOPOLO wako humu.
MO and GSM ni wafanyabiashara
They do investments huku wakiangalia profitability.