Ukweli Mchungu: Simba na Yanga havitakaa vimiliki viwanja vyao vya kuchezea mechi zao za ligi

Hii hadithi ipo na episodes ngapi!?
 
Mzee unadhani kujenga kiwanja cha mpira ni kama kununua pipi ya kijiti dukani. Waulize Arsenal iliwachukua miaka mingapi mpaka kuwa na kiwanja chao.

Fanya research kwanza wewe mbumbumbu kisha ulete UTOPOLO wako humu.

MO and GSM ni wafanyabiashara
They do investments huku wakiangalia profitability.
 
Wao kila siku wanapata hasara kwa kauli zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…