Ukweli Mchungu: Sisi wa kuanzia 40, madogo wametukata sana kipato

Ukweli Mchungu: Sisi wa kuanzia 40, madogo wametukata sana kipato

Kumbuka kwa kila kijana mmoja wa huo umri unamuona ana enjoy maisha kuna wengine 100 wa umri huo huo wanaotaabika.

Swala la mafanikio ni swala mtambuka, halina formula maalum. Kuna watu wanasulubika ujanani yote na anakuja kutusua maisha uzeeni.

Kuwa kipimo cha mafanikio yako wewe mwenyewe. Jilinganishe ulipokuwa jana na ulipo leo. Ukisema kipimo cha maendeleo yako kiwe mafanikio ya wengine unaweza jinyonga maana kuna watu wanajua hasa kuonyesha jeuri ya pesa.

Mwisho na la muhimu zaidi, usithaminishe maisha ya mtu kwa kile anachokionyesha mitandaoni ama kwenye sehemu za starehe. Huko kuna maigizo tu.
👏🏾👏🏾👏🏾
Mkuu umeongea. Vijana hustling sio mchezo ndio maana vijana wanajiua sana siku hizi na wengine wanaingia kwenye mambo ya ajabu ili Tu waishi good life

Na ubaya hao wanaowapa ushauri sijui kwa nini msilime, mfuge, mfanye biashara etc, wao wana mitaji ila hata uthubutu wa kuanzisha kibanda cha M pesa hawana. Wanasubiria kuiba ili wajenge nyumba za kupangisha ambazo ni safe businesses
 
Vijana wapo broke Kuna vijana wachache Sana hapa bongo wenye hela hata hao mabro most of them wapo broke kiufupi bongo Tz watu wanapapatia Anasa tu ila viwanja Kama five star huwezi kuwakuta vijana hata mabro wanahesabika Sana.
Mkuu angalia tu matajiri wakubwa nchi hii ni race zingine. Kiuhalisia watu weusi wa nchi hii tuna malengo ya kuishi standard life isiyokuwa na hekaheka za umaskini BHASI.

Ila hizo levels za kuishi ile high life ni wachache wanazo kama wachagga
 
Bro.. kitu ambacho hujakigundua ni kwamba VIJANA wengi wanafake Maisha..

Hizo Hennessey sijui JD etc unazoziona huko ktk sehemu za starehe wengi ni wanafake maisha.. kesho yake anaamka hana hata nauli.

Nimeona baadhi ya rafiki zangu wanaofake maisha.. swala la gari pia wanaazima. Inafikia kipindi wanaazima mpk geto akagonge dem.

Ingawa hela zinatafutwa na makundi yote kipimo cha utajiri au kujipata kwa mtu mie naweka ktk matabaka matatu

Financially (Assets) , Educational wise (Rare skills, creativity) and socially (Family).
 
Mkuu angalia tu matajiri wakubwa nchi hii ni race zingine. Kiuhalisia watu weusi wa nchi hii tuna malengo ya kuishi standard life isiyokuwa na hekaheka za umaskini BHASI.

Ila hizo levels za kuishi ile high life ni wachache wanazo kama wachagga
kweli, mwafrika akishanunua kagari na kujenga nyumba kamaliza, anashinda bar kujinywea bia na nyamachoma
 
Hiyo creativity sio option mkuu ila ni matokeo ya vitu viwili

1. Umuhimu wa shule kama njia ya mafanikio umeanza kupungua hivyo, watu wanaanza kuthamini zaidi uwezo wao binafsi, vipaji au skills zinazoweza waingizia pesa. Nyie ilikuwa sio lazma maana mlikua kwenye taifa la wakulima na wafanyakazi na sio wafanyabiasara "ujamaa"

2. Kizazi cha sasa kimeanza kuwa free minded na wazazi wanaanza kuruhusu watoto kujaribu zile passion zao na kuanzisha biashara zao binafsi tofauti na zamani ambapo watu waliokuwa nje ya utumishi wa umma walionekana kama failures..

Kizazi cha sasa kinaanza kuwa entrepreneurial kwa sababu hakina option nyingine. Kwa hiyo mkuu pambana kwa ulichobakiza ili watoto wasije kuaibika, life ni gumu huku nje
Nimecheka sana mkuu..ila umeongea ukweli japokua unauma ...mm madogo nishawachana ada itakuwepo...ila akijiskia shule ndio basi aje na option yake...ndio atapata suport zaidi ya hapo nisimuone kwangu..period wacha niitwe mkoloni
 
[emoji1490][emoji1490][emoji1490]
Mkuu umeongea. Vijana hustling sio mchezo ndio maana vijana wanajiua sana siku hizi na wengine wanaingia kwenye mambo ya ajabu ili Tu waishi good life

Na ubaya hao wanaowapa ushauri sijui kwa nini msilime, mfuge, mfanye biashara etc, wao wana mitaji ila hata uthubutu wa kuanzisha kibanda cha M pesa hawana. Wanasubiria kuiba ili wajenge nyumba za kupangisha ambazo ni safe businesses
Na wanajenga aisee...kuna mmoja alikua tu department ya procurement ya wizara flani aisee yule dogo kama hana nyumba kumi na tano au kumi na sita sijui
 
wadogo zetu wa kike wengi wapo vizuri
Usikae ukajilinganisha na mdogo wako/wadogo zako wa kike utapotea sana, kumbuka yeye ana matundu matatu ambayo akiamua kujirupua yanamlipa vizuri sana, sasa wewe kaa jilinganishe nao hao wadogo zako wa kike wakati wao wapo Tinder na Badoo Hi5 wanapiga mishe zao za Siri
 
Usikae ukajilinganisha na mdogo wako/wadogo zako wa kike utapotea sana, kumbuka yeye ana matundu matatu ambayo akiamua kujirupua yanamlipa vizuri sana, sasa wewe kaa jilinganishe nao hao wadogo zako wa kike wakati wao wapo Tinder na Badoo Hi5 wanapiga mishe zao za Siri
Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa wanafanya vizuri kiuchumi kuliko wakubwa wao kiumri hasa wa kike.
Nao walikuwa na idadi hiyohiyo ya matundu ila walikuwa wanalewa na kutumiwa na kuja kesho kurudia yaleyale.
 
Ukiacha na digital age. Mabro wengi wa umri huo walinyimwa Elimu hata Ile ya kata tu yaani ukaandilijia ulikuwa mkumbwa wengi wao ni darasa la Saba au form failure kitu ambacho Kwa maisha Sasa ni muhimu sana yaani kama wewe ni bro wa miaka hio na ni la Saba hujaweza kuwekeza kimali au kwenye kipaji aah hapo jua limesha zama.
 
Back
Top Bottom