Ukweli Mchungu: Sisi wa kuanzia 40, madogo wametukata sana kipato

Ukweli Mchungu: Sisi wa kuanzia 40, madogo wametukata sana kipato

Wakuu salaam!

Nimeangalia sana trend ya hawa vijana from 20 to 35 aisee wanaenda vizuri sana kwenye kutengeneza hela. Yaani wanatengeneza hela kwelinaweza kusema kuliko sisi wa kuanzia 40 kwenda mbele.

Wengi..Hawatumii nguvu kabisa. Wanatumia sana Akili.

Wanabase sana online, sana na hela wanapata humo humo.

Hata wakiwa mtaani kazi zao nyingi ni za kutumia akili mno nyingine hata majibu huezi jua (angalia hawa wa Iphone).

Akiingia Kariakoo ndio hutamkamata kabisa...wanaagiza containers kabisa jiulize za nn sasa utacheka ufe, lkn cash anayomake balaa.

Nimefikiria sana hawa wa clearing and forwading ndio usiseme kabisa (ICON)...huko TRA ndio balaa.

Akiwa Bank humshiki kwa chochote.

Awe serikalini sasa na mnakaa mtaa mmoja aisee mi nachekigiii nakausha tu. Na hawaogopi hat ML wala. ES.

NB: Nafkiri kizazi chetu tulilelewa kimaadili sana au kiuwoga mtaniambia halafu pia sisi tumeshindwa kwenda na kasi ya technolojia, wao wanaitumia sana.

Tatizo lao sasa wengi ni malyfist kupindukia. Nenda huko kitambaa..kidimbwi. Tips unaeza jua Moet au Hennessy ni elf 22,500 tu wanakunywa kama maji nenda huko wavuvi na samaki unaeza jua remmy martin wanagaiwa bure, hizo crown na rumiona sasa wanapimp balaa.

Sijagusa hawa wa washua maana hao wanajulikana

Wakuu wenzangu tufanyaje? Au jua lishazama? Yaani sisi wametuachia Manual Labour tu!! Wanashinda ndani tu jioni ana kamilioni tayari mtu unaisotea 2weeks. Wengine mpaka ukope na unanyimwa.

Tusaidiane ka kweli in 5 years itakua kama wanawake walivyotuacha huku tunawaangalia na vicoba vyao tulivyokua tunavizarau.

NB sio ma Bro wote wamekatwa wengine wako safi sana na wanachowakata madogo ni uwekezaji...madogo wanaingiza hawawekezi kabisa.
Mimi sasa nimeajiriwa ila nina platform zangu za social media nilianz kitambo way back 2010 saivi zote zinaingiza hela pambana mkuu
 
Kila kizazi kinapata unafuu na ahueni kuliko kilichopita. Mambo ni mengi sana yana hitaji makala ndefi.
Moja kuu ni elimu.
Kwa ufupi;
Kizazi cha 90+ wengi wana elimu nyuma ya hapo wengi walikosa elimu na hawakuipa kipaumbele hata kama mazingira yaliruhusu.
Utandawazi. Global world ndio kila kitu! Hata USA matajiri ni vijana. Angalia ukuaji wa sekta mpya kama AI unafikiri wanao run ubunifu ni kizazi kipi?
Ukuaji wa China na assian tigers kama korea. Hawa wamerahisisha kila kitu kiwe rahisi. Enzi zetu sisi huwezi maliza shule ujiajili boda boda. Sasa hivi kijana wa miaka 16 ni boda anaingiza hela. Hii yote imesababishwa na maendeleo ya China kuunda vitu na vinafikika kwa kila mtu.
Vijana wanakuwa favored zaidi.
Ukuaji wa teknolojia ; Sasa hivi unaweza tengeza studio kwa vitu rahisi kabisa ukawa producer ukaunda mziki ukauuza bila kuhitaji redio transmiter.
Maendeleo kama you tube, tiktok, facebook nk.
Mitandao ya kijamiii. Hii ndio fursa kuu ya maendelea kwa vijana wa kisasa.
Ukuaji wa miundo mbinu ya nchi. Nchi imekuwa connected. Siku hizi Njombe unakula machungwa ya Tanga mwaka mzima zamani haikuwa hivyo. Mikoa ilijifunga na vijana walidumaa.
Kwa hoo ni hski yao kipsta maendeleo hasa mwenye kuziona fursa wengine wansishia kubeti na kulaumu wazee.
 
Usikae ukajilinganisha na mdogo wako/wadogo zako wa kike utapotea sana, kumbuka yeye ana matundu matatu ambayo akiamua kujirupua yanamlipa vizuri sana, sasa wewe kaa jilinganishe nao hao wadogo zako wa kike wakati wao wapo Tinder na Badoo Hi5 wanapiga mishe zao za Siri
Noma sana. Unakuta barmaid ana iphone macho matatu na kapanga geto kali., kwa mshahara gani anaolipwa
 
Tusaidiane ka kweli in 5 years itakua kama wanawake walivyotuacha huku tunawaangalia na vicoba vyao tulivyokua tunavizarau.

Mie hapa tu[emoji846]
 
Kwahiyo Mkuu unataka kusema madogo wengi kusimama wenyewe ni ngumu?
Currently kibongo hapa kusismama mwenye ukiasi cha kupata pesa mpaka za kushinda kidibwi ni ngumu, Japo wapo wachache wanao pambana na ukwel ni kwamba mtu alie na uwezo wa kufikiri,. kudhubutu na imani hawez kuwa mtu wa kushinda kidibwi hato pata muda
 
Back
Top Bottom