Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umetengenezwa na CCM, sisi tunafanya kazi kwa maono ya Rais na siyo dira ya taifa, kesho akija Rais mwingine anakuja na yake badala ya kuwa na mwendelezo wa yale ya mtangulizi, pia viongozi hawawajibiki kwa wananchi isipokuwa wananchi ndiyo wanawajibika kwa viongozi, wewe DC hata akiuza stand ya halmashauri utamfanya nini kama Rais hajaamua? rejea Sabaya alijitwika Afisa wa TRA wa kaskazini. Tuna katiba ya kijinga snMfumo ni nani
Anayetengeneza huo mfumo ni nani
Naunga mkono ,tuna majizi na matapeli tuHuu uzi wangu simple&clear
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over
Subiria kutukanwa... na akina mwijaku na kitenge.Huu uzi wangu simple&clear
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over
Tunafanyaje? Wazalendo wanajitokeza wanapewa kesi za uhaini.Shida sana
Mkuu hatujitambui. Kila kitu utawala bora umetokea Afrika.Subiria kutukanwa... na akina mwijaku na kitenge.
View attachment 2726015
Ukiitazama Nchi hii ilivyo Rais ndiye kila kitu.Umetengenezwa na CCM, sisi tunafanya kazi kwa maono ya Rais na siyo dira ya taifa, kesho akija Rais mwingine anakuja na yake badala ya kuwa na mwendelezo wa yale ya mtangulizi, pia viongozi hawawajibiki kwa wananchi isipokuwa wananchi ndiyo wanawajibika kwa viongozi, wewe DC hata akiuza stand ya halmashauri utamfanya nini kama Rais hajaamua? rejea Sabaya alijitwika Afisa wa TRA wa kaskazini. Tuna katiba ya kijinga sn
Uko sahihi.. nadhani pia inabidi katika katiba kuwe na Sheria inayowawajibisha viongozi ipasavyo hata kwa blunder walizofanya kipindi Cha nyuma . Hapa ndio transparency itakuwa in playViongozi wapo, ila mfumo ndo corrupt and rotten.
Mfumo ukirekebika, wale wale wataonyesha maajabu,
Tubadili mfumo.
SanaNAKAZIA
Laana.Tuna Nini Sasa Mkuu?
Mfumo wa hovyo sn haufaiUkiitazama Nchi hii ilivyo Rais ndiye kila kitu.
Rais ndiye CCM anaamua CCM iende vipi ni utashi wake. Leo akisema tuwe na katiba bora CCM hawana nguvu ya kubisha. Kwa mantiki hii mifumo yote nchi hii ni Rais akitaka sekta flani ifanye hivi inafanya. Hivyo kama tuna mifumo mibovu moja kwa moja Rais ndiye mbovu
Inabidi wewe ndiyo utuongozeHuu uzi wangu simple&clear
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over
Sasa tuna muImba taarab, badala ya kutatua matatizo yeye anshusha vijembe vya uswahiliniHuu uzi wangu simple&clear
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over
Mkuu huwezi tumia watu walewale walio tengeneza tatizo fulani kuja kutatua tatizo lile lile huu,utakuwa ni uwendawazimu au ukichangaa kabisa.Viongozi wapo, ila mfumo ndo corrupt and rotten.
Mfumo ukirekebika, wale wale wataonyesha maajabu,
Tubadili mfumo.