UKWELI MCHUNGU Tanzania hatuna viongozi

UKWELI MCHUNGU Tanzania hatuna viongozi

Yapo lakini majizi
Wakati wakati wa kupitisha bajeti, tenda au mikataba utajua tu. Posho ikijulika ni kiasi gani watu hijiandaa kupiga makofi, kikubwa ni posho. Bajeti iliyoandaliwa miezi itawekwa kwenye projector na ndani ya masaa machache imepita.
Sasa kukiwa na wapinzani mambo ni tofauti na kuhoji na kuidadavua ni kwingi.
Sasa walishawapiga wapinzani kila kitu ni rahisi tu kwao.
Viongozi wanaopenda mtelezo
 
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
Nakazia hapa 👆👆!! Huu ni ukwel usiopingika... Refer mikataba tangu enzi hizo yaan ni hovyo hovyo tu!!! Ila hua nawaelewa wale wanaosema kuitetea CCM ni kaz ngum mnoo lazima uwe na ngozi ya kenge!!
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".

Ni hayo tu machache over
Mkuu, naona unaonea viongozi bure! Tatizo kubwa la Tanzania ni watanzania wenyewe!
Hakuna atakaye kupeleka huko unaposema kama wewe mwananchi huelewi haki na wajibu wako.

Maendelea yanaletwa kwa ushirikiano wa viongozi pamoja na wananchi! nikimaanisha kuwa wananchi wana wajibu wa kuadhibu viongozi wanapo kosea au kwenda kinyume na sera au mipango iliyowekwa bayana kwa wananchi.

Unadhani ni lini watanzania wanaweza kuadhibu viongozi wanao kiuka sheria na taratibu kwa makusudi??
 
Back
Top Bottom