UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Kama una hakika kwamba imani yako ni ya kweli,you must share it,ndivyo Mungu alivyoamuru.
Tunaamini kwamba Mungu alichagua wateule, akawapa wito mtakatifu ili awaokoe kondoo wake.

Ova
 
Hekima zako kama Suleimani, acha uendelee kuwa namba 1 b…
 
I wish Donald Trump arejee madarakani dunia itabadilika sana. Mashoga watauliwa mchana kweupe.
 
I wish Donald Trump arejee madarakani dunia itabadilika sana. Mashoga watauliwa mchana kweupe.
Mkuu hiyo sio kazi Mungu aliyotupa kwa wenye dhambi.Kazi aliyotupa Mungu ni kuwaombea ili wamjue Mungu,watubu na kuokolewa,ili hatimaye nao waurithi Ufalme wa Mungu.
 
Hekima zako kama Suleimani, acha uendelee kuwa namba 1 b…
Hekima yake ni ya kibinadamu mkuu.Hekima ya Mungu ni hii👇

Mathayo 5:15
15 Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

Mathayo 10:26-27
26 Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
27 Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.

Na Mungu anasema nini kuhusu hekima ya binadamu,anasema ni upumbavu!

1Wakorintho 1:20
20 Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?
 
Mkuu umepotosha.Ni hivii,Mungu yupo na Bwana Yesu ameasulubiwa msalabani ili atuokoe Mimi na wewe kutoka kwenye milki ya Shetani,and you as an individual must accept him as your personal Saviour, ili urithi Ufalme wa Mungu.Huo ndio ukweli.

What is happening in Europe ni ukengeufu tu mkuu,hakuna uhusiano wowote na kuujua ukweli,upi kwanza,udanganyifu wa Shetani labda, ambao upo all over the World,infact more so in Asia, where the true God is a myth.

As a personal note,I have also been to Europe and America,so I know first hand what is happening there.In Europe and America the Devil is alive and well.
 
Wewe ni mtoto wa shetani, hujui ulichoandika
 
Naunga mkono hoja. Mambo haya hayajaanza leo. Soma hapa:
 
Mkuu kama hizo ni propaganda ni wapi kanisa limekanusha hizo habari?
Tuambie wewe unaejua Askofu katimuliwa Kwa kosa Gani ? Ulete na chanzo Cha taarifa zako.

NB:Mimi mwenyew ni rc nimebatizwa,kumnyo,kipaimara handi ndoa. Zote rc na najua mafundishi yote.

Nikusaidie tafuta kitabu kinaitwa history ya kanisa kimeandikwa na Gregory kama sijamkosea soma humo utakuta aliyo yasema hayo yte mfano watu kuuziwa msamaha alifanya papa Leo.
Ubatizo wa kunyunyuzia maji utapata humo pamoja na sababu zake zote! Hata hizi sanamu za bikira maria nk utakuta zimo humo. Unaposoma kitabu hiki uwe na Imani kweli kweli na kanisa iwapi ukikikoswa nitafta nikuelekeze utakapo kipata.
 
Wacha kutafuta cheap popularity kwa kujiita Mkatoliki......Sawa??

Ehh! Hoja Yako no nini?? Maana naona porojo na viroja tuu umewndika
 
Etiiii????
Kupindua Imani??? Yani uandike viroja useme ni Hoja???

Ngoja kukuche Unieleze vizuri......

Napitis post zako za nyuma ili nikujue..... Sawa????
 
Etiiii????
Kupindua Imani??? Yani uandike viroja useme ni Hoja???

Ngoja kukuche Unieleze vizuri......

Napitis post zako za nyuma ili nikujue..... Sawa????
Maelezo.yangu yako wazi kabisa. Rudia kusoma au mtafute mtu mwenye uwezo wa kusoma na kuelewa wakusaidie.

Maana siyo kila mtu ana uwezo wa kusoma na kuelewa, ndivyo ambavyo Mungu ametuumba kwa viwango huku elimu zetu ni tofauti.

Ova
 
Wewe ni mtoto wa shetani, hujui ulichoandika
hahaha, endelea kuomba kwa maria na watu uone kama utakuja kupata majibu, na moto unakusubiri. na kafuteni ule mstari Yesu alisisitiza watu waombe kwa Jina lake tu. maria na wafu wenu wote hawajafufuka tunajua siku ya ufufuo watafufuliwa na wengine ili wakalishwe kwenye hukumu, ila Yesu Kristo tu ndiye amefufuka na ndiye tunajua yupo hai. Mungu awasaidie.
 
Mimi na wewe tuko njia tofauti, Mimi natoa awareness wewe unaleta chuki zako za kimadhehebu, hujamuelewa na huwezi kunielewa ikiwa utakaza fuvu kwenye hilo dhehebu lako. Sijui ni Nani aliyekudanganya huko ulipo Kuna watu Safi kabisa, sijui ni Nani kwa kweli acha huo upumbavu na uwe mtu unayeweza kjua mabaya na mazuri sehemu yoyote gata ile unayoipenda
 
Makanisa ya waabudu sanamu.
 
Ninafanya nililotumwa na Bwana Yesu,I am sorry I have to do it,kama nitamkwaza mtu bad luck.

Hivi ndivyo Bwana Yesu alivyoniagiza👇

So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill the body but cannot kill the soul. Rather, be afraid of the One who can destroy both soul and body in hell.” Mathew 10:26-28


As a final note naomba nikukumbushe jambo moja la msingi sana,njia ya kuingiza mbinguni ni moja tu,kumuamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako tu,any other teaching is of the Devil.Mbinguni sio sokoni kwamba kila mtu anaweza kuchagua njia yake na akafika,no,it is only through faith in Jesus Christ as Lord and Savior.Dini yako however good it might be,haikusaidii kabisa.Remember,salvation has nothing to do with religion.
 
Nakubaliana na ulichosema na naamini unaelewa ninachomaanisha kwenye huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…