UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Wanakuwambia "Eti wine ni damu ya yesu" what the hell is this??

Wine become blood of christ because we believe...

Hii nadharia inanifanya niwaone wakrito wa dhehebu hili wapumbavu na wenye matatizo ya akili
 
Kwaiyo wewe ndo unajua leo mbona sisi wasabato tunajua kabisa kuwa papa ndo mpinga Kristo na ndo Mungu atakaetakiwa kuabudiwa na ulimwengu kwa lazima.
Wasabato ni kikundi cha wajinga Fulani afadhali waislamu wana nafuu, refer Wasabato masalia kutoka kupanda ndege kwenda ulaya bila viza, passport wala ticket, hawa ndio vichaa kabisa.

Mpunga Kristo ni Caesar Nero na alishaishi miaka kibao nyuma na alishapita.

Kitabu cha Ufunuo wa Yohana ni kitabu cha mambo ambayo tayari yalishatokea wakati wa mateso ya Wakristo Roma.

Wajinga wengi akiwemo wewe wanadhani mpinga Kristo atakuja hakuna kitu kama hicho, nyinyi na wala Jews hamna tofauti mnaomsubili Masiah kwamba hajazaliwa wakiamini Masiah ni mfalme wa Wayahudi atakuja na Jeshi kubwa kutawala. Jews nao ni wajinga tu kama Wasabato na ndio maana wote mmeishika Sabato wakati Yesu ndio Sabato yenyewe.

Kwa kifupi Wasabato siyo Wakristo.
 
Paulo alionya kuhusu kuwapo wanaonena kwa roho bila kutafsiri.
Mtu akinena kwa roho na atafsiri au awepo mtafsiri.
Ukiangalia walokole wengi wanaonena kwa roho hawajui hata wanasema nini.
hata kwenye kundi la wanaonena kwa roho hukuti hata mmoja anaetafsiri.
Angalieni msije mkawa mnapagawa na pepo na kunena maneno ya kufuru kwa mwenyezi Mungu.
Shetani ni mjanja sana
ilikuwa muhimu sana kujiuliza ni kwanini Paulo alisisitiza watu wanene kwa lugha, na akataka wawepo watafasiri. sheteni amewawekea upofu hapo tu, kawapiga chenga muamini kwamba kama mtafasiri hatakuwepo, hakuna kunena kwa lugha, na mmesahau kuwa kunena tunakosema sio kule mbele za watu tu, hata ukiwa chumbani kwako ukiwa unaomba unatakiwa kunena na kuomba kwa akili pia, kwasababu unapoomba unaongea na Mungu moja kwa moja, unapotumia akili yako mara nyingi unaomba kwa tamaa za mwili wako tu na mahitaji ya kidunia, ila Roho Mtakatifu akiwa anakusaidia kuomba yeye ni Mungu anajua yaliyopita na ya baadaye, anajua yepi ni mapenzi ya Mungu kwako unatakiwa kuomba. Paulo aliongea hivyo kwa waongofu wapya, kwasababu ilifika mahali kila mtu akawa ananena tu hawahubiri. watu wanaingia kanisani, wananena hadi mwisho wanaondoka wakiamini kuwa wameshaongea na Mungu inatosha, ndio sababu aliwaagiza sasa pamoja na kunena, wawe wanahutubu pia kwa faida ya wale wasionena. LAKINI HAKUKATAZA KWAMBA WATU WASINENE.

1 Wakorintho 14: 5 “Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kuhutubu, maana yeye ahutubuye ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa

kwanini hapo anasema anataka wote wanene kwa lugha? jiulize, na je, hapo aliongea watu wakiwa kanisani, what kwa maombi unayoomba peke yako nyumbani, huwa unanena? kunena kuna umuhimu? jibu ni NDIYO, unaponena kwa lugha Roho yako huomba, yaani Roho Mtakatifu ambaye ni nafsi ya Mungu yuleyule anakusaidia kupeleka maombi yote moja kwa moja, na maombi ya Roho ni uhakika kwamba yamefika. sio maombi yote unaomba yanafika kwa Mungu au anayasikiliza, mengine unaomba Mungu anayadharau. mfano, wewe ni masikini, unamwendea Mungu unaomba akupatie baiskeli, kumbe Mungu alipanga akupatie gari, nyumba na mtaji, unafikiri ombi lako la baiskeli atalisikiliza? au unaomba akupe cheo fulani, yeye anaona kabisa huyu akikaa pale juu ataniacha, atafungua milango ya mashetani itakayomfanya awe mbali nami na atauliwa au kupata madhara, unafikiri Mungu atakusikiliza? ndio maana Biblia inasema Roho mtakatifu anapoomba ndani yetu (unaponena), huomba sio kwa tamaa zako, yeye anajua nini unahitaji. sasa wewe ambaye hauna Roho, nani anakusaidia kuomba sawasawa na mapenzi ya Mungu?

1 Kor 14:15​

Imekuwaje, basi? Nitaomba kwa roho, tena nitaomba kwa akili pia; mtaimba kwa roho, tena nitaimba kwa akili pia.
 
Hakuna Shetani wala Mungu.

Dini zote ni siasa za watu tu.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyeweza ku prove uwepo wa Mungu.

Na kama kuna mtu anabisha, nampa nafasi a prove Mungu yupo.
Prove kwamba Mungu hayupo angalau kwa kuumba tu sisimizi.
 
Tell me how ..
" Wine become blood of christ"
Na huu pia ni uchizi wa kiwango cha PHd
Jibu swali ili nikujibu swali lako. Maana swali lako jibu lake lipo kwenye injili.

Ni kichaa peke anayeweza kusema hali mbwa ila mchuzi wa mbwa anakula.

Divai chanzo chake ni kwenye injili, kwenye last supper Yesu alipofanya kalamu ya mwisho ile ndio aliwaambia wanafunzi wake fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.

Halafu kama hujui muujiza wa kwanza wa Yesu aligeuza maji kuwa Divai kwenye harusi Kana ili watu waendelee kupiga tungi.

Na kama umesoma Quran Allah ametuahidi Firdaus kuna mito ya pombe, yani ni kugida tu.

Sasa kama hunywi pombe duniani kwa kisingizio cha dini huo ni ujinga wako mwenyewe.
 
Wajinga wengi akiwemo wewe wanadhani mpinga Kristo atakuja hakuna kitu kama hicho, nyinyi na wala Jews hamna tofauti mnaomsubili Masiah kwamba hajazaliwa wakiamini Masiah ni mfalme wa Wayahudi atakuja na Jeshi kubwa kutawala. Jews nao ni wajinga tu kama Wasabato na ndio maana wote mmeishika Sabato wakati Yesu ndio Sabato yenyewe.

Kwa kifupi Wasabato siyo Wakristo.
Brother hujui kitu.

Ni watu kama nyie ndo mnaosambaza false news, hamna kitu ulichiandika hapo ambacho ni cha kweli.

Cha kukushauri tuu brother, ukitaka kujua kuhusu dini flani, nenda kweny mwongozo wa hio dini, usiwe unatumia maneno unayosikia kwa watu or maybe umekutana na msabato asiyejitambua akashindwa kujielezea vizur ndo ukafanya kuwa ndo msingi wa imani yako kuhusu dhehebu la kisabato.

ukitaka kufahamu kuhusu ukatoliki nenda kweny muongozo wa kanisa la katoliki, ukitaka kujua kuhusu Lutheran nenda kweny muongozo wa kanisa la lutheran na ukitaka kujua kuhusu kanisa la SDA nenda kweny muongozo wa kanisa la SDA.

usiwe kama huna akili ndugu yangu.
 
Brother hujui kitu.

Ni watu kama nyie ndo mnaosambaza false news, hamna kitu ulichiandika hapo ambacho ni cha kweli.

Cha kukushauri tuu brother, ukitaka kujua kuhusu dini flani, nenda kweny mwongozo wa hio dini, usiwe unatumia maneno unayosikia kwa watu or maybe umekutana na msabato asiyejitambua akashindwa kujielezea vizur ndo ukafanya kuwa ndo msingi wa imani yako kuhusu dhehebu la kisabato.

ukitaka kufahamu kuhusu ukatoliki nenda kweny muongozo wa kanisa, ukitaka kujua kuhusu Lutheran nenda kweny muongozo wa kanisa na ukitaka kujua kuhusu kanisa la SDA nenda kweny muongozo wa kanisa.

usiwe kama huna akili ndugu yangu.
Huyu mwanamke Hellen G White si founder wa kanisa la Sabato?

Kuna jambo lipi lisiloeleweka? Labda wewe ndio hujui, umezaliwa msabato umerithi imani kaa Kitako kwa kutulia siyo kosa lako.
 
Huyu mwanamke Hellen G White si founder wa kanisa la Sabato?

Kuna jambo lipi lisiloeleweka? Labda wewe ndio hujui, umezaliwa msabato umerithi imani kaa Kitako kwa kutulia siyo kosa lako.
Helen G White sio founder wa SDA, umeona hizi false news unazosambaza.

Mambo yasiyoeleweka ni mengi sana, sema ni wewe tu umekaza fuvu, una force uamini information flani mbaya kuhusu wasabato ili iwe justification kwa mambo mengine unayoamini.
 
Hii ni vita kati ya Illuminati na Jesuits na haikuanza leo.

BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa.

Wajinga wengi mtaingizwa mkenge sana na BBC wakati kanisa lao church of England (Anglican) limehalalisha ndoa za jinsia moja hawana ugomvi nalo, sasa mgomvi wao ni Vatican ambayo IPO against na Illuminati.
Wewe hujui kinachotokea ktk kanisa letu?
 
Ina maana hiyo askofu wa Tyre hajui kilatini? Nafkiri kuna usasa na ukale ndani ya kanisa. Na hii inshu ilianza muda ikapamba wakati wa papa aliyestaafu yule. Yakamshinda akaona akajifie mbele lakini ndani ya kanisa katoriki kama vile kuna vuguvugu kubwa kwa miaka sasa na linachagizwa na ukanda, usasa na ukale wa kimtazamo.
Ingekuwa unaijuwa historia ya kanisa basi sasa hivi kanisa ndio limepoa.

Kanisa Katoliki ni makanisa haya hapa Roman Catholic (Vaticano) Orthodox, Anglican, Coptic, Presbyterian na Moravian.

Hayo makanisa yote hapo juu ni mgogoro mkubwa na mmeguko kutoka Vatican yakazaa makanisa hayo ingawa Orthodox ni Kong we lakini lilikuwa chini ya Papa wa Vaticano kabla ya kujitenga na kuteuwa Papa wao.

Hakuna mgogoro mkubwa kama ulioweza kuzaa makanisa hayo achili kuzaliwa kwa Lutheran wao ni Protestant, hayo makanisa hapo juu mpaka sasa ni makanisa katoliki lakini siyo Roman.
 
Hii Dini ni ya kishetani, waabudu masanamu ya yesu kristo wanamdhalilisha na misaraba yao uchwara. Dini imejaa uzinzi kwa waumini na viongozi wote wa kanisa kuanzia mapadri hadi masister.

Hii Dini ni watumishi wa shetani ( rejea kwenye movie ya THE NUN). Dini inahamasisha ushoga , kumuabudu Mungu mtu anayeitwa PAPA francis. Ibada zao hazina tofauti na ma illuminati.

Nashangaa bado zinaendelea Kuwa na waumini wanamatatizo GANI au ndio Madhara ya kukaririshwa mistari uchwara ya biblia
MBona wewe ndio unaonekana una matatizo makubwa sana. Kufuatilia imani ya watu huku ukikariri kiarabu unaona ndio ujanja😀
 
Brother hujui kitu.

Ni watu kama nyie ndo mnaosambaza false news, hamna kitu ulichiandika hapo ambacho ni cha kweli.

Cha kukushauri tuu brother, ukitaka kujua kuhusu dini flani, nenda kweny mwongozo wa hio dini, usiwe unatumia maneno unayosikia kwa watu or maybe umekutana na msabato asiyejitambua akashindwa kujielezea vizur ndo ukafanya kuwa ndo msingi wa imani yako kuhusu dhehebu la kisabato.

ukitaka kufahamu kuhusu ukatoliki nenda kweny muongozo wa kanisa la katoliki, ukitaka kujua kuhusu Lutheran nenda kweny muongozo wa kanisa la lutheran na ukitaka kujua kuhusu kanisa la SDA nenda kweny muongozo wa kanisa la SDA.

usiwe kama huna akili ndugu yangu.
Kanuni ya kumsahihisha mtu, unamwambia mtu anasema kitu ambacho si kweli, ni wajibu wako kusema ukweli ni upi, siyo kuhororoja tu.
 
Back
Top Bottom