UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Siyo kazi ya Simba kushughulika na propaganda zilizopo kwenye app ya Yanga.

Ujinga kama huo unaweza kushabikiwa na Waafrica tu, ukitaka taarifa sahihi za Simba nenda kwenye media za Simba.

Wakatoliki wana redio Maria, wana Tumaini, ukitaka taarifa sahihi za kanisa nenda huko.

Mpaka leo Biblia hii hii ya kiswahili bado inafanyiwa tafsiri ili ieleweke kwa lugha sahihi.

Papa anaongea Kilatini, Bbe wanaripoti Uingereza halafu wanakutafsiria kwa kiswahili lazima uingizwe king na watu wenye agenda binafsi.

Ukiweza kutumia akili zako haya kama ni ndogo tu, jiulize kuna media ngapi duniani ni kwa nini ni BBC na Vatican tu?

Hata waislamu media zao huoni kuzipa uzito hizo propaganda za Illuminati.

Kuna vita ya miaka Mingi kati ya Illuminati na Vaticano.
Umeongea point kubwa sana
 
Nani wa kuwashitaki? Maana BBC ni wapotoshaji wakubwa. Sio kwenye mambo ya dini tu hata kwenye mambo mengine duniani mfano vita. Ni wapotoshaji wakubwa sana.

Kama kuna siku bbc swahili wameandika upotoshaji mkubwa kuhusu Papa bahati yao mbaya walikutana na watu ambao walisikia alichosema Papa, wakatuma comments za kuwasema mpaka wakaomba radhi. Sio mara ya kwanza bbc kutumika kupotosha taarifa. Na ubaya watu hatupendi kufuatilia mambo.
Ndio hawa hawa na wenzao kama CNN, DW ,Reuters , ABC ,NBC ,CNBC nk
Wako chini ya Illuminati ( khazaria Jews)
Hawa watu kwenye hizo media ni puppets Wanaotumika kupush narratives za agenda za Illuminati cabal .hivyo vyombo vya habari hasa nchi za magharibi viko compromised kitambo .
Watu wanatakiwa kuquestion vitu na kufuatilia taarifa kiundani , tatizo watu wanameza kila linalorushwa kutoka kwenye hivyo vyombo
 
Hujui ni nani anayeongoza mifumo ya sheria hizo nchi za magharibi ?
Unaijua ADL wewe (Anti defamation league ) na nguvu waliyonayo ulimwengu huu
Hebu ifuatilie kiundani hiyo ADL na uwajue walioianzisha na jinsi inavyofanya kazi na uovu na mbinu za kufunika uovu / mass disinformation , propaganda na brainwashing campaign wanayoifanya dunia nzima .
Sawa mkuu ngoja niichimbue nipate kujua zaidi
 
Nani wa kuwashitaki? Maana BBC ni wapotoshaji wakubwa. Sio kwenye mambo ya dini tu hata kwenye mambo mengine duniani mfano vita. Ni wapotoshaji wakubwa sana.

Kama kuna siku bbc swahili wameandika upotoshaji mkubwa kuhusu Papa bahati yao mbaya walikutana na watu ambao walisikia alichosema Papa, wakatuma comments za kuwasema mpaka wakaomba radhi. Sio mara ya kwanza bbc kutumika kupotosha taarifa. Na ubaya watu hatupendi kufuatilia mambo.
Ndio hao hao juzi kati hapa waliandika kwamba Hamas wamechinja watoto 40
Kitu ambacho kilikuja kuthibitishwa kwamba uongo mtupu
Ndio hao hao waliandika kwamba Hamas wanajificha kwenye hospitali na kambi za wakimbizi na kutumia hiyo kama justification ya kushambulia makazi ya wakimbizi wa ndani yanayojulikana na UN na hospitali ,
Jana wameshambulia na kuingia kwenye hospitali ,cha ajabu wameshindwa kuonyesha hivyo vithibitisho vya kuwepo kwa maficho ya Hamas
Dunia hii ni zaidi ya watu wengi waijuavyo
 
Hapo nimepotosha nini mdogo wangu!?
Hilo swali mbona la kitoto sana, anyway nimeshaeleza nyuma.

Halafu nawe nikuulize jambo, unajua nini kuhusu wakatekumeni!?

Pengine hata mapaji ya roho mtakatifu anayepewa muumini katika sakramenti ya kipaimara huyajui, pengine hata mafuta anayopakwa muumini katika sakramenti ya kipaimara hujui yanitwaje, pengine hata hujui mbadala wa Askofu Nani mwengine anayeweza kuidhinisha sakramenti ya kipaimara.

Na uko hapa kunichallenge
Jinsi ulivyomjinga sasa nakuuliza swali dogo tu unazunguka zunguka
Nimekuuliza swali
Jibu kwanza swali then na wewe ndio uje na maswali nitakujibu
Usiponijibu hilo swali wewe ni mpotoshaji
 
Sawa mkuu ngoja niichimbue nipate kujua zaidi
Hao Anti defamation league viongozi kama akina Obama Tu walikipata cha moto , kiongozi yoyote au mtu yoyote anayecriticize jews au Israel , atachafuliwa kila angle na kuandamwa kiasi kwamba atajuta
Ndio hao hao wanaofanya media censorship
 
Swali kwa Wakatoriki.

Mama wa Yesu ambaye aliolewa na Yusufu jina lake ni Mariam.

Mathayo (Mat) 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

Luka (Luk) 1:30
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

Katika kila Ibada ya Wakatoriki iwe ya mtu mmoja au wawili au watatu au Jumuiya au Kanisani ni lazima katika sala atajwe mwanamke anayeitwa Maria.
Tena inaenda mbali mpaka anaimbiwa nyimbo za kumtukuza atasikia.

" Salamu Maria eeh mamaa, salamu Maria eeeeeh"

Inaenda mbali hadi katika kila kanisa ni lazima iwekwe sanamu zaidi ya moja ya huyo mwanamke aitwae Maria.

Inaenda mbali mpaka sanamu hiyo inasujudiwa na waumini na kuwekwa mbele ya mimbari huku waumini wakisali kwa kuitizama na kuomba kusamehewa dhambi.

Nimeisoma Injiri Yesu kuanzia Mathayo hadi Ufunuo wa Yohana sijawahi kuliona jina la Maria, katika Biblia zote.

Nimesoma Qurani hakuna Aya inamtaja mwanamke aitwaye Maria Bali inamtaja Mariam tena imempa sura nzima ingawa inamtaja kwa makosa makosa ila inamaanisha Mariam Mama wa Yesu.
فَأَتَتْ بِهِ قَوْمَهَا تَحْمِلُهُ ۖ قَالُوا يَا مَرْيَمُ لَقَدْ جِئْتِ شَيْئًا فَرِيًّا

(MARYAM - 27)
Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!

Swali naliwauliza Wakatoriki.

Huyo Maria ni nani ?

Wakatoriki Naomba Jibu Tafadharini
Sasa kwa poor level of understanding ya mtu kama huyu unafanya naye mjadala upi?

Mtu ambaye hajui vitu vidogo tu kwamba Peter na Petro ni jina moja hivi mtu kama huyu mnadiscuss naye kitu gani?

Siku ukiambiwa Bill Clinton jina lake ni William nadhani utabishana mpaka asubuhi, au ukiambiwa Bob ni Robert ndio hutaelewa kabisa.

JF imejaa watu wa hovyo sana.
 
Tatizo la mswahili daima hajui kukemea kitu chochote, kwenye mabaya mjifunze kukemea pia sio kutetea kila kitu hata kama inakuuma au unapotezea tu
Unakuta mkurugenzi kapiga billions halafu jitu linasema hata mimi nisingeziacha unakuta ana watoto wanauza chupa za maji hapo
 
Hakuna Shetani wala Mungu.

Dini zote ni siasa za watu tu.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyeweza ku prove uwepo wa Mungu.

Na kama kuna mtu anabisha, nampa nafasi a prove Mungu yupo.
najua dini ni siasa mkuu.

we unaamini katika nn mkuu?
 
Matola vita yake ipoje hapo maana siku za karibuni Papa kamtimua kiongozi mmoja wa kanisa kutokana na kutokubaliana na Sera za kanisa hapo Illuminati wanaingiaje na Papa nimemsikia akiongea yeye mwenyewe kuhusu hizo mambo ya Ushoga...
Kutofautiana na Sera za hakukuanza leo, ni tangu mwaka 500 na kitu na ndio chanzo cha Orthodox kuwa na Papa wao na kujitenga na Roman Catholic na moja ya sababu kubwa ya kanisa katoliki la Mashariki ( Orthodox) kujitenga na kanisa katoliki la Magharibi (Roman Catholic) lilikuwa ni matumizi ya sanamu pamoja na kupinga swala la Roma Locuta, Causa Finita Est.

Je mkuu ulimpomsikia Papa akiongelea ushoga ulimsikia akiongea kwa lugha gani? Kilatini? Kireno? Kitaliano? Kingereza, Kijerumani au kwa lugha gani?
 
Nilishaamua kuswali kanisa la moyoni kwangu muda mrefu, kanisa langu ni pale nilipo ninapoweza kuswali bila kubughudhiwa na sio ktk jengo au halaiki ya watu, kama nakosea nitajua siku ya mwisho na Mungu wangu.
 
Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
Huu ni mtazamo mzuri sana.
 
Siyo kazi ya Simba kushughulika na propaganda zilizopo kwenye app ya Yanga.

Ujinga kama huo unaweza kushabikiwa na Waafrica tu, ukitaka taarifa sahihi za Simba nenda kwenye media za Simba.

Wakatoliki wana redio Maria, wana Tumaini, ukitaka taarifa sahihi za kanisa nenda huko.

Mpaka leo Biblia hii hii ya kiswahili bado inafanyiwa tafsiri ili ieleweke kwa lugha sahihi.

Papa anaongea Kilatini, Bbe wanaripoti Uingereza halafu wanakutafsiria kwa kiswahili lazima uingizwe king na watu wenye agenda binafsi.

Ukiweza kutumia akili zako haya kama ni ndogo tu, jiulize kuna media ngapi duniani ni kwa nini ni BBC na Vatican tu?

Hata waislamu media zao huoni kuzipa uzito hizo propaganda za Illuminati.

Kuna vita ya miaka Mingi kati ya Illuminati na Vaticano.
Ina maana hiyo askofu wa Tyre hajui kilatini? Nafkiri kuna usasa na ukale ndani ya kanisa. Na hii inshu ilianza muda ikapamba wakati wa papa aliyestaafu yule. Yakamshinda akaona akajifie mbele lakini ndani ya kanisa katoriki kama vile kuna vuguvugu kubwa kwa miaka sasa na linachagizwa na ukanda, usasa na ukale wa kimtazamo.
 
No no no.
Mariamu na Maria ni majina mawili tofauti kabisa.

Hakuna Aya katika Injiri ya Kiswahili inavyo taja jina la Maria.

Qurani inamtaja Kama Maryamu kwakuwa Ina lafudhi ya Kiarabu labda. na inasound kama Mariamu na sio Maria.

Biblia hasa Injiri haina jina la Maria kabisa.
Kama lipo niwekee hiyo Aya.

Dada wa Musa aliitwa Miriamu je na yeye ni Maria pia?

Who is Maria ?

Mathayo (Mat) 1:18
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. [emoji117]Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Ona jinga kama hili, hata ulielimishe vipi baadaye litahoji Ibrahim siyo Abraham.
 
Wewe si Mkatoliki.Nakupa pole sana Kwasababu unatumia nguvu nyingi sana kwa kitu ambacho kipo out of your Control;Kanisa Katoliki umezaliwa ukalikuta utakufa utaliacha likiendelea kushine,Papa Francis ni mteule wa Mungu mwenyewe wewe hutaweza kumuangusha.Kashfa km hizo wewe si wa kwanza kuzizusha,Soma Vizuri Historia ya Kanisa Katoliki utajionea jinsi Kanisa na Viongozi wake walivyozushiwa kila aina ya ubaya,lkn cha kujiuliza kwanini hadi leo Kanisa Katoliki bado lipo?,na ndio linaongoza kwa kuwa na Wafuasi wengi?,Kwamba wote hao hawana akili?,Aisee!!,Nguvu ya Mungu ni kubwa kuliko unavyodhani,hili Kanisa liache km lilivyo hutaweza kuliyumbisha wala Viongozi wake.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kuna hatua gani au mchakato gani ndani ya watu wanaomfata kristo ili waitwe wateule?
 
Back
Top Bottom