Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm ni binadamu,
Wewe Ulitakaje?.Hebu nenda huko.Kama mtu asipomeet expectations zako haimaanishi vile unavyomfiria
Pole
Wewe ni show-ga? "Mary" ni lugha gani?Swali kwa Wakatoriki.
Mama wa Yesu ambaye aliolewa na Yusufu jina lake ni Mariam.
Mathayo (Mat) 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Luka (Luk) 1:30
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Katika kila Ibada ya Wakatoriki iwe ya mtu mmoja au wawili au watatu au Jumuiya au Kanisani ni lazima katika sala atajwe mwanamke anayeitwa Maria.
Tena inaenda mbali mpaka anaimbiwa nyimbo za kumtukuza atasikia.
" Salamu Maria eeh mamaa, salamu Maria eeeeeh"
Inaenda mbali hadi katika kila kanisa ni lazima iwekwe sanamu zaidi ya moja ya huyo mwanamke aitwae Maria.
Inaenda mbali mpaka sanamu hiyo inasujudiwa na waumini na kuwekwa mbele ya mimbari huku waumini wakisali kwa kuitizama na kuomba kusamehewa dhambi.
Nimeisoma Injiri Yesu kuanzia Mathayo hadi Ufunuo wa Yohana sijawahi kuliona jina la Maria, katika Biblia zote.
Nimesoma Qurani hakuna Aya inamtaja mwanamke aitwaye Maria Bali inamtaja Mariam tena imempa sura nzima ingawa inamtaja kwa makosa makosa ila inamaanisha Mariam Mama wa Yesu.
فَأَتَتْ بِهِ قَوْمَهَا تَحْمِلُهُ ۖ قَالُوا يَا مَرْيَمُ لَقَدْ جِئْتِ شَيْئًا فَرِيًّا
(MARYAM - 27)
Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
Swali naliwauliza Wakatoriki.
Huyo Maria ni nani ?
Wakatoriki Naomba Jibu Tafadharini
Nani kaing'ang'ania au wewe ndio unang'ang'aniza watu kuonekana ni watenda dhambi?.Jichunge sana mzee.Hey mapungufu tunayakubali na kuombea toba ila dhambi inang'ang'aniwa ionekane ni halali
Hakuna majibu kwa muislamu, we ondoka zako tuSwali kwa Wakatoriki.
Mama wa Yesu ambaye aliolewa na Yusufu jina lake ni Mariam.
Mathayo (Mat) 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Luka (Luk) 1:30
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Katika kila Ibada ya Wakatoriki iwe ya mtu mmoja au wawili au watatu au Jumuiya au Kanisani ni lazima katika sala atajwe mwanamke anayeitwa Maria.
Tena inaenda mbali mpaka anaimbiwa nyimbo za kumtukuza atasikia.
" Salamu Maria eeh mamaa, salamu Maria eeeeeh"
Inaenda mbali hadi katika kila kanisa ni lazima iwekwe sanamu zaidi ya moja ya huyo mwanamke aitwae Maria.
Inaenda mbali mpaka sanamu hiyo inasujudiwa na waumini na kuwekwa mbele ya mimbari huku waumini wakisali kwa kuitizama na kuomba kusamehewa dhambi.
Nimeisoma Injiri Yesu kuanzia Mathayo hadi Ufunuo wa Yohana sijawahi kuliona jina la Maria, katika Biblia zote.
Nimesoma Qurani hakuna Aya inamtaja mwanamke aitwaye Maria Bali inamtaja Mariam tena imempa sura nzima ingawa inamtaja kwa makosa makosa ila inamaanisha Mariam Mama wa Yesu.
فَأَتَتْ بِهِ قَوْمَهَا تَحْمِلُهُ ۖ قَالُوا يَا مَرْيَمُ لَقَدْ جِئْتِ شَيْئًا فَرِيًّا
(MARYAM - 27)
Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
Swali naliwauliza Wakatoriki.
Huyo Maria ni nani ?
Wakatoriki Naomba Jibu Tafadharini
Sawa.Ulitakaje kwani?mm ni binadamu,
unaabudu kanisa katoliki?
Coca vip apo kwenye kunena kwa lugha rafiki angu nitoe ushamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani umeambiwa uhame? Umeambiwa upumbavu wa papa tu mengine umeongeza wwHata kama lakini hatuhami
Wewe wasemaKwanini unemumelewa huyo halafu unashindwa na hili nalosema maana dhima ni ile ile
Acha kubeba itikadi
Nmekuelewa nitafuatilia ulichokieleza huenda kuna ukweli japo ni ngumu kuukubali.Siyo kazi ya Simba kushughulika na propaganda zilizopo kwenye app ya Yanga.
Ujinga kama huo unaweza kushabikiwa na Waafrica tu, ukitaka taarifa sahihi za Simba nenda kwenye media za Simba.
Wakatoliki wana redio Maria, wana Tumaini, ukitaka taarifa sahihi za kanisa nenda huko.
Mpaka leo Biblia hii hii ya kiswahili bado inafanyiwa tafsiri ili ieleweke kwa lugha sahihi.
Papa anaongea Kilatini, Bbe wanaripoti Uingereza halafu wanakutafsiria kwa kiswahili lazima uingizwe king na watu wenye agenda binafsi.
Ukiweza kutumia akili zako haya kama ni ndogo tu, jiulize kuna media ngapi duniani ni kwa nini ni BBC na Vatican tu?
Hata waislamu media zao huoni kuzipa uzito hizo propaganda za Illuminati.
Kuna vita ya miaka Mingi kati ya Illuminati na Vaticano.
Hili ni kweli ila tusibishe tuna watu takataka ndani ya kanisaBBC ni shirika la serikali ya Uingereza ambayo inapigana na Catholic church. Mfalme au Malkia wa Uingereza ndio huwa anakuwa mkuu wa kanisa lao la Anglican. Kanisa lao limepitisha ndoa za jinsia moja kabisa na huwa linazifungisha ila huwezi ona BBC Swahili wanasema hilo.
BBC Swahili kila siku ni kufanya spinning dhidi ya Katoliki utadhani hawana akili timamu. Tafsiri zao ambazo baadae huomba radhi na kujifanya wamekosea huwa zinakuwa tata siku zote. Sijui staff ya BBC Swahili imejaa waandishi wa zamani wa Udaku
Ndio izo shakarabaabaaaa?uwepo wa hizo, haimaainishi kwamba hakuna lugha halisi za Mungu ambazo mwamini yeyote inampasa kuwa nayo ili awasiliane na Mungu. kumbuka kuwa tunaweza kuongea/kuomba kwa akili, na tunaweza kuomba kwa Roho pia.