UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

ila mauzauza ya kanisa katoliki hata shetani anayaogopa, huyu alexander vi alikuwa pepo kabisa
Mdogo wangu hakuna sehemu yeyote inayoongozwa na watu ikawa na watakatifu tupu
 
Wewe ni show-ga? "Mary" ni lugha gani?
 
Hakuna majibu kwa muislamu, we ondoka zako tu
 
Nmekuelewa nitafuatilia ulichokieleza huenda kuna ukweli japo ni ngumu kuukubali.
 
Hili ni kweli ila tusibishe tuna watu takataka ndani ya kanisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…