Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Tunaposema ilishuka ni maneno ndio Qur an sio kitabu yaani yale maneno alikuwa anaambiwa mtume , sio kitabu kwamba kilishuka 😀 😀

Qur an ni yale maneno sio makaratasi .
Alaah sawa sawa shekhe sasa nani alimsikia na kumwona huyo Mungu wenu akishusha hayo maneno?

Hilo tukio lilitokea wapi na wangapi walishuhudia?
 
Umekutana na waislam wangapi mkuu ? Umewahoji wangapi ?
Maana hata ukisema umewahoji 1000 bado idadi ni ndogo mno waislam ni wengi xx cjui takwim zako kama zina ukweli
Zina ukweli haswa sasa mtu anakwambia Uislam ulikuwepo kabla ya Mohammad Bin Abdula Mwaka 600 CE na anakomaa kabisa na ukimpa elimu hataki unataka tumsaidiaje?
 
wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
Vipj kuhusu mwandamo mbona mnatofautiana?
 
Sawa, Nadhani nimeeleza vyema maana halisi ya uislamu. Hizo Frequency zako ni juu yako na kichwa chako mwenyewe.
 
Ndio ulitakiwa ukae usome kwanza, nenda kagoogle kwanza malaika gani alikuwa anampa ujumbe mtume kutoka kwa Mungu , kama ulivyo .

sasa ule ujumbe ndio Qur an
Ahaa sasa nakubali kumbe hata Yesu Kristo alichokua anakisema ni Mungu kasema na kaagiza ikiwa na maana ni Mungu mwenyewe anasema sasa kuna haja gani ya nyie kuwapinga waliotangulia kupewa maneno kabla yenu yaani christian?
 
Unachotakiwa kujua Kuna stages za Compilation of Quran
1 ilikuwa ikiandikwa kwenye Magome ya miti 2 Ngozi za wanyama 3 Karatasi
mara ya kwanza kabisa ilikuwa ikihifadhiwa kifuani lakn baadae ikaonekana kuwa wale waliohifadhi Quran Wanakufa ikahofiwa isijeikapotea ndio ikawa inaandikwa Kwa stage hizo mpaka kuja kuwa compiled ktk Single book kwaiyo sio kweli hivyo usemavyo
 
Ahaa sasa nakubali kumbe hata Yesu Kristo alichokua anakisema ni Mungu kasema na kaagiza ikiwa na maana ni Mungu mwenyewe anasema sasa kuna haja gani ya nyie kuwapinga waliotangulia kupewa maneno kabla yenu yaani christian?
Yesu hakuwa Mungu , ila alikuwa akifanya ibada kama njia ya kuwasiliana na Mungu , kwani ni wapi waislamu wameikataa injili soma vitabu vinne vya Mungu injili ipo .

Unachobisha wala hakipo maana hakuna sehemu kuna tatizo ....
 
Yesu hakuwa Mungu , ila alikuwa akifanya ibada kama njia ya kuwasiliana na Mungu , kwani ni wapi waislamu wameikataa injili soma vitabu vinne vya Mungu injili ipo .

Unachobisha wala hakipo maana hakuna sehemu kuna tatizo ....
Yesu hakua Mungu kivipi wakati kiumbe chochote huangaliwa Asili yake aliyobeba?
Katika Maandiko yenu Baba wa Nabii Issa Bin Maryam ni nani?
 
We shetani acha uongo.
Kweli mkuu fikiria kwa mbali hizi dini zimeletwa kukutawala kifikra tu hakuna kweli yoyote wakristo wanasema w wanasema Yesu hana baba na waislam wanaamini hivyo
Hivi kweli karne ya 21 unaamini huo ujinga yaan mtu azaliwe bila ya baba
 
Unaweza ukanieleza sababu ya hao watunzi kujaza mambo mengi kwenye hivyo vitabu hata ambayo hata waumini wa zama hizo hawakuweza kuyaelewa vizuri? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?
 
Kama unaujua uislam ni nini maana ya Kashfi?
 
Sasa kufuata dini ya wakoloni na kufuata dini kisa tu ni ya mababu zako(asili) tofauti yake ni nini hapo?

Binafsi sioni tofauti au ndio utaniambia kwamba mababu walikuwa wanaomba mvua na zikawa zinanyesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…