Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
- Thread starter
- #181
Alaah sawa sawa shekhe sasa nani alimsikia na kumwona huyo Mungu wenu akishusha hayo maneno?Tunaposema ilishuka ni maneno ndio Qur an sio kitabu yaani yale maneno alikuwa anaambiwa mtume , sio kitabu kwamba kilishuka 😀 😀
Qur an ni yale maneno sio makaratasi .
Hilo tukio lilitokea wapi na wangapi walishuhudia?