Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Huna akili kichwani.Ukristo umeanzishwa na paulo , maneno yake ndio anawaambia wagalatia , wakorintho sio maneno ya yesu .
Rudia kusoma vizuri kijana 😀 😀
Wakorintho 1:1
''Paulo, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu''
Hapo ni salamu ya paulo sio Yesu alikuwa kashaondoka
Marko 9:39
Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya mwujiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya;
40 kwa sababu asiye kinyume chetu, yu upande wetu.
41 Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Mathayo 16:17
Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Kichwani ni Zero Brain.
Wa Kanisa la Paulo