Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lako hutegi sikio la kuelewa bali unatega sikio la ukishajibiwa ujibu nini!Mseme basi hayo maneno ya sura ya Fatiha anaongea Muhamadi au Allah?
Au waumini Waislamu?
Mungu hafi wala hazeeki. Sasa kwa nini ahitaji mtoto/mwana?
Tunaohitaji watoto ni sisi viumbe wengineo. Kwa sababu mwisho wa siku ni lazima tuwe na warithi.
Mungu yeye ahitaji mrithi wa nini hali ya kuwa si mwenye kuzeeka wala mwenye kufa?
Toka shetani amlaghai Adam na mkewe bustanini mpaka utatu wa Paulo kanisani,ni kipindi kirefu, kabla ya hapo shetani alibuni uongo gani wa kiimani binaadam wakawa wahangaika nao!?..tatizo huwa mnafikiri nusunusuDivide and rule ni kanuni ya kitambo sana na founder ni Shetani mwenyewe.katika biblia Shetani anaitwa Baba wa Uongo.. Jamaa ni smart sana.
Aliingiza trinity kanisani kitu ambacho hakipo katika Biblia.
Shetani alifanikisha kuwafanya Wakristo Wamkili Mwana uku wakimkana Baba.
Baadae akaunda kundi jingine(uislam) kundi linalo mkili Baba uku likimkana Mwana.
Na ameacha makundi haya yapigane uku kila mmoja akiamini yupo sahihi.
Mungu wa bible ni mpenda damu zaidi,kupitia sadaka za kuteketeza,dzaini ni mpenda nyama choma
Hoja yangu ni kwamba, imekuwaje Shetani ambae hana uwezo wote amepata watoto bila mke wakati Allah mweza wa yote hana mwana kwasababu hana mke?.Mungu hafi wala hazeeki. Sasa kwa nini ahitaji mtoto/mwana?
Tunaohitaji watoto ni sisi viumbe wengineo. Kwa sababu mwisho wa siku ni lazima tuwe na warithi.
Mungu yeye ahitaji mrithi wa nini hali ya kuwa si mwenye kuzeeka wala mwenye kufa?
Nimetokea kukubali mpalia makaa kwa mada kama ni Msamvu Gasoline tank accident wewe ndie yule mchomoa betri
Shetani alibuni dini ambayo anadai watu wampiganie Mungu kwa kuchinja na kulipua wenzao then atawapa pepo yenye mito ya pombe na Mabikira 70 wenye macho kama vikombe!Toka shetani amlaghai Adam na mkewe bustanini mpaka utatu wa Paulo kanisani,ni kipindi kirefu, kabla ya hapo shetani alibuni uongo gani wa kiimani binaadam wakawa wahangaika nao!?..tatizo huwa mnafikiri nusunusu
Kama una muda wa kuandika kwamba Quran haina different variations bila kufanya historic review bac utakuwa na muda wa kufatilia waliyotenda hao watu.Jukwaa huru funguka huwa sina time kudiscuss maneno ya Kanga, una muda wa kuandika comment ndefu ila huna muda wa kuziweka hizo facts hapa?
Mimi ni msema kweli hata kama ukweli huo ni mchungu.Nimetokea kukubali mpalia makaa kwa mada kama ni Msamvu Gasoline tank accident wewe ndie yule mchomoa betri
Wiiiiiiiiiuuuuu puuuuuuuu! 💥
Watu ........Yallahhhhh!
😁😁
Hahahah hicho kisomo chenu ambacho hata mnachokisoma hamkielewiUkisomewa kisomo usije kutulilia
Moja ya sifa maarufu za hazina ya siri iliyotajwa katika maneno "Mimi ni hazina ya siri. Nilitaka kutambulika na hivyo nikaumba viumbe".Tujiulize why Mungu asiye na huitaji aumbe mtu wakati hagain chochote toka kwake?.
Kama wenye Dini ndio wako hivi hii ni Cult kamili
MkuuYaani waislam wajenge misikiti kuelekea Yerusaleem hivi we jamaa hii historia umeipata wapi? Wakati tangu Zamani Ethiopia inajukllikana ni kama vile Ina dini inayoshahabiana na Uyahudi. Tangu malkia zao wa anciety Ethiopian. Labda ungesema hayo yalikuwa mahekaki ya dini za kiyahudu lakini siyo uislam. Ktk historia Wareno walitamani kwenda Ethiopia kwa ajili ya kuunganisha nguvu na mfalme wa Ethiopia kupigana na usioama wewe unasema Ethiopia ilikuwa na waislam na walijenga mahekalu kuelekea Jerusalem mji wa Daudi!
Hivi hii historia yako iko sawa kweli?
Kama unaona wapo wataje!kuna nabii yoyote kati ya manabii laki moja na 24 wanaotambulika na Quran aliwai sema Mungu hana mwana kando na Muhammad?.