Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Mwaka mpya hata wakirsto wa ethiopia, waisraeli, Ancient Babylonian and Syrians na wachina walikua nazo.
Waislamu mpaka leo tena wanajua sababu ya kwa nn ni mwaka ule , sasa niambie huu mwaka ulianzaje mpaka unasema dunia leo ni mwaka 2024 , ukijibu nakupa hela dogo !?

Wakati wanasema binadamunaliishi miaka million iliyopita
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada,
Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao,
Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa,
Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!
Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
[emoji16][emoji16]
Naunga mkono hii mada,maislamu Yana upeo mdogo sana kwenye kuelewa mambo ya kiroho
 
Quruani ziko version nyingi ndugu.
Hamna version ya Qur an ni moja tu , pia upangliaji wake una mahesabu ukibadili nukta basi inajulikana hii ndio calculation simple .

Ilikatazwa kupelekwa lugha tofauti hapo awali haswa kweny makabila ya kiarabu , israel ili isipoteze maana . leo ukisoma basi unaweza kutafsir kweny lugha yake ila OG ni ya kiarabu
 
Kumbe wewe hujui ? Waaabu hakuleta dini ...Pia weka hili kweny akili watu wa zamani walikuwa wabishi kuliko kiazazi hichi sio rahisi kueneza tamaduni mpya ...Ukiachana na waliosoma elimu ya mzungu .

Kalete picha za watemi wote wa zamani then nikuonyeshe kitu ...Utajua hapo mwanzo Africa walikuwa wanafuata dini gani .
1. Unasema walikua wabishi mbinu zilizotumiwa kuwatawala ndio zilizotumika kuwabadisha .. amka wewe ..

2.Africa kulikua hakuna dini maalumu kama unavyodhani!?
Kila eneo lilikua lina fata tamaduni zao .. na wanaomba Mungu kwa kupitia hizo tamaduni..
 
Quruani ziko version nyingi ndugu.
Version kwa maana ya dialect, sio mara ya kwanza kudiscuss hili jambo ila kila mkielimishwa mnalirudia. Quran ni ile ile haijabadilika, dialect hai badili maana bali hubadili tu namna ya kutamka maneno.

Leo mmakonde akisema "ukisimama Nchale, ukikaa Nchale" haja badili maana ya neno Mshale bali dialect yake ya kiswahili anatamka Mshale kama Nchale.
 
1. Unasema walikua wabishi mbinu zilizotumiwa kuwatawala ndio zilizotumika kuwabadisha .. amka wewe ..

2.Africa kulikua hakuna dini maalumu kama unavyodhani!?
Kila eneo lilikua lina fata tamaduni zao .. na wanaomba Mungu kwa kupitia hizo tamaduni..
Ndio maana nilijua akili yako ni ndogo tu , hakuna ushahidi kwamba dini zilienezwa tambua mila nyingi za kiafrica watu waliacha baada ya kuja wazungu , miaka ya 1900 bado .

Pia tambua mwaka 1884 Africa ndio ilitawaliwa rasmi , ilikuwa sio rahisi kwa waarabu kusambaza dini kama unavyosoma inadaiwa walikuwa wanafanyabiashaa ya watumwa , sasa iweje waeneze dini wakati watu walikuwa wanawakimbia .

Dini ni mpango wa Mungu ndio maana ilifika Africa ...Hakuna hata mzungu anayeweza kukuambia dini ilifikaje Africa ..

kwa nn wewe ni mjinga , Wzungu wanajua dini chimbuko lake ni Misri , sasa niambie Misri ipo bara gani ?

Licha ya manabii kutokea Mashariki ya kati ila chimbuko la maarifa yote ya dini wazungu wanajua ni misri .
 
Naunga mkono hii mada,maislamu Yana upeo mdogo sana kwenye kuelewa mambo ya kiroho
Yakiroho yapi wewe!!
Tena kiukweli waislamu ndio wanaobudu kuliko wakristo na wanaimani kweli kweli…

1. Leo utaenda majumbani mwa watu unakuta picha wanasema ya yesu … kumbe ya actor wa hollywood …

Halafu jiulizeni neno Jesus limetoka wapi!? Na je ni jina kweli la masihi tunaemfikiria …
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada,
Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao,
Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa,
Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!
Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Ila wakristo wengi waliojaribu kuujua uislamu wameishiwa kuvutiwa nao embu cheki story ya huyu muigizaji wa nigeria amehamia jirani na msikiti hadi anataka kupeleka sadaka msikitini kwakuwa umebadilisha maisha yake
 

Attachments

  • Screenshot_20240709-142728_Facebook.jpg
    Screenshot_20240709-142728_Facebook.jpg
    381.9 KB · Views: 2
wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
Hizo siku zote alizuumba Mungu. Yeye ndie sabato Matayo 12:8
wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
YESU NDIE SABATO TULIEPEWA, Mathew 12:8. Yesu aliziumba siku ndie sabato, iwe jumatatu au jumatano zote ni siku zake. Kuabudu siku zote lakini Tenga siku ya kukutana n waumini wenzako
 
Kama msomi ilitakiwa upunguze porojo then uje na hoja ambazo zinajieleza moja kwa moja na utafiti wako ambao umeufanya ilitakiwa uje na quotation,citation na referrence
 
Back
Top Bottom