Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada.

Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao.

Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa.

Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!

Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Sijaona mifano kutokana na hoja zako, zaidi ya kuanza kujitetea unayosema.
Wewe elezea jinsi history ya uislam ilivyo na tupatie reference umesoma wapi???
 
Anko wa Bi Ayesha yule Warraka bin nani vileee aliyekua padre!
😁😁
Kumbe wewe ndio haujui bali unekuja kupotosha watu. Kuwa mkristo ndio fact ya historia ya uislam haijulikani.
Kwa taarifa yako ukisoma vizuri historia ya uislam mambo mengi yaneelezwa. Ebu nielekeze mtaalam wewe umesoma kitabu kipi ambacho kimekupatia ufahamu wa kujiona na wewe ni mchambuzi wa maswala la kiroho
 
Uislamu ulikuwepo kabla ya hapo kama ungesambaa kwa jihad usingefika hata nusu ya Africa , story za kina othamn don fodia ni uongo kama stori za binadamu wa kwanza kuwa nyani .

Pia wengi mnadanganywa kama jihad ni vita ya kusambaza uislamu , ila jihad ni pana sana ikiwa na maana ya kujitolea ....Jihad ilikuwa waislamu kujilinda na kushambulia sio wao walianzisha jihad walipewa maelezo ya kujilinda .

Jihad haikupiganiwa kweny makazi ya watu , palikuwa na viwanja vya vita mbali na mkazi ya watu ....Nje ya hapo hakuna jihad ni uongo
Sifa kubwa ya uislamu ni uongo,leo makundi ya kiislamu yanashambulia wakristo makanisani na kwenye maeneo yao wewe unasema kuna viwanja maalumu nonsense.
 
Sifa kubwa ya uislamu ni uongo,leo makundi ya kiislamu yanashambulia wakristo makanisani na kwenye maeneo yao wewe unasema kuna viwanja maalumu nonsense.
Naona umekuja kweny point nyingine 😀 😀 hii ndio point yako , uliona wapi Mtume alipigana vita kweny makazi ya watu wakati kila vita inaonyesha sehemu walipigana .

Ndio maana nakuambia wewe ndio hujui ila waislamu wanajua , Vita ya live kama vita ya kwanza , mauaji ya kimbali haya wamepigana wagalatia live ila husemi .......Kama ingekuwa uislamu u nahusika basi ungeshapotea wengi wanajua ukweli zaidi na zaidi .
 
Kumbe wewe ndio haujui bali unekuja kupotosha watu. Kuwa mkristo ndio fact ya historia ya uislam haijulikani.
Kwa taarifa yako ukisoma vizuri historia ya uislam mambo mengi yaneelezwa. Ebu nielekeze mtaalam wewe umesoma kitabu kipi ambacho kimekupatia ufahamu wa kujiona na wewe ni mchambuzi wa maswala la kiroho
Sio najiona ni kitu halisia ninacho nilianzia kusoma Sumerian tablet and Code of gods Annunak,
Kemet code mpaka kufikia New Testament the code of Yashua Amasiach Nazarene (Jesus Christ of Nazareth)
Ikawa hitimisho la kua Spiritual enlightenment kwa kiwango cha juu!
Hivyo naongea kwa experience na kujiamini najua nachokisema sijasimuliwa nakifanya kwa mfano!
 
Waislamu wanajua mpaka mwaka mpya wao , unataka kufananisha na vichaa wengine
Kuna wasiojua mwaka mpya wao?. Uislam sio dini ni political movement. Hoja ya Quaran kushushwa ni hoja isiokuwa na ushahidi kama ilivyo kupaa kwa Mohamed.
 
Sijaona mifano kutokana na hoja zako, zaidi ya kuanza kujitetea unayosema.
Wewe elezea jinsi history ya uislam ilivyo na tupatie reference umesoma wapi???
Nimesoma secret documents za Roman empire,
Zilizobebwa na
Napoleon Bonaparte alipo mteka Papa Pius VI,
Ambazo zinaonesha Roman empire under Catholic Church ndio founder wa Islam Religion under secret agent Nestorian Monk Bahira wa Bosra
Ndio waliompa Mohammad Bin Abdula Mutalib utume kwa manufaa yao!

Hili unalifahamu?
 
Hizi ni propoganda za kimangaribi … zimeshakuingia …
Hakuna muislam anaemriwa kufanya hivyo..
Hizo video na matukio yanayofadhiliwa na mataifa ya magharibi yasikuchanganye ukajua ni uislamu..
Acha kuangalia mbaali angalia waislamu waliokuzunguka hapo je wanachinjana!?

Usiamini kila unachokiona kwenye mtandao mengine ni unalishwa na kuwa brain washed … ili uwe upande walioukusudia…
Waislam wetu si ndio wale wa Kibiti na Tanga? Wengine ndio hawa waganga wavuta majini na waganga. Waislam wengi wazuri ni wale liberals, hawa wengine wa swala tano ni changamoto.
 
HAKUNA KAFIRI MWENYE ELIMU KATIKA HII DUNIA

UZURI KWA SASA DINI YA KIISLAM INAELEWEKA HADI KWA WASIO WA ISLAM

HAKUNA KAFIRI MWENYE ELIMU KATIKA HII DUNIA

UZURI KWA SASA DINI YA KIISLAM INAELEWEKA HADI KWA WASIO WA ISLAM
Hahaha Kafir! Kafir!
Nani anaulewa Uislam nje ya muslims?
Toa magwanda hapa!
😁😁
 
Kuna wasiojua mwaka mpya wao?. Uislam sio dini ni political movement. Hoja ya Quaran kushushwa ni hoja isiokuwa na ushahidi kama ilivyo kupaa kwa Mohamed.
Pale unajua imeshushwa kweny makaratsi ndio tatizo 😀 😀 😀 Qur an ni ule ujumbe ndio maana mnapata tabu kuchoka kile kitabu.
 
Pale unajua imeshushwa kweny makaratsi ndio tatizo 😀 😀 😀 Qur an ni ule ujumbe ndio maana mnapata tabu kuchoka kile kitabu.
Ule ni uongo kama ilivyouongo mwingine. Quran imecopy baadhi ya vitu kwenye Bible, vingine wakabadili details zake wakachanganya na taratibu za Kiarabu, tayari Quran ikakamilika.
 
Ule ni uongo kama ilivyouongo mwingine. Quran imecopy baadhi ya vitu kwenye Bible, vingine wakabadili details zake wakachanganya na taratibu za Kiarabu, tayari Quran ikakamilika.
Ukiweka mifano itapendeza zaidi ili wengine nao tujifunze.
 
Back
Top Bottom