100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Inawezekana kipindi kile cha ujamaa miaka ya 1960's Mwalimu aliona Zanzibar ipo kimkakati na itapelekea manufaa kwa Tanganyika, masuala ya usalama, uchumi na siasa zilikua sababu chache.
Na pia Zanzibar waliona hivyo kuwa na muungano pamoja na Tanganyika.
Pengine ilikua ni hatua za mwanzo ya kile viongozi wale waasisi kuiunganisha Africa, wakiwa na fikra Kenya, Uganda n.k zitajiunga siku moja.
Walikuwa na sababu za kujiunga.
Kinachopelekea vijana leo wakose kuelewa kwa nini huu muungano ukawepo ni kwa sababu wazee wale na sisi vijana wa sasa tunatofautiana katika maono.
Na pia Zanzibar waliona hivyo kuwa na muungano pamoja na Tanganyika.
Pengine ilikua ni hatua za mwanzo ya kile viongozi wale waasisi kuiunganisha Africa, wakiwa na fikra Kenya, Uganda n.k zitajiunga siku moja.
Walikuwa na sababu za kujiunga.
Kinachopelekea vijana leo wakose kuelewa kwa nini huu muungano ukawepo ni kwa sababu wazee wale na sisi vijana wa sasa tunatofautiana katika maono.