Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

Wanasem Wazenji kwamba wakipewa uhuru wao, watawaita Waarabu wa Dubai na Oman wapabadirishe hapo pawe kama Dubai...
Haya ni maoni yako, una haki ya kutoa maoni. Hakuna siku ilisemwa Wazanzibari wakipewa uhuru watawia Waarabu. Kama ni hivyo ilikuwa na maana gani kufanya mapinduzi? Hata hili hulijui? Au ndo kwasababu ni Mtanganyika na umeshadanganywa huko? Tumia akili ki
Sasa akili zao zilivyo fupi, chakula kinatoka Bara.. na Wazenji wengi hawana kazi za maana nikimaanisha hakuna mzunguko wa hela unaoeleweka ukiweka pembeni shughuli za Utalii na Uvuvi.
Pingine huna habari na unapiga ramli. Waulize wenzio huko jee hiki chakula Zanzibar wanagaiwa bure? Haya unayosema ni kinyume chake, kwani Zanzibar ikiamua kuacha kununua bidhaa za Tanganyika, na hili linawezekana,Tanganyika itakosa soko kubwa la bidhaa zake.

Ukizungumzia kutokuwa na kazi za maana na hakuna mzunguko wa pesa pia hujui kinachoendelea na wala hujui nadharia ya uchumi. Wewe kwa ujuzi wako unadhani uvuvi ma utalii sio kazi zinazoeleweka? Kama ni hivyo ni kazi gan zinazoelewka?
Mazao yao hayo ya karafuu, mwani etc havitoshi kuingiza kipato kwa mtu mmoja mmoja.
Bado una akili za kuambiwa. Hivyo karafuu na mwani kuwa havitoshi ndo iwe basi? Hujawaona Wazanzibari wakifanya shughuli nyingine?
Ikumbukwe karibu nusu yao wapo huku Bara.. wakipewa uhuru wao na sisi tunawatimua huku warudi kwao hivyo overpopulation itakuwepo na ufinyu wa resources lazima uzidi kuwadidimiza.
Hapa ndo unazidi kuonesha kutojua. Nani kakwambia population inadidimiza taifa? Hivi leo China imedidimia? Unaijua population ya China?

Jitahidi kufanya utafiti kabla kuandika. Sio kila jambo huandikwa.
 
Usiwe na wasiwasi wale wajomba zenu wa Oman wapo, mtatoboa tu.
 
Mimi mpaka kesho najiuliza, nyinyi watanganyika mnafaidika nini na huu muungano?
Nani aliwaloga?
Hampati chochote na bado mnabebeshwa mzigo mzito wa kuihudumia Zanzibar lakini hamchoki tu.

Yaani Mzanzibar ataendelea kumdharau kila mtanganyika milele.
Wewe mchaga tulia kama mwanaume andika hoja sio kutumia utambulisho wa sehemu hta haikuhusu. 😛
 
Huyo ni mchaga kutoka machame yupo Zanzibar anauza vinyago
Huwa wanadanganywa mdhabahuni kuwa Wazanzibari, kwa imani yao, hawajiwezi na hawajui kitu ila tunapokutana nao kivitendo huwa wanajua kwamba sisi sio kama wanavyoambiwa. Mimi mara nyingi huwaambia kwamba 'akili za kuambiwa changanya na zako'
 
Umesahau na kuuza kwenu urojo na pweza hapa bara ,pamoja na kununua ardhi bara msingeweza kuishi znz
 
Hizo ni ndoto za mchana.
Hao jamaa nimeishi nao maana ni mtu wa kaskazini ila sio watu wazuri, hawa wana chuki sana sio marafiki ..Hawa wanasema eti kanisa lina nguvu il juzi hpa DP world wamepigwa chini na waraka wao wa kitoto ....Mchaga anachukia watanzania wote .

Kama unabisha hwa wachaga wakiona ndugu mweny yao kaoa mtu nje ya jamii yao wanamkosa , watafanya visa kuonyesha chuki rejea Dvid Mosha na ndoa ya Barnaba.

Bora kujiunga na zenji kuliko hawa wakimbizi wasiotaka kukaa kwao.
 
Aseee ,ivi ulikuwa wapi mdaa wotee asee

Mmoja wa Mzanzibari mwenye akili.nahisi unaDNA za Bara wewe .si bure Shehee

Njoo Arusha nikupe kiwanjaa ukae hukuu

Kikinuka wala hutokuwa na shida Tajiri
Nimesikia huko Arusha kuna wadudu, sasa haka kamuungano ketu siku kakifa nahisi hao wadudu watanitoa mkuku nirudi kwetu unguja na kugawana kibanda changu!
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Back
Top Bottom