Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.

Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.

Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Kwa mzanzibari anayejielewa na asiye mnafki lazima azungumze maneno kama haya .

Hongera kwako kwa kulitambua hilo
 
Wanasem Wazenji kwamba wakipewa uhuru wao, watawaita Waarabu wa Dubai na Oman wapabadirishe hapo pawe kama Dubai...

Sasa akili zao zilivyo fupi, chakula kinatoka Bara.. na Wazenji wengi hawana kazi za maana nikimaanisha hakuna mzunguko wa hela unaoeleweka ukiweka pembeni shughuli za Utalii na Uvuvi.

Mazao yao hayo ya karafuu, mwani etc havitoshi kuingiza kipato kwa mtu mmoja mmoja.

Ikumbukwe karibu nusu yao wapo huku Bara.. wakipewa uhuru wao na sisi tunawatimua huku warudi kwao hivyo overpopulation itakuwepo na ufinyu wa resources lazima uzidi kuwadidimiza.

I wish siku ifike kila mtu abebe chake.
Tatizo kuu ni CCM ndio wanaoung'ang'ania.
 
Nakwambia hivi, Tanganyika kwa sasa ndio inatusitiri sisi wazanzibar. Bila Tanganyika hatuna ulinzi, usalama wala umeme.

Karafuu iliyokuwa inatupa jeuri ilishakufa kitambo sana, na kwa uvivu wetu tumeshindwa kuifufua, na sasa tunasikia huko Tanganyika mlishaanza kuotesha na kuvuna karafuu yenu kwa fujo.....

Bandari ya Zanzibar iko mahututi maana kila jirani yetu (Beira, Mombasa, Comoro, Eritrea, Djibout, Dar, Mtwara, Tanga) alisha imarisha bandari yake, Zanzibar hatuna tena upekee wa kibandari....

Zanzibar tumebakia na Utalii pekee yake (ambao ni wa msimu, na watalii wenyewe wengi huanzia bara au kumalizia bara maana huko wako huru kuvaa chochote, kula mwaka mzima (huku kula hadharani kipindi cha Ramandan ni mwiko!), kula chochote (hata kitimoto), kunywa chochote(pombe), hapa Zanzibar watalii wanapita kwa siku zisizozidi tatu (kushangaa mchanga mweupe wa beach ambao umegundulika umejaa vilivyo kule Tanganyika (Kigamboni), kutafuna machoko wakizenji na kubwia unga kwa uhuru kisha kusepa zao). Bahati mbaya sana na huo utalii pekee hautoshi kuendesha maisha ya wazanzibar zaidi ya 1.5milioni kwa siku zaidi ya 90.

Yote kwa yote, mmasai ameshaingia Zanzibar na sasa anataka kutawala utaliii wote.

Nasema hivi, Zanzibar bila Tanganyika twafaa!
Mtanganyika anatujali mnooo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndugu yangu acha kukaza fuvu la kichwa soma na elewa, nimesema Uzenji wangu umekuwepo siku zote na sio kwa sababu ya mimi kuwa na kitambulisho cha ukaazi ambacho wazenji wengi wanakitumia kama silaha ya kuwabagua watanganyika kwenye fursa za Uzanzibar.
Wewe ni mchaga kutoka machame wacha uongo hata uandushi wako unaonyesha hivo
 
Zenji inatakiwa ivunjwe vunjwe kusiwe na Rais , zanzibar yote iwe na mwenyekiti mmoja tu wa mtaa, hatuwezi kuharibu rasilimali kulipa Rais wa zanzibar mawaziri na wabunge wakati ukipiga filimbi nchi nzima inaskia.
Pole sana mtanganyika
 
Wazanzibari wengi ni watoto wa kambo. Baba mwarabu mama mswahili au vice versa. Wakitaka ardhi yao ipo uarabuni, suala la kuitenganisha Zanz na Tanganyika ili baba zao waje ni gumu.
 
Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.

Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.

Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Ila cha kuwakumbusha wazenj, sasa hv, Rais wa muungano na wa, zenj,wote ni wazenj! Mwinyi, na samia,vunja CCM, jiungeni na act na chadema zenj, muidai zenj yenu, !
 
Wazanzibari wengi ni watoto wa kambo. Baba mwarabu mama mswahili au vice versa. Wakitaka ardhi yao ipo uarabuni, suala la kuitenganisha Zanz na Tanganyika ili baba zao waje ni gumu.
Hatuombi mabaya yatokee huko visiwani, ila siku muungano unavunjika, Basi ndio utakuwa mwisho wa amani visiwani

Huwa wanajiona wanatii sheria za dini, lakini ukweli ni kwamba wanachokifanya katika sheria za dini, wanatekeleza kwa angalau 35%

Wakimuona mtu kutoka bara wanaona kama wameona mtu asiye na dini

Maovu kibao wanafanya huko
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanasem Wazenji kwamba wakipewa uhuru wao, watawaita Waarabu wa Dubai na Oman wapabadirishe hapo pawe kama Dubai...

Sasa akili zao zilivyo fupi, chakula kinatoka Bara.. na Wazenji wengi hawana kazi za maana nikimaanisha hakuna mzunguko wa hela unaoeleweka ukiweka pembeni shughuli za Utalii na Uvuvi.

Mazao yao hayo ya karafuu, mwani etc havitoshi kuingiza kipato kwa mtu mmoja mmoja.

Ikumbukwe karibu nusu yao wapo huku Bara.. wakipewa uhuru wao na sisi tunawatimua huku warudi kwao hivyo overpopulation itakuwepo na ufinyu wa resources lazima uzidi kuwadidimiza.

I wish siku ifike kila mtu abebe chake.
Haaa Umeongea Kwa Sauti Ya Mzilankende
Natamani Ningekuwa Iigiiipii
 
Hatuombi mabaya yatokee huko visiwani, ila siku muungano unavunjika, Basi ndio utakuwa mwisho wa amani visiwani

Huwa wanajiona wanatii sheria za dini, lakini ukweli ni kwamba wanachokifanya katika sheria za dini, wanatekeleza kwa angalau 35%

Wakimuona mtu kutoka bara wanaona kama wameona mtu asiye na dini

Maovu kibao wanafanya huko
Wana mbwembwe.
 
Back
Top Bottom