Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
- #41
Safi kijana😂Basi mkuu🤣🤣🤣👐👐👐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kijana😂Basi mkuu🤣🤣🤣👐👐👐
😂👌YohNakuja 🏃🏿♂️➡️,,,,,,,,,,,,,,
#7. Utamu wa mapenzi huzidi maradufu kutoka kwa mwanamke aliyekusotesha sana kumpata.1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke
2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela..
3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi bila wewe"ataweza kuishi bila wewe na atakuacha ...
4.Wanawake wenye mvuto..kama sura ..shepu ...nyash ... siku zote wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa
5.Wanaume wenye pesa siku zote huchukilia mapenzi kama mchezo TU.
6.Waliozama katika dimbwi la mapenzi watapuuza haya adi watapokuja kupigwa tukio.... shauri lao
Sahihi, kwamba mtu fulani anabeba dhamana ya maisha yako nje ya Hewa na Maji."Siwezi ishi bila wewe" ni utapeli.
Kama ameamua kugeuka hewa utaishije bila yeye😅Sahihi, kwamba mtu fulani anabeba dhamana ya maisha yako nje ya Hewa na Maji.
Hii kweli ni insane, 😆.
Kama unaweza kufanya hivyo, I'm in - mazima mazima 😆Kama ameamua kugeuka hewa utaishije bila yeye😅
😅AfadhaliKama unaweza kufanya hivyo, I'm in - mazima mazima 😆
Una uhakika lakini, unaweza fanya hiyo trick?😅Afadhali
Try meUna uhakika lakini, unaweza fanya hiyo trick?
Challenge accepted! 😎Try me
😎Challenge accepted! 😎
kwahiyo hivi ndio unamfundisha mume wa dada yako?Kosa kubwa mwanaume utakalofanya ni kumpenda mwanamke mmoja ! Na kuweka hisia zako kwa mwanamke mmoja, jitahidi ubalance uwe na faraja zaidi ya moja tena kwa usawa na ukihisi kuna mwanamke unampenda Sana jitahidi kupunguza upendo hata kwa visa ili akija kustuka kumbe ulishamwacha kitambo
Au sio😎Challenge accepted! 😎
Ukute Hana dada😅kwahiyo hivi ndio unamfundisha mume wa dada yako?
Nilipe nisepe 😅Achana nayo mkuu fanya mambo mengine.
Ata uingie na style gani kuachwa ni constant 😂mkuuKanuni ni zilezile;
- Ukiwa kwenye uhusiano, jua saa yoyote linaweza kutokea lolote
- Usiwe serious sana, penda kwa kiasi
- Muda wowote kuwa na passive replacement (wa kumpandisha kutoka friendzone kuwa lover)
Ndio mkuu, ila mimi sipendi kuach. Aniache mwenyeweAta uingie na style gani kuachwa ni constant 😂mkuu
Mungu akubariki🙂Ndio mkuu, ila mimi sipendi kuach. Aniache mwenyewe
Sitaki zile lawama umenichezea ukaniacha
Kwani kuni shido,,,,,,,!?Au sio😎