Ukweli mtupu: Hayati Magufuli atakumbukwa tu by any means necessary. Bila uthubutu wake haya yasingetokea

Ukweli mtupu: Hayati Magufuli atakumbukwa tu by any means necessary. Bila uthubutu wake haya yasingetokea

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mwonekano wa maendeleo ya ujenzi wa meli ya MV Mwanza: Hapa Kazi Tu mkoani Mwanza.

Ujenzi wake unagharimu TZS bilioni 89 (fedha za ndani), itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 1200 na mizigo tani 400, na itakuwa meli kubwa zaidi katika Ukanda wa Maziwa Makuu.

📸 @MSCLtz https://t.co/trZ3JdWbLR
20220617_175311.jpg

20220617_175305.jpg
 
Mwonekano wa maendeleo ya ujenzi wa meli ya MV Mwanza: Hapa Kazi Tu mkoani Mwanza.

Ujenzi wake unagharimu TZS bilioni 89 (fedha za ndani), itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 1200 na mizigo tani 400, na itakuwa meli kubwa zaidi katika Ukanda wa Maziwa Makuu.

[emoji991] @MSCLtz https://t.co/trZ3JdWbLRView attachment 2263912
View attachment 2263913
Jiwe alikua fisadi kubwa bn89 ya shilling marekebisho tu ya meri moja tu, wakati I kuangiza na ku assemble meri mpya ni btn bn 120 hadi 200, kualikua na umuhimu gani wa kutumia hicho kiasi chote cha pesa wakati tayari kuna meri mbili zinazo enda bukoba na ukulewa hata kujaa hazijae, hiyo pesa angeiweka kwenye afya bkb kungekua na hospitali kubwa kama ya bugando mwz.
 
Katika miujiza yule mwamba ambayo amewahi kuitenda katika maisha yake ya urais ni pale alipoamuru kivuko cha kutoka Bagamoyo kuja Ferry ya Dar kigeuke mara moja kiwe zana ya kivita inayomilikiwa na JWTZ.
 
Jiwe alikua fisadi kubwa bn89 ya shilling marekebisho tu ya meri moja tu, wakati I kuangiza na ku assemble meri mpya ni btn bn 120 hadi 200, kualikua na umuhimu gani wa kutumia hicho kiasi chote cha pesa wakati tayari kuna meri mbili zinazo enda bukoba na ukulewa hata kujaa hazijae, hiyo pesa angeiweka kwenye afya bkb kungekua na hospitali kubwa kama ya bugando mwz.
Shika adabu yako nyau wewe.😵
 
Jiwe alikua fisadi kubwa bn89 ya shilling marekebisho tu ya meri moja tu, wakati I kuangiza na ku assemble meri mpya ni btn bn 120 hadi 200, kualikua na umuhimu gani wa kutumia hicho kiasi chote cha pesa wakati tayari kuna meri mbili zinazo enda bukoba na ukulewa hata kujaa hazijae, hiyo pesa angeiweka kwenye afya bkb kungekua na hospitali kubwa kama ya bugando mwz.
Stupid
 
Hii budget ya Mwigulu mitozo aliyokuja nayo ikipita kama ilivyo hadi mwakani maza atakuwa na wakati mgumu sana kueleweka.
 
Mpumbavu baba yako aliyezaa chizi badala ya kupiga punyeto
Wewe ni mpumbavu,jua hivyo..

Mwendazake alikuta Tanzania hakuna meli sio? Kwa hiyo aliacha pesa za kulipia meli zinazoendelea na kuundwa na matengenezo maeneo mbalimbali sio?

Toa upumbavu wako hapa fala wewe.
 
Back
Top Bottom