The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wewe ni mburula mmja hivi, Rubbish 🚮🚮🚮🚮Unajua nini juu ya Tanzania zaidi ya kukariri utoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mburula mmja hivi, Rubbish 🚮🚮🚮🚮Unajua nini juu ya Tanzania zaidi ya kukariri utoko
Mwendazake atakumbukwa zaidi kwa Mabaya aliyotenda tuSasa kama atakumbukwa mbona unalazimisha kila siku kwa kumuanzishia uzi?
Nchi inasonga mbele, marais wote tutawakumbuka, ila hakuna special zaidi ya baba wa taifa
Matumizi sahihi ya kodi ya wananchiMwonekano wa maendeleo ya ujenzi wa meli ya MV Mwanza: Hapa Kazi Tu mkoani Mwanza.
Ujenzi wake unagharimu TZS bilioni 89 (fedha za ndani), itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 1200 na mizigo tani 400, na itakuwa meli kubwa zaidi katika Ukanda wa Maziwa Makuu.
[emoji991] @MSCLtz https://t.co/trZ3JdWbLRView attachment 2263912
View attachment 2263913
Nyumbu watapanda huku wakitukana
Meri ndiyo nini?au unamahanisha merichrisimasi.Jiwe alikua fisadi kubwa bn89 ya shilling marekebisho tu ya meri moja tu, wakati I kuangiza na ku assemble meri mpya ni btn bn 120 hadi 200, kualikua na umuhimu gani wa kutumia hicho kiasi chote cha pesa wakati tayari kuna meri mbili zinazo enda bukoba na ukulewa hata kujaa hazijae, hiyo pesa angeiweka kwenye afya bkb kungekua na hospitali kubwa kama ya bugando mwz.
Acha ushamba ww hio ni meli mpya imekua assembled na si marekebisho km unavyoota..na km uzushi wako kua ku assemble ni kati ya 120 na 200 na yy kaifanya kwa b89 huoni ka save zaidi ya b30?Jiwe alikua fisadi kubwa bn89 ya shilling marekebisho tu ya meri moja tu, wakati I kuangiza na ku assemble meri mpya ni btn bn 120 hadi 200, kualikua na umuhimu gani wa kutumia hicho kiasi chote cha pesa wakati tayari kuna meri mbili zinazo enda bukoba na ukulewa hata kujaa hazijae, hiyo pesa angeiweka kwenye afya bkb kungekua na hospitali kubwa kama ya bugando mwz.
Maza keshaanza mkuuNani Kaanza kujenga Mkuu?