Ukweli mtupu: Hayati Magufuli atakumbukwa tu by any means necessary. Bila uthubutu wake haya yasingetokea

Sasa kama atakumbukwa mbona unalazimisha kila siku kwa kumuanzishia uzi?
Nchi inasonga mbele, marais wote tutawakumbuka, ila hakuna special zaidi ya baba wa taifa
Mwendazake atakumbukwa zaidi kwa Mabaya aliyotenda tu
 
Meri ndiyo nini?au unamahanisha merichrisimasi.
 
Acha ushamba ww hio ni meli mpya imekua assembled na si marekebisho km unavyoota..na km uzushi wako kua ku assemble ni kati ya 120 na 200 na yy kaifanya kwa b89 huoni ka save zaidi ya b30?
nway next time uwe unasoma kuelewa sio kusoma kujibishana....
unaonekana mweupe sana kichwani, kuandika tu kunakupa shida kuchambua mambo na kujenga hoja utaweza kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ