Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Na jeshi la police..Sema bado natafakari sana moyo aliokuwa nao Millard Ayo kupost habari za Nondo leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jeshi la police..Sema bado natafakari sana moyo aliokuwa nao Millard Ayo kupost habari za Nondo leo.
We ni mwehu.Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
Nadhani si vema kutumia matukio mabaya kama haya kuanza kuziweka taasisi kwenye mizani, kwani kwa kiasi fulani inapoteza ule umoja wa asili wa kukimbiliana wakati wa majanga.Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
wamezitoa taarifa hizo muhimu wap? na hao wengine waliwahi kuchelewa kutoa taarifa kama hizo lini?🐒Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
Wapinzani wenyewe kwa wenyewe mnaanza kurushiana vijembe badala ya kuwa wamoja kipindi kama hiki, hapo kutoboa ni ndoto.Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
Nyie ma-CCM acheni kutesa na kuua raia kisa siasa.Unakubali kitu gani?
Punguza chuki na negativities utapata siha njema.Ndani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
Kuongea ukweli ni shidaPunguza chuki na negativities utapata siha njema.
Ungependekeza wawe wanafanya nini?Kuongea ukweli ni shida
Tarehe 23/9/24 ulikuwa wapi?Nyie ma-CCM acheni kutesa na kuua raia kisa siasa.
Mjue aina hii ya siasa inaharakisha zaidi kuwaondoa madarakani tofauti na mnavyofikiri.
Wamempambania sana , Chadema wanachoweza NJ Kuandika vi hashtag eti free somebody basiNdani ya Muda mfupi wametoa taarifa muhimu ambazo zitasaidia kupatikana kwa mfuasi wao
CHADEMA sasa hivi wangekuwa kwenye media wakitoa matamko kuna kitu wajifunze .
Amekuwa bega kwa bega wakati wote, ni kama kuna jambo lilikuwa linazimwa hapa.Sema bado natafakari sana moyo aliokuwa nao Millard Ayo kupost habari za Nondo leo.
Hakuna umoja upinzani na hauwezi kukubalika kuwa na umoja wakati wangine wakifurahia ushindi wa kiti kimoja tena kwa kupika ubwabwa kabisa.Wapinzani wenyewe kwa wenyewe mnaanza kurushiana vijembe badala ya kuwa wamoja kipindi kama hiki, hapo kutoboa ni ndoto.