Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Kitu km hujui/huna experience nacho,nivema ukae kimyaaaaa itaficha ujinga ulonao.tulia usome comment tu ndugu...zitakusaidia kufungua ulimwengu usioujua
Labda kama ww peke yako ndio dereva wa bodaboda tuna vijana tumewapa hizo bodaboda kwenye maeneo tofauti nchi hii.

Hizo stori zenu za kupata 60K kila siku kawadanganye wajinga wenzio.
Sikatai baadhi ya siku kupata hiyo 60K lakini sio daily.
Vijana wa siku hizi mnajiingopea hadi nafsi zenu ili iweje?
Na endapo kuna kijana ana uwezo wa kuingiza 60K kila siku na anahitaji bodaboda mpya aje inbox mm atanipa 15K tu kwa siku kwa mwaka mmoja baada ya hapo bodaboda ni yake.
 
Mimi naona boss kununua boda boda kumpa kijana naiona kama biashara kichaaa labda boda boda uwe mwenyewe alafu uwe na akili kichwani hapo kidogo hela utaiona.kwa maaana unanunua boda 2,700,000 cash then unampa kijana analeta 15,000 per day miezi 10 ni kama 4,500,000 ukija kutoa faida unapata 1,800,000 kwa miezi kumi ,wastani wa 180,000 kwa mwezi.......ki mahesabu ni kama hela yako unaila kidogo kidogo tu labda uwe na side hustle.au uwe ni muajiriwa hiyo hela ya boda boda iwe kwa ajili ya kujichanga na kununua nyingine ili ziwe biashara endelevu.
 
Hauwezi kupata hata wa kwenye Miji Mikjbwa wakijitahidi kuanzia asubuh Hadi usiku ndio 30,000 ila huku mwingine huwa wanapata 10,000-15,000 in most cases..

Bajaji tuu anayepeleka hesabu haweai laza 30,000 Ni nadra sana kwa sasa.
 
Kwa Tanzania hapa salary ya kuanzia 600k unaishi vizuri na change ya 150-200k una sevu..

Hii Pesa boda sii rahisi kuipata tusidanganyane..
 
Labda Dar
 
Bodaboda kupata 50000 kwa siku inawezekana sana lakini kinachowaponza hawana nidhamu ya pesa kabisa. Bodaboda wengi ni vijana hawawazi kusave sababu anajua kesho atatafuta na atapata tena hivyo pesa yao inaishia kwenye pombe, kamari/madubwi ( hapa asilimia 80 ya hela inaishia), bangi na kuhonga wanawake.

Bodaboda hawana uchungu na hela kabisa yeye kumpeleka mwanamke bure asidai hata 100 ni kawaida badi hajalipia guest na kumlisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo boda akisev hiyo pesa anaweza nunua pkpk 3 walau kwa mwaka? hahaahahaa,,,bodaboda siku hizi ni nyingi mno 15k inapatikana kwa shida na kama ingekuwa kweli wanapata 50k per day nafikiri kusingekuwa na tatizo la ajira tz na Africa kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…