Ni kweli kabisa mkuu, wengi hawana exposure katika bodaboda 10 unakuta waliomaliza std 7 hata 3. Hata ukiongea nao unaona kabisa huyu hana malengo na maisha kabisa as anajua kesho ataingia road atapata tena hela so hana haja hata kuweka akiba hata akiumwa hana hela ya matibabu.
Kuna siku nilikuwa nawahi makumbusho kwenye training natokea mbezi mwisho, rafiki yangu alinipeleka na bodaboda na hakutaka hata mia kisa tuu ofisini kwangu ndio wanapokula na kupiga stori usiku wanavyokesha imagine ni sh ngapi kapoteza plus muda. Siku wakiwa na nidhamu ya hela ndio watakapofanikiwa
Sent using
Jamii Forums mobile app