Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #501
Diuhh hatariTVs Ina 3.1mls kwetu KAHAMA mbaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diuhh hatariTVs Ina 3.1mls kwetu KAHAMA mbaba
Unaongea kirahisi sanaFamilia ya watu 5 Mambo yanaenda
Acha ligi lofa weweWangekuwa mbali sana niamini mimi nina vijana wangu boda ndugu boda naelewa sana
Nani anataka mamikopoMwalimu anaweza kukopa milioni 20, bodaboda ni lini hadi apate milioni 20?
Kwann unawaacha primaryWewe akili zako za mpwapwa UNAJUA madaraja ya mishahara ya waalimu? Kwahyo mwalm mwenye darasa F,G,H au I nãe analipwa laki 5?
Ajiheshimu vipi unaonesha ashki ya kuingiliwa hadharani bibie wewe ndio uheshimu uke wako huoAcha uhuni huku sio Facebook jiheshimu basi
Hivi hii ndiyo Simba Nyanaume??CCM imetengeneza mazingira ya walimu kudharauliwa hadi na ma jobless
Kuwa mwelewa wewe kila lisaa hakosa buku tanoHao WA namna hyo ni asilimia ngapi ya wote? Yaan bdbda wanachomwa juá unakuta anakaa massa 4 ndo wanagombania buku aje amzidi mwalimu? Hebu acha futuhi,waalimu wengi ndio wamenunua hizo boda na kuwaajiri
NANI ANANIDHARAUHâta wewe unadharaulika
Chiz I eeHâta akimimiki hiyo Hela HAIPO mm Nina zangu Tano kwa Siku wanaleta hesabu 10k tu tena Siku nyingne anapitiliza anakopa
Hujui loloteAcha kufananisha maisha ya miaka ya 1980's na Sasa
Kwahyo kiroba chá kilo 20 chá Michele kimshinde mwalimu poyoyo Kweli wew
Hajui huyoTakataka kivipi ? kwahyo shughuli anayo binadamu kujiingizia kipato, imekuwa takataka ?
while serikali inapata mapato kupitia hiyo biashara,
shame on you, asshole
Kwann unakimbilia huko nakuwaacha primariVipi kuhusu wenye madaraja E,FG,H,I? KWA akili zako unadhani anapoanza na hiyo laki 6 ndo inakuwa milele? Ma senior ndio wengi kuliko ma junior Hao wanaoanza
Haelewi huyu jamaa...bajaji tu zenyewe kupata hesabu ya elfu ishirini kazi sembuse boda boda.Kazi za vyombo vya usafiri Tz ni laana! Na c tanzania pekee japo kwingine kuna afadhali kuliko Tz!
Yesu mwokozi aliyajua haya na ndio maana akaagiza punda tu japo kulikua na magari ya kukokota kwa punda na hapo ndipo alipo haramisha hivi vyombo!
Huo uwezo wa bodaboda kupata elfu50/dei haiwezekani na hata ikitokea sio kwa mahesabu hayo unayo piga na kadiri zinavyo zidi kua nyingi ndio mtihani wa kupata pesa unapo zidi kua mkubwa
Angalizo: breki za bodaboda ni HONI
Sent using Jamii Forums mobile app
E take home ni laki saba na themaniniWewe ndio poyoyo WA mwisho Yani H mia Tisa? Na E itakuwa ngapi[emoji2][emoji2][emoji2]
Sio kweliNa ukishakuwa mwalimu huwez FANYA Kaz zingne? Waalimu wanamilik mashamba,mi south,NK wewe endelea kuishi kwa mazoea
Acha ufala weweBima ya mwl NHIF kwa MTU ambaye sii mtumishi ni 1,260,000 ni boda boda yupi anaeweza? Acha ufala wewe
Walimu ndohawana hata surualiBodaboda hawahawa wasio hâta n'a suruali ya pili ndio unafananisha na waalimu?
Safi kabisambona wako wenye nyumba, naona hapa watu wanachanganya kuna tofauti kubwa ya Boda wa Mjini Kariakoo, Goms, Magomeni Chanika, kinondoni n.k na wa vijijini wabeba mkaa na maji na samakii na wanotembeza nyama kwenye bucha. Inategemea wako walevi na makini na wengine hawajiongezi tu.
Saa 10 usiku mpaka saa 12 asubui boda tayari kesha sambaza nyama bucha kibao na hela ndefu anayo mfukoni anapumzika na kuja kujazia tu baadae, ndio maana utana boda nae pikipikiyake anatoa ajira kwa jamaa wa dei waka. kijiweni kama daladala
Na vijijini kuna hela ndefu ila mafuta bei mbaya hamna sheli. Huko bush maji buku na boda trip 1 anabeba dumu 6. we unafikiri trip ngapi anapiga,na maji anachota bure kisimani na kwenye bomba shs 200
Kifupi tu posta , Kisutu uko trip za Buku chache sana. Ndio maana hata pamoja na kukamatwa na kupigwa mizinga na traffic hawatokii, kuna hela kule.
Jirani yangu hapa ana boda lake sasa ivi yeye hataki abiria tena anasomba mkaa tu mpaka kajenga ana mke watoto 4 na sasa ana stoo kwenye nyumba yake na gunia linakaa siku 2 tu. Hana kazi nyingine.