Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Hahahahahaaa,umenikumbusha mbali sana.
mbona wako wenye nyumba, naona hapa watu wanachanganya kuna tofauti kubwa ya Boda wa Mjini Kariakoo, Goms, Magomeni Chanika, kinondoni n.k na wa vijijini wabeba mkaa na maji na samakii na wanotembeza nyama kwenye bucha. Inategemea wako walevi na makini na wengine hawajiongezi tu.

Saa 10 usiku mpaka saa 12 asubui boda tayari kesha sambaza nyama bucha kibao na hela ndefu anayo mfukoni anapumzika na kuja kujazia tu baadae, ndio maana utana boda nae pikipikiyake anatoa ajira kwa jamaa wa dei waka. kijiweni kama daladala

Na vijijini kuna hela ndefu ila mafuta bei mbaya hamna sheli. Huko bush maji buku na boda trip 1 anabeba dumu 6. we unafikiri trip ngapi anapiga,na maji anachota bure kisimani na kwenye bomba shs 200


Kifupi tu posta , Kisutu uko trip za Buku chache sana. Ndio maana hata pamoja na kukamatwa na kupigwa mizinga na traffic hawatokii, kuna hela kule.

Jirani yangu hapa ana boda lake sasa ivi yeye hataki abiria tena anasomba mkaa tu mpaka kajenga ana mke watoto 4 na sasa ana stoo kwenye nyumba yake na gunia linakaa siku 2 tu. Hana kazi nyingine.
 
Mpwayungu aka kidagaa mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi yale makofi ya uso uliyopata pale ulipofunaniwa na headmaster unaongoza binti wa ticha hayajakuacha salama .
Ndio maana unawachukia walimu
Hhhahaha ivi kumbe
 
Hajui huyo ni mshamba
 
Hhhahaha eti e
 
Hizo hesabu yeye hapigi kabisaa eti muda sijui nini.
Kuna mzungu nikiwahi mpakia(ni rafiki), nikimfikisha ananiuliza abiria wengine mpaka hapa unawalipisha sh ngapi kwa sasa kisha analipa.
Hakuna ushkaji kwenye biashara.
Yeah sure
 
Unambwato
 
Kabisa enjoy mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…