luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Bima ya mwl NHIF kwa MTU ambaye sii mtumishi ni 1,260,000 ni boda boda yupi anaeweza? Acha ufala weweAkikopa tu hapo ndomaisha yanaanza kuwa magumu in addition bodaboda hazuiwi kukata Bima kwahiyo Kuna bodaboda wana Bima pia
Bodaboda hawahawa wasio hâta n'a suruali ya pili ndio unafananisha na waalimu?Walimu na bodaboda Wapi ni wengi
Nimeandika milioni 400
Bima inaanzia Tsh 196,000/Bima ya mwl NHIF kwa MTU ambaye sii mtumishi ni 1,260,000 ni boda boda yupi anaeweza? Acha ufala wewe
mbona wako wenye nyumba, naona hapa watu wanachanganya kuna tofauti kubwa ya Boda wa Mjini Kariakoo, Goms, Magomeni Chanika, kinondoni n.k na wa vijijini wabeba mkaa na maji na samakii na wanotembeza nyama kwenye bucha. Inategemea wako walevi na makini na wengine hawajiongezi tu.Hahahahahaaa,umenikumbusha mbali sana.
Mmmmh mbona naiona ndogo sana mkuu.Mke mtoto na ndugu na jamaa fresh tu yani
Sema kweli kiongoziNa ndugu juu inatosha kabisa na change inabaki.
😂😂😂 kikoloo umemalizaCCM imetengeneza mazingira ya walimu kudharauliwa hadi na ma jobless
Nyani haoni kundule! Ulichoandika hapo sio dharau?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Acha kuwadharau
Heli yakoMpwayungu hujawahi kuwa na akili ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha weeeHapo ndo nimegundua kuwa haupo normal unatatizo la afya ya akili.
Hhhahaha ivi kumbeMpwayungu aka kidagaa mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi yale makofi ya uso uliyopata pale ulipofunaniwa na headmaster unaongoza binti wa ticha hayajakuacha salama .
Ndio maana unawachukia walimu
Hajui huyo ni mshambaSasa 50000 unaona ni hela kubwa ya kumuuliza mtu anaijua?? Ninaongea sababu ninawafahamu baadhi vizuri na wengi ni marafiki zangu na ninakesha nao usiku mzima kazini kwangu na niwateja wakubwa as ofisi yangu ipo pembeni ya kijiwe chao. So ninarudia tena bodaboda kupata 50000 kwa siku inawezekana ila mchawi wao ni hawana nidhamu ya pesa period.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhhahaha eti eNi kweli kabisa mkuu, wengi hawana exposure katika bodaboda 10 unakuta waliomaliza std 7 hata 3. Hata ukiongea nao unaona kabisa huyu hana malengo na maisha kabisa as anajua kesho ataingia road atapata tena hela so hana haja hata kuweka akiba hata akiumwa hana hela ya matibabu.
Kuna siku nilikuwa nawahi makumbusho kwenye training natokea mbezi mwisho, rafiki yangu alinipeleka na bodaboda na hakutaka hata mia kisa tuu ofisini kwangu ndio wanapokula na kupiga stori usiku wanavyokesha imagine ni sh ngapi kapoteza plus muda. Siku wakiwa na nidhamu ya hela ndio watakapofanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hesabu waulize walengwaUyo boda boda kwa boss anapeleka shilingi ngapi kwa siku na anaweka mafuta kiasi gani kwa siku
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Yeah sureHizo hesabu yeye hapigi kabisaa eti muda sijui nini.
Kuna mzungu nikiwahi mpakia(ni rafiki), nikimfikisha ananiuliza abiria wengine mpaka hapa unawalipisha sh ngapi kwa sasa kisha analipa.
Hakuna ushkaji kwenye biashara.
Halijui hiloNi kweli zinatosha sana hata bia utakunywa ila ukiwa na familia ni mziki mwingine kabisa labda kama uwe umeaciwa nyumba ya urithi.
UnambwatoKuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Kabisa enjoy mkuuMimi nilivyoanza mwanzo nilikuwa nashangaa,masaa mawili au matatu mfuko umetuna bila kuhesabu naanza asubuhi napiga supu chapati ya 4000+soda1000+maji 1000= ni 6000
Mchana nlikuwa nakula biriani ya 4000+ maji 1000+soda 1000 na kutokana na jua mchana nakunjwa maji mengi inafikia mpaka 2000 inakuwa =7000
Jioni mchemsho pale kijwangwani kwa halima wa 2000 na chapati mbili na soda ya 1000 na maji ya 1000= 4000
So nakuja kushtuka nimenenepeana na nimekuwa mzito sanaa kitambi paaa ila akiba ya pesa sinaaa.....
Hesabu ya boss 10,000 kila sikuu.
So biashara hii inakupa pesa ya uhakika na haraka haswa ukiwa muaminifu ila kama unaendekeza mambo utajikuta hakuna kitu unafanya.
Huna akiliKwahiyo unahamasisha walimu waache kufundisha watoto wetu, wawe bodaboda??? Wenda wewe unaishi kwa shemeji yako wala hauna uzoefu na hizo sekta 2 ulizotaja