unajua mahesabu ya kwenye makaratasi na mdomoni ni tofauti na uhalisia inawezekana kuna boda boda anaweza pata 50 on daily basis lakini ni wachache sana bodaboda walio wengi ni 20 tzsWengi watakuambia kakunja 30000 ila hawajui mafuta ya shiling ngapi yametumika
688k Kama huna loan boardTatizo mmekalilishwa ujinga!.. nikusanuae tu siku hizi tuna kopa B.O.T direct mtu unavuta Hadi 40M kulingana na scale yako!.. bachelor holder Kama hudaiwi na loan board unakunja 600K ukiwa unaa Anza sisi wakongwe tusha fika 1.2M na age inasoma 33,, wee endelea kukalili,,hao bodaa boda wanatutumikia sisi
Unaongelea watoto wajinga wajinga.Hao madam na pombe unaweka pension wapi?ushawishi ni mkubwa sana wewe.
Karibia wote wako na loan board kiongozi688k Kama huna loan board
Mwalimu gn huyo anakunja hiyo, madeni tupu wananukaKama kitu hujui kaa kimya, usikaririshwe na maneno ya mtaani. kuna walimu wanakunja Zaid ya mil 1.5 kwa mwezi, anaweza kukopa Zaid ya mil 50 akafanyia biashara. Lakini kubwa Zaid maisha ni namna mtu amejipanga sio kipato anachopata, kuna watu wanalipwa kidogo na wamepiga hatua kuliko wanaolipwa vizuri.
Kabisa kiongozi Hawa shida Yao wanakariri maishaUnaongelea watoto wajinga wajinga.
Ila kuna bodaboda watu wazima na wanaendesha familia bila tatizo.
Suala la kujikatia bima na kuweka pensheni sio la bodaboda peke yake.
Informal sector yote hawana huo utaratibu. Na hela wanapata ya kutosha tu.
Siwez kuwa mwalimu mm asilani abadaniChoma vyeti vyako Mwalimu kwampwayungu.
Hahahahah mtaniua!1. Upuuzi wako huu hutarudia kuandika utakapoenda kitengo cha mifupa Muhimbili.
2. Nionyeshe nyumba ya kisasa yenye choo ndani na master bedroom iliyojengwa na bodaboda.
Ndogo kama unaenda kuhonga na kuleweya na marafiki, ila kwa maisha ya mjini hicho ni kipato kinaendesha familia ambayo ina amani na furaha na msikitini au kanisani wanaenda kushukuru Mungu kwa riziki wanayopataMmmmh mbona naiona ndogo sana mkuu.
Hizi alfu hamsini ni mahesabu ya uhalisia,au kwenye makaratasi?Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Jibu hili kama aliyejibiwa yuko sawa kichwani basi hatuwezi kumuona kesho, lazima ajinyongelee mbali.Nadhani ulimaanisha Exposure..na haipatikani shule tu mdogo angu, hata hapa ipo tatizo ni ugeni 👍
Huwaga siwaelewi hao walimu mnao waongolea ni walimu wa wapi maana walimu ninao wajua mimi ni tofauti kabisa na hicho unacho kisema weweSio rahisi million 2 ya kununua bodaboda ticha atainyea wp
Vitu vingine ni kichekesho em pita kijiwe cha bodaboda apo waulize anaetaka kuajiriwa na serikali awe mwalimu au aendelee na iyo bodaboda utapata majibu ajira usawa huu uidharau et useme boda boda inalipa.Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Mwalimu wa sekondari anaye anza ajira anaanza na TGTS D ambayo ni Tsh 790,000/= ambapo baada ya miaka mitatu anapandishwa na kulipwa Tsh.990,000/= na kila baada ya miaka 3 anapdishwa na wapo wanalipwa 3mil + sasa hiyo ya laki nne sijui huwa mnamuongelea mwalimu yupi huwa nawaona ni wajinga fulani hivi msio soma mnao bwabwaja msio yajuaPrimary to sekondari
Madili gani hayo uwape/waelekeze na wenzako?Mimi boda ambae napiga madili yangu kwa siku nakunja themanini had laki na nusu siku ikiwa poa
Sasa we boda mwenzangu endelea kusubili abiria wa kugombania kijiweni ukiitafuta buku
Hhahaha ukiwa jamii forum kula kwa stress unapenda wewe tu! Maana kuna mawazo ya kila namna humu ndani!Tangu lini milion 7 ikawa na sifuri 5?