Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukitaka kujua hao bada wako wamekupa figa zsizo za ukwel nunua pikpki mpya mpe boda mmoja unaeamn n mpambanaj mwambie kila siku akuletee 10000 kwa muda wa miez 15 pikpk inakua yake uone ataishia mwez wa ngap akikuletea iyo ten ten
Hela ya bodaboda ni kama ina mapepo vile, anaweza akawa na hela ila bila sababu asiipeleke kwa boss. Nina rafiki yangu bodaboda yeye kupeleka hela kwa boss ni eidha afatwe kijiweni au alazimishwe sana au asikie anatafutwa na boss na sio kwamba anakuwa hana anayo ila hajisikii kupeleka peaceful.

Kuna kipindi aliumwa siku 4 hajafanya kazi nikamuuliza sasa utamlipaje hesabu hiyo akasema hii chap leo napiga kazi nitaipata na kweli jioni kaja kujificha sehemu yangu ya kazi( karibu na kijiwe chao) ili boss asimwone na hapo mfukoni hela anayo yote 40000, sio kwamba hawapati hela ila wanahisi kumpelekea boss ni kama anampa bure labda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa tamu ila haina maana kama hauna uhai mzee...kiufupi hauko serious..walimu wanamafao wanabima za afya kubwa na familia nzima izo hamsini hamsini za boda akiumwa malaria tu na vile hazalishi tayari amefukuzwa na mwenye nyumba...kiufupi ni takataka na nchi zinazojielewa huwezi kuacha vijana wanateseka hivi kitaa na hivi vikata miguu..ni bora wachangabye mitaji wakalime.
Akikubishia hapa mpuuzie
 
Bodaboda anayekunja 50K hadi 60K kwa siku anapakia mawaziri au akina nani?
Tuache kuleta uongo wa kingese kiasi hiki hapa JF.
Kila sehemu kuna rundo la bodaboda inakuwaje hadi bodaboda mmoja apate average ya 60K kwa siku? Au anabeba wahamiaji haramu au mirungi au bangi?
Mleta mada umeamua kuja kujipa mashavu hapa JF!!?
Wapo Ila Mimi pia n boda boda naingiza 45-50 sema hii pesa saving naweza weka 20 inayobk na nanunua mfuta na ten naacha kweny familia....kumkuta mwlimu Ni ngum sabab wao wanpta mikopo kwa haraka zaid kuliko cc
 
Walimu tunadharaulika sana aisee
Hata wasikutishe Dada , hawa wote wanaoponda wako nyuma ya keyboard kwa ground vitu ni different !! Bidii na kujituma ndo kila kitu

Familia zao wala hazijafika popote wanapambana kama wewe !
Huwezi amini na wengine hawahudumii hata familia zao wamekimbia hadi watoto wao ! Ila hapa watajinadi kuponda wengine.

Halafu Kiuchumi watu wote mkibalance , hatutaheshiana lazima iwepo Economic gap ! Kwa hiyo haya madaraja ya kimaisha ni muhimu !
 
Hata wasikutishe Dada , hawa wote wanaoponda wako nyuma ya keyboard kwa ground vitu ni different !! Bidii na kujituma ndo kila kitu

Familia zao wala hazijafika popote wanapambana kama wewe !
Huwezi amini na wengine hawahudumii hata familia zao wamekimbia hadi watoto wao ! Ila hapa watajinadi kuponda wengine.

Halafu Kiuchumi watu wote mkibalance , hatutaheshiana lazima iwepo Economic gap ! Kwa hiyo haya madaraja ya kimaisha ni muhimu !
Walimu niwahovyo sana
 
Wapo Ila Mimi pia n boda boda naingiza 45-50 sema hii pesa saving naweza weka 20 inayobk na nanunua mfuta na ten naacha kweny familia....kumkuta mwlimu Ni ngum sabab wao wanpta mikopo kwa haraka zaid kuliko cc
Hhhahaha wewe ni mwalimu umekuja kama bodaboda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hela ya bodaboda ni kama ina mapepo vile, anaweza akawa na hela ila bila sababu asiipeleke kwa boss. Nina rafiki yangu bodaboda yeye kupeleka hela kwa boss ni eidha afatwe kijiweni au alazimishwe sana au asikie anatafutwa na boss na sio kwamba anakuwa hana anayo ila hajisikii kupeleka peaceful.

Kuna kipindi aliumwa siku 4 hajafanya kazi nikamuuliza sasa utamlipaje hesabu hiyo akasema hii chap leo napiga kazi nitaipata na kweli jioni kaja kujificha sehemu yangu ya kazi( karibu na kijiwe chao) ili boss asimwone na hapo mfukoni hela anayo yote 40000, sio kwamba hawapati hela ila wanahisi kumpelekea boss ni kama anampa bure labda.



Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point
 
kwa hiyo boda akisev hiyo pesa anaweza nunua pkpk 3 walau kwa mwaka? hahaahahaa,,,bodaboda siku hizi ni nyingi mno 15k inapatikana kwa shida na kama ingekuwa kweli wanapata 50k per day nafikiri kusingekuwa na tatizo la ajira tz na Africa kwa ujumla
Tatizo la ajira lipo kwasababu vijana kununua pikipiki pesa Hawana mpaka apate boss
 
Bodaboda kupata 50000 kwa siku inawezekana sana lakini kinachowaponza hawana nidhamu ya pesa kabisa. Bodaboda wengi ni vijana hawawazi kusave sababu anajua kesho atatafuta na atapata tena hivyo pesa yao inaishia kwenye pombe, kamari/madubwi ( hapa asilimia 80 ya hela inaishia), bangi na kuhonga wanawake.

Bodaboda hawana uchungu na hela kabisa yeye kumpeleka mwanamke bure asidai hata 100 ni kawaida badi hajalipia guest na kumlisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na hayo yote bado anamzidi ticha
 
Back
Top Bottom