Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

Sii kweli kuwa CCM haina mgombea wa urais 2025, mgombea urais wa JMT 2025 ni mmoja tuu, Samia, ila kufuatia hoja hii, anaweza akaomba kupumzika!, CCM kuna a pool of 100 able people wa kuchukua urais!.

Ila pia suppose usemayo ni kweli, kuna mtu gani Chadema wa kumpa Ikulu yetu, na hata chama, kuna chama gani cha kuipa ikulu yetu, na kama ni Chadema, ni Chadema ipi?

Chadema bado sana!.

P
"Ikulu yetu" Hiyo sentensi duni umepata wapi nguvu ya kuiweka hapa , ikulu yenu wewe na nani ?

Ni hivi , Watakaoipa Ikulu Chadema ni wananchi wenyewe wenye nchi , siyo kikundi cha watu 1000 , Kwa mujibu wa Chadema Digital , Chadema ina wanachama hai mil 15 Nchi nzima , achilia mbali wafuasi wengine wasio na Kadi

Inauma sana lakini ndio hivyo , hutaki unaacha , Nothing lasts longer
 
Kwanza kabisa naamini hata wewe mwenyewe unafahamu kuwa ulichoandika ni uongo mtupu usio na ukweli wa aina yoyote ile.

Pili napenda kukwambia kuwa mgombea wa CCM Ni Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan.huyo ndiye chaguo la wana CCM na kiu ya watanzania.hivyo ni lazima CCM iwapelekee Watanzania chaguo lao na hitaji lako ili kukata kiu yao kubwa waliyo nayo ya kuhitaji utumishi wa Rais samia kwa awamu nyingine tena ,baada ya kukoshwa na kuvutiwa na uchapa kazi wake uliotukuka uliyogusa maisha ya mamilioni ya watanzania na kuleta Tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania.

Tatu ndani ya CCM Hakuna migogoro wala mivutano,.chama ni kimoja ,wana CCM Ni wamoja na sote tunasonga mbele kwa pamoja.ndio maana mambo yanakwenda na ilani Inaendelea kutekelezwa kwa kasi ya mshale.

Nne ni kuwa CHADEMA haina mtu wala kiongozi wala mgombea mwenye uwezo wa kushindana na Rais samia jukwaani na katika sanduku la kura. Ni nani kutoka CHADEMA mwenye ubavu wa kusimama na Rais samia?

CHADEMA ni saccos tu au mradi binafsi wa familia kujipatia kipato cha kuendeshea maisha na ndio maana mwaka 2015 mbowe aliamua akodishe chama chake hicho cha CHADEMA ili atunishe akaunti yake na hakumfanya chochote wala kumuhoji wala kuinua midomo yenu ,maana anawajua akili zenu ni kama manyumbu na hamna Chenu ndani ya Sacco's yake hiyo.

Kwaajili yako hiyo hiyo ya kuvukia barabara unafirikiri mtanzania yupi mwenye akili Timamu anayeweza wapa kura yake ya urais enyi wasaka tonge wa CHADEMA mnaofanya kazi ya kujaza matumbo yenu kwa Ruzuku za chama na michango ya walalahoi mliowafanya kama mahayawani?

Chama mmeshindwa kujenga hata ofisi? Mmeshindwa hata kumiliki Tv tu kwaajili ya kueneza sera zenu japo hamna? Sasa nani wa kuwapa kura yake? Si ni ninyi mlitafuna pesa za sabodo bila huruma? Zipo wapi pesa za join the chain? Zilipatikana kiasi gani? Zilifanya kazi gani?

Ninyi ni madalali wa kisiasa na mnaofanya ujasiriasiasa. Ndio maana kila senti utakayokatisha mbele ya chama Chenu lazima muilambe bila kuacha alama.
Hueleweki kama unalia au unalalamika
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
Mtu yeyeote atakae pewa jukumu la kupeperusha bendera ya CCM uchaguzi mkuu 2025, atashinda kwa kishindo kuliko mgombea urasi yeyote kuwahi kutokea Tanzania.

Mgombea urasi wa CCM lazima awe mzalendo mwenywe weledi katika kazi, mahiri katika utendaji, muadilifu na makini katika kutekeleza ilani na majukumu ya urasi na anae kubalika na Wananchi wote ikiwa ni pamoya na watoa taarifa waliogawanyika na wasio elewana wala kuwa na dira wala uelekeo....
 
Usijipe utukufu kiasi hichi kuwa chama kitabaki milele tawala kubwa kama rumi zilizokuwa na nguvu lakini ziliangushwa
CCM kuendelea kubaki Madarakani au "Kushinda Uchaguzi Mkuu" kamwe HAITEGEMEI kupigiwa Kura na mtu yoyote yule katika nchi hii ya Tanzania.
Siku zote weka akilini mwako suala
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
Shughulikieni yenu
Mnawapa sisiem promo nyingi
Hivi chadema nani aliwaloga?
sisiem left right n center waacheni wafanye yao

Hamjui ni kiasi gani mnawapa hawa watu promo ya bure
Ni sawa na kumsukuma mlevi lakini kuna siku mlevi huyu atafika

Hamsomi alama za nyakati
 
Upo sahihi kabisa, presidential material hakuna kwa nchi hii saivi. Kidogo Bwana Mwinyi wa Zanzibar anaweza akajaribu.
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
NJOZI ZA AJABU KABISA HIZI, CCM HAINA HAJA NA KAMPENI, MH, SAMIA HATA BILA KUZUNGUKA NA KAMPENI AMESHASHINDA MAPEMA KABISA, ISPOKUWA KUNA MABADILIKO YA AJABU AJABU YANATOKEA HUENDA YAKAIGHARIMU CCM, UMAKINI UNAHITAJIKA HASA KIPINDI HIKI, KINANA ANAJUFAHAMU KILA KITU,AND HE KNOW WELL HOW TO RESCUE!, PLS TUNAOMBA ASIINGILIWE KATIKA MAAMUZI YAKE!
 
Sii kweli kuwa CCM haina mgombea wa urais 2025, mgombea urais wa JMT 2025 ni mmoja tuu, Samia, ila kufuatia hoja hii, anaweza akaomba kupumzika!, CCM kuna a pool of 100 able people wa kuchukua urais!.

Ila pia suppose usemayo ni kweli, kuna mtu gani Chadema wa kumpa Ikulu yetu, na hata chama, kuna chama gani cha kuipa ikulu yetu, na kama ni Chadema, ni Chadema ipi?

Chadema bado sana!.

P
Kwa kuwa hatuna choyo,hata iwapo P akaunga juhudi na kukidhi vigezo ataweza pandishwa jukwaani kwa bendera ya chama kikubwa ,chama makini,chana chaukumbozi dhidi ya wanakijani wasiowajali watanzania bendera pendwa ya CHADEMA
 
Sii kweli kuwa CCM haina mgombea wa urais 2025, mgombea urais wa JMT 2025 ni mmoja tuu, Samia, ila kufuatia hoja hii, anaweza akaomba kupumzika!, CCM kuna a pool of 100 able people wa kuchukua urais!.

Ila pia suppose usemayo ni kweli, kuna mtu gani Chadema wa kumpa Ikulu yetu, na hata chama, kuna chama gani cha kuipa ikulu yetu, na kama ni Chadema, ni Chadema ipi?

Chadema bado sana!.

P
2025 , ccm nje, aya maneno ya kujifariji kwamba hakuna chama cha kupewa, ikulu anaweza lizungumza mwenda wazim tu, kama hakuna chama nje ya ccm why huwa mnakwapua kura , safari mtashangaa sana uchaguzi ukifanyika 2025,

Leteni mchezo kwamba ni ileole ya kila siku, hata Zambia watawala na wapambe wao walikua na maneno ya kejeli hata kuzidi ya kwenu , kikowapi
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279


Kiherehere huachi tu, Mbowe anakulipa kila siku unakesha humu
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
Sio kweli CCM ina hazina kubwa sana ya viongozi, kama wakiamua kuwatumia
 
Back
Top Bottom