Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

Ahsante kamanda ingawa ninayo maswali machache kwako
1.Hivi CCM inabidi kupangua hoja za CHADEMA au inabidi kujinadi na sera(ilani) zake ili kupata kupata ushindi?
2.Unasema CCM hamna mgombea wa mwaka 2025, je huko CHADEMA nani anaweza kugombea na kuchukua nchi?
KARIBU KAMANDA
Sera za ccm zimeshindwa kuondoa umasikini kwa zaidi ya miaka 60 , kwa hiyo ilani yao ni bomu .

Hoja za Chadema zimejikita kwenye kushindwa kwao na hawajawahi kuzijibu .

Mwisho , Chadema ina hazina ya Wagombea Magwiji wa Haki na ambao watasikiliza matakwa ya Wananchi na kuwaletea Katiba mpya kama watavyotaka wenye nchi ambao ni wananchi wenyewe , jambo hili ccm imeshindwa , inataka kuendesha nchi kwa matakwa ya kikundi chao (viongozi na familia zao) , Jambo hili halikubaliki popote
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
SOSIEMU NI [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90] TU
 
Bora aliyepo aondoke tu, hawezi hiyo kazi, ni chawa tu ndio wanaomsifia.

Nimeshangaa nauli za mabasi ya mikoani na daladala kutaka kupandishwa tena, less than a year toka zilipopanda mwanzo, hii ni ajabu na tusi kwa raia wa hii nchi.

Kuna wajanja wanamchezea sana huyu kiongozi aliyepo, wamemkamata akili hafurukuti kabisa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwenye kumchezea inabidi ufafanu3 maana rais wetu ni wa kike kwa sasa
 
Sii kweli kuwa CCM haina mgombea wa urais 2025, mgombea urais wa JMT 2025 ni mmoja tuu, Samia, ila kufuatia hoja hii, anaweza akaomba kupumzika!, CCM kuna a pool of 100 able people wa kuchukua urais!.

Ila pia suppose usemayo ni kweli, kuna mtu gani Chadema wa kumpa Ikulu yetu, na hata chama, kuna chama gani cha kuipa ikulu yetu, na kama ni Chadema, ni Chadema ipi?

Chadema bado sana!.

P
Kama magufuli alikua rais(rahisi)nchi hii,nani anashindwa kua rais??hata wewe unaweza kua rais,sugu,msigwa,lisu,mbowe nk nk nk wako zaidi ya 1000.tusaidie tupate katiba mpya,tume huru ya uchaguzi na wakurugenzi wasisimamie uchaguzi.utakuja kunishukuru baadae
 
Huu ndio Ukweli unaofichwa , huyu aliyepo hana uwezo wa kupambana Jukwaani (Chama chake kinajua) , hata hivyo alishawahi kukiri mwenyewe hadharani , ikaandikwa na gazeti la Chama chake , ili kuondoa Taharuki ikakanushwa , hata hivyo awali ni awali , na wala hakuna awali mbaya , sisi tumeshika lile neno la mwanzo tu .

Baada ya Makada kutambua kwamba nafasi ya Urais ya Chama chao iko wazi wameanza kuparurana , unaambiwa hali ni mbaya kiasi cha kufikia kulogana , Yale aliyoyasema Kikwete kwamba wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani yamerejea kwa kishindo .

Lakini katika hawa wanaccm mnaowaona leo yuko hata mwenye uwezo wa kuwa Rais wa Nchi ? Watoto wa viongozi waliotegemewa kupewa nafasi hiyo kama Urithi wa Wazazi wao wote wameboronga , hawavutii na hawatamaniki , watu wameshika mafaili yao zikiwemo idadi za nyumba zao ndogo za kimagumashi , wakthubutu kutangaza nia tu Mkeka unaanikwa ! hakuna hata mmoja wao anayeweza kupambana na Wapinzani Jukwaani , Ni nani atayeweza kupangua hoja za Chadema Majukwaani ?

Taarifa zinadokeza kwamba hata matumizi ya dola ili kuibeba ccm hata kwa wizi yamefifia mno , hii ni kwa sababu mashinikizo ya watoa hela kutoka Ulaya na Marekani kutaka Wakurugenzi wa Halmashauri na Polisi wasiguse karatasi ya kura ni makubwa mno na yanamaanisha hasa ( Mbeleko imetoboka )

Hali ni mbaya kuliko mnavyofahamu , muda si mrefu mtaanza kusikia makubwa zaidi

Tuendelee kutega sikio

View attachment 2830279
Hapa vipi?👇

View: https://www.instagram.com/p/C0WxVTBIFB1/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Back
Top Bottom