Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

we kweli bwege, mwambie mamako agombee.
 
we ni l.ini umeandika kitu cha maana, we unajulikana kwa upumbavu,
 
Wewe pimbi nani amekuambia mjadala ni wa chadema acha kulopoka ovyo ovyo kwani mtoa maada kasema chadema
 
CCc
CCM bila mbeleko ya dola haiwezi kutoboa
 
CCM bado inashika hatamu TZ.Hakuna upinzani wa kumsumbua mgombea yeyote wa CCM.
 
Mama alishasema anajipumzikia kama ni mema ya nchi alishasema amekula
 
Upinzani mumekosa la kujadili.. mmeanza kudakia tena matukio.. 🤣🤣🤣

Kazi iendeleeee...
Cocochannel/connection umerudi karibu tena ulingoni,lakini hebu sema kweli kama tumekosa cha kujadili.Pia usiache kutuambia swahiba yako,Stroke,na Nigrantagranta walipo🤔
 

Sawa kiongozi,ila ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua kuna sehemu amezidiwa kete na wezi wa mali za uma.wengine wanajulikana na wengine hawajulikani!
 
..Samia sio presidential material.

..hana ushawishi na haiba ya kuongoza Tanzania ktk zama hizi.

..pia ameonyesha kuyumba ktk misimamo na mitazamo yake.
Swadakta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…