Uchaguzi 2020 Ukweli ni kwamba CCM tuliiba uchaguzi kishamba

Uchaguzi 2020 Ukweli ni kwamba CCM tuliiba uchaguzi kishamba

Believe me, marehemu hakuwa mentally healthy. Kuna muda alikuwa anakuwa afadhali, kuna wakati hali ilikuwa inakuwa mbaya sana.

"Tuna Rais kichaa. Anaweza kuua, anaweza kuwafunga watu hata bila hatia". Yalikuwa ni maneno kutoka kwa afisa wa juu, ambaye kwa mujibu wa nafasi yake, alilazimika kuwasiliana na marehemu kila siku.
RC??
 
sasa mlikubalije kuibiwa na mshamba!!!
uchaguzi aliiba na mtaibiwa tena 2025,kama mnakubalika jinsi mnavyojidanganya wananchi wataingia barabarani kuwatetea.

vinginevyo endeleeni kulia lia mpaka Yesu arudi.
Mwizi huyo kachukua adhabu ya Mungu. Saa hizi huko Chato minyoo na sisimizi wanajirusha kwenye mabaki ya Mwendazake. Unaiba uchaguzi halafu hutawali zaidi ya siku 110

Wizi aliofanya yeye ulikuwa wa KIBWEGE hauwezi kurudiwa tena mwaka 2025, tutakuwa na Taasisi Imara
 
Ule ulikua ujinga sio uchaguzi.Alafu ujinga uliofanywa na kusimamiwa na watu walioenda shule tena kwa kutumia kiwango kikubwa cha fedha za wananchi zinazokusanywa kwa shida.Badae tunalalamika nchi ni maskini uku tukiwatupia lawama mabeberu.Kumbe ujinga ni wetu wenyewe.
 
Japo hekima ya Mungu siyo wanadamu, lakini hivi kweli Magufuli kwa matendo yote yale kishetani, aione mbingu? Basi jehanamu itakuwa haipo.
Which means watu wote tutaenda mbinguni
 
Mwizi huyo kachukua adhabu ya Mungu. Saa hizi huko Chato minyoo na sisimizi wanajirusha kwenye mabaki ya Mwendazake. Unaiba uchaguzi halafu hutawali zaidi ya siku 110

Mbona naweww utakufa uliwe tu,umemwibia nani??

Wizi aliofanya yeye ulikuwa wa KIBWEGE hauwezi kurudiwa tena mwaka 2025, tutakuwa na Taasisi Imara

Ndio hizi mtadai mkiongozwa na mdude nyagali!!!
 
Jiwe alitumia shithole kabisa. Sasa yuko kwenye hole ya kuzimu. Na wafuasi wake mtateseka sana na Mungu ameamua kuwaadhibu
Mungu kama anaadhibu ccm pekee na wafuasi wa jiwe maalim asingefariki.

Acha unduza manyoya.
 
Wewe mda mwingine uwe unatumia akili tatizo lako unyumbu tu.Hivi kwa akili yako huyo Lisu alikuwa na uwezo wa kumshinda Magufuli? Mda mwingine mpunguze ujuaji kila kitu unajua hata Lisu mwenyewe alijua hatashinda wewe upo hapa unabweka tu hujui kitu.
Kuna ushindi wa namna 3. kushinda,kumshinda na kushindana.hadi hapo wewe ndio unayetakiwa utumie akili alafu ujiulize kilichofanyika kilikua kipi kati ya hivyo 3 maana vyote vina sifa tofauti.
 
Asante kwa taarifa, bila shaka hukuyaona kwa macho bali ni ya kuambiwa kwa vile kwa jinsbi nomjuavyo, sioni utamwibiaje Mbowe au Sugu au Lema, ni watoto wa mjini wale, wahuni wa kupindukia. Can you imagine uibe kura ya Padri Msigwa? Mlishindwa tu, loud and clear, ni matusi ya tundulissu ndo yaliwaharibia mvuto wenu wote. Ndo maana tundulissu alipowaamuru kina Heche waingie barabarani siku ile mezakuu kwenye press conference, wote walimwangalia kwa jicho la huzuni in disbelief.

Sasa na mie nikuambie ya kuambiwa, sina proof, lakini nina imani na walioniambia. Sharrifhamad na CUF hawajawahi kushinda Zanzibar hata siku moja, siku zote ni kura za wizi. Safari hii kamwinyi kakawa macho and there was no contest. Mwingine ambaye inasemekana hajawahi kushinda ni tundulissu kule Iramba: ana sifa ya kuhongahonga Mawakala wa CCM dongenono. Kwa huyu kuna ushahidi wa kibenki na kilugha, watu maaroof.
Mbona hilo liko too obvious..... Ilikuwa ni kazi ya Mahela na Wakurugenzi kwa kufuata maelekezo toka juu.
 
Ndo maana watu wanaona katiba mpya ni kipaumbele kikubwa ili kuondoa sintofahamu hizi........
 
Mkaiba wapinzani 19 kwa kufoji nyaraka.
Mmewaharibia future kwa jamii
 
Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.

Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.

Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.

Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.

Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.

Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia
Acha uongo, wewe mfuasi wa Tundu Lissu
 
Ninaomba majibu. Mbona watu wengi walilia sana hata wengine kufia kwenye kuuaga mwili wake kama vile alikuwa kipenzi cha wengi. Hawakuyaona haya yaliyokuwa yakitendeka katika utawala wake ya ubaya uliopitiliza.
 
Uchaguzi ulitekwa wote, baada ya matokeo ndio mchakato wa kuwanunua Covid 19 ukalazimishwa
 
Back
Top Bottom