Uchaguzi 2020 Ukweli ni kwamba CCM tuliiba uchaguzi kishamba

Uchaguzi 2020 Ukweli ni kwamba CCM tuliiba uchaguzi kishamba

Mbinguni hakuna kuvaa barakoa, atakuwa amepokelewa mbinguni. Na sisi tulio na uhakika wa kufika mbinguni tutafurahi kumkuta mpendwa wetu kule!!
Japo hekima ya Mungu siyo wanadamu, lakini hivi kweli Magufuli kwa matendo yote yale kishetani, aione mbingu? Basi jehanamu itakuwa haipo.
 
Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.

Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile...
Washamba ni nyie mliokataza watu kwenda kujiandikisha
 
Pumbavu tu wala hujui kitu. Kwani hukuona kazi na uongozi wa magufuli jinsi ulivyowagusa waliyo wengi? Yaani watu wa kawaida. Pia hukuona kampeni ya magufuli na ccm? Mbona wenye akili walijua chadema haipati kitu. Hivi ile kampeni ya lissu ndio mlitegemea chadema ishinde? Wewe ni ccm tangu 2011 kama ni kweli. Mimi ni ccm tangu tanu. Ni mtu pragmatic sio mfuata mkumbo...nakwambia chadema ishukuru hata kupata kiti kimoja.
Crap from a poor mind.
 
Mavi ya popo kabsa, Magufuli alikuwa na wasaniii wote, Tiss,pilisi,wakurugenzi,mambango nchi nzima,media zote,convey ya 30 V8, lakini Lissu hana msanii Hana bango, coverage ndogo lakini mziki wake mnaukumbuka
Wewe mda mwingine uwe unatumia akili tatizo lako unyumbu tu.Hivi kwa akili yako huyo Lisu alikuwa na uwezo wa kumshinda Magufuli? Mda mwingine mpunguze ujuaji kila kitu unajua hata Lisu mwenyewe alijua hatashinda wewe upo hapa unabweka tu hujui kitu.
 
Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.

Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.

Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.

Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.

Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.

Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia
2024 uchaguzi serikali za mitaa na 2025 uchaguzi wa raisi wabunge na madiwani ndio mtajua kuwa mliibiwa kura au wananchi wamekuchokeni na usanii wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa alifanya kitu Cha kishamba Sana Aisee daaa Kama nchi tulipotea njia kumwingiza mtu pori jiwe Ikulu
Jk alituponza Sana kizuri hata yeye najua baadae alijilaumu Sana maana jamaa alivyopata madaraka na amelevywa akaona Sasa amekua untouchable akaanza kusema Kuna wastaafu Wana washwa washwa hapo ndio nikajua ama kweli mtu pori Hana shukrani!
Huyo Jk alikufanyia lipi la maana?
 
kwa lile lishetani Lijiwe fomu ungenyanganywa ukishafikisha ofsini hapo hapo na Mashetani wenzie wadogo MaDED wanakana hawajaiona fomu yako. Unakumbuka kile kisanga kilitokea Ubungo na Kibamba??
Yaani acha tu.. Pale Misungwi.. Mgombea wa Chadema alinyang'anywa fomu mbele ya Polisi.. Ukerewe waliua Green guard aliyejaribu kupora fomu
 
Nchi hii tangu tupate uhuru, hatukuwahi kumpata kiongozi wa hovyo, katili, asiye na upeo wala maono, kama Magufuli. Kwa Magufuli kupenya mpaka kuwa Rais, ndiyo inadhirisha ubovu na ulegevu wa CCM.

Sidhani kama itakuja kutokea tena kuwa na mtu kama Magufuli kwenye nafasi yoyote ya uongozi.

Shetani wenzake, kama Sabaya, wanaondolewa taratibu.
 
Believe me, marehemu hakuwa mentally healthy. Kuna muda alikuwa anakuwa afadhali, kuna wakati hali ilikuwa inakuwa mbaya sana.

"Tuna Rais kichaa. Anaweza kuua, anaweza kuwafunga watu hata bila hatia". Yalikuwa ni maneno kutoka kwa afisa wa juu, ambaye kwa mujibu wa nafasi yake, alilazimika kuwasiliana na marehemu kila siku.
 
Binafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.

Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile...
Shujaa alibugi sana hapo. Ni kama enzi za akina Mobuto na Bokasa
 
Ninachofurahi Magufuli CHADEMA bado anaishi mioyoni mwenu mtu ameshafariki miezi Mitatu na ushee na akina hawa vibaraka bado wanamjadili kila uchao,Nimeamini Hayati Magufuli daima ataishi kwenye mioyo ya Watanzania hasa Wazalendo wa kweli
Miezi mitatu mbona ni muda mfupi sana!

Hitler, Musolin, Amin, Bokasa, Nguema, Pinochet, bado wanaongelewa na kukumbukwa kwa maovu yao mpaka leo. Muuaji anaweza kusahaulika kwa haraka?
 
Ninachofurahi Magufuli CHADEMA bado anaishi mioyoni mwenu mtu ameshafariki miezi Mitatu na ushee na akina hawa vibaraka bado wanamjadili kila uchao,Nimeamini Hayati Magufuli daima ataishi kwenye mioyo ya Watanzania hasa Wazalendo wa kweli
hata Hitler anatajwa sababu watu hasa wayahudi wanamkumbuka Kwa uzalendo wake ndio akili za mataga hizo

Bora mama aendelee kuwapa teuzi kina lijualikali kuliko mbumbumbu wa buku Saba!

Shabhash!
 
Miezi mitatu mbona ni muda mfupi sana!

Hitler, Musolin, Amin, Bokasa, Nguema, Pinochet, bado wanaongelewa na kukumbukwa kwa maovu yao mpaka leo. Muuaji anaweza kusahaulika kwa haraka?
wasamehe hao buku Saba akili zao weshikiwa pale Lumumba na ndio maana viongozi wao wanachota mabillion ya pesa
Wao kutwa propaganda Kwa malipo ya buku Saba halafu wanakuja na kelele zao humu

Ndio maana mama anawapuuza na kuwapa teuzi kina lijualikali!
😂😂😂😂
 
Mzee wa kudumu anang'atuka lini hapo ufipa?
 
Back
Top Bottom