RC??Believe me, marehemu hakuwa mentally healthy. Kuna muda alikuwa anakuwa afadhali, kuna wakati hali ilikuwa inakuwa mbaya sana.
"Tuna Rais kichaa. Anaweza kuua, anaweza kuwafunga watu hata bila hatia". Yalikuwa ni maneno kutoka kwa afisa wa juu, ambaye kwa mujibu wa nafasi yake, alilazimika kuwasiliana na marehemu kila siku.
Hana madhara kwa wananchim Ila Jiwe alikuwa na madhara Mungu kamtanguliza akajiunge na mashetani wenzieMzee wa kudumu anang'atuka lini hapo ufipa?
Jiwe ndio nani?Hana madhara kwa wananchim Ila Jiwe alikuwa na madhara Mungu kamtanguliza akajiunge na mashetani wenzie
Yuko kwa majiwe menzake hukoJiwe ndio nani?
Mwizi huyo kachukua adhabu ya Mungu. Saa hizi huko Chato minyoo na sisimizi wanajirusha kwenye mabaki ya Mwendazake. Unaiba uchaguzi halafu hutawali zaidi ya siku 110sasa mlikubalije kuibiwa na mshamba!!!
uchaguzi aliiba na mtaibiwa tena 2025,kama mnakubalika jinsi mnavyojidanganya wananchi wataingia barabarani kuwatetea.
vinginevyo endeleeni kulia lia mpaka Yesu arudi.
Na Fisi ni Fisi tu.
Soma content vzr ya mtoa mada sio kukurupuka tu 🤣🤣🤣
Kwenye chaguzi pk ni wa hovyo kuliko yeyote hapa Africa mashariki.Oktoba 2020 ilioneaha Magufuli ni mshamba sana. hata PK akaamua kuachana naye. Hivi huko kwenu hakuna washauri?
Yule anaishi kwa nguvu ya ARV( USA). Pale alipo asipowaabudu wamarekani hata siku mbili hawezi kumalizaKwenye chaguzi pk ni wa hivyo kuliko yeyote hapa Africa mashariki.
Which means watu wote tutaenda mbinguniJapo hekima ya Mungu siyo wanadamu, lakini hivi kweli Magufuli kwa matendo yote yale kishetani, aione mbingu? Basi jehanamu itakuwa haipo.
Mwizi huyo kachukua adhabu ya Mungu. Saa hizi huko Chato minyoo na sisimizi wanajirusha kwenye mabaki ya Mwendazake. Unaiba uchaguzi halafu hutawali zaidi ya siku 110
Mbona naweww utakufa uliwe tu,umemwibia nani??
Wizi aliofanya yeye ulikuwa wa KIBWEGE hauwezi kurudiwa tena mwaka 2025, tutakuwa na Taasisi Imara
Mungu kama anaadhibu ccm pekee na wafuasi wa jiwe maalim asingefariki.Jiwe alitumia shithole kabisa. Sasa yuko kwenye hole ya kuzimu. Na wafuasi wake mtateseka sana na Mungu ameamua kuwaadhibu
Kuna ushindi wa namna 3. kushinda,kumshinda na kushindana.hadi hapo wewe ndio unayetakiwa utumie akili alafu ujiulize kilichofanyika kilikua kipi kati ya hivyo 3 maana vyote vina sifa tofauti.Wewe mda mwingine uwe unatumia akili tatizo lako unyumbu tu.Hivi kwa akili yako huyo Lisu alikuwa na uwezo wa kumshinda Magufuli? Mda mwingine mpunguze ujuaji kila kitu unajua hata Lisu mwenyewe alijua hatashinda wewe upo hapa unabweka tu hujui kitu.
Mbona hilo liko too obvious..... Ilikuwa ni kazi ya Mahela na Wakurugenzi kwa kufuata maelekezo toka juu.Asante kwa taarifa, bila shaka hukuyaona kwa macho bali ni ya kuambiwa kwa vile kwa jinsbi nomjuavyo, sioni utamwibiaje Mbowe au Sugu au Lema, ni watoto wa mjini wale, wahuni wa kupindukia. Can you imagine uibe kura ya Padri Msigwa? Mlishindwa tu, loud and clear, ni matusi ya tundulissu ndo yaliwaharibia mvuto wenu wote. Ndo maana tundulissu alipowaamuru kina Heche waingie barabarani siku ile mezakuu kwenye press conference, wote walimwangalia kwa jicho la huzuni in disbelief.
Sasa na mie nikuambie ya kuambiwa, sina proof, lakini nina imani na walioniambia. Sharrifhamad na CUF hawajawahi kushinda Zanzibar hata siku moja, siku zote ni kura za wizi. Safari hii kamwinyi kakawa macho and there was no contest. Mwingine ambaye inasemekana hajawahi kushinda ni tundulissu kule Iramba: ana sifa ya kuhongahonga Mawakala wa CCM dongenono. Kwa huyu kuna ushahidi wa kibenki na kilugha, watu maaroof.
sawa mkulima Hivi pembejeo na ruzuku Huwa mnapewa na serikali au kila mtu anakufa kivyakeNilikuambia nahitaji teuzi mm ni mkulima bwana weeeee vp!??!!
Acha uongo, wewe mfuasi wa Tundu LissuBinafsi mie ni CCM toka mwaka 2011.
Kilichotokea mwaka Jana ni aibu tupu, na ushenzi uliopitiliza, hivi inawezekanaje CCM tushide majimbo yote kiasi kile, inawezekanaje Magufuli ashinde kwa kiwango kile.
Ni hivi kila mwaka CCM tunaibaga kura Ila kiakili, mfano tunaiba baadhi ya majimbo, Ila kwenye stronghold za upinzani tunawaachia.
Kilichotokea mwaka Jana ni upumbavu wa hali ya juu, niwaambie kuwa CCM wanaitaji Sana upinzani bungeni, kina Magufuli, Bashiru, polepole na Tiss walivyoshtuka kuwa bunge lazima liwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ndo wakaja kununua hao Covid-19, lakini ilikuwa too late, yaani kwa wizi ule walijipaka kinyesi usoni.
Na watu wengi wa CCM hatukupenda ushenzi ule,, na matokeo yanaonekana wapinzani wamekuwa very strong, wanajenga ofisi nchi nzima na wizi wa mwaka Jana umekuja ku-backfire na Sasa vuguvugu la katiba mpya linazidi kuwa kubwa.
Viongizi wa CCM najua mmejifuza, kutumia manguvu, kununua upinzani na kuiba uchaguzi ni hatari si kwa taifa Bali kwa chama pia