Ukweli ni kwamba Kocha Pitso Mosimane haji Wananchi Day kwasababu ya Yanga SC, bali ni Uswahiba wake mkubwa na CEO Senzo Mbatha

Ukweli ni kwamba Kocha Pitso Mosimane haji Wananchi Day kwasababu ya Yanga SC, bali ni Uswahiba wake mkubwa na CEO Senzo Mbatha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama kawaida yenu ya Kujisifu ( Kujimwambafai ) Kizembe na kupenda Kudanganya Mashabiki wenu Oya Oya ( Washamba ) wengi leo mmedanganya tena kwa kusema Klabu yenu ya Jezi Mbovu na Kituko FC FC inamleta Kocha Pitso Mosimane katika 'Wananchi Day' yenu.

Ukweli ni kwamba CEO Wenu Jezi Mbovu na Kituko FC Senzo Mbatha Mazingisa ndiyo amemualika Swahiba na Home Boy wake mkubwa Kocha Pitso Mosimane kuhudhuria Wananchi Day yenu na hajaalikwa au haletwi na Klabu.

Halafu nyie Jezi Mbovu na Kituko FC kwanini mnapenda sana 'Kujibebisha' kwa Kocha Pitso Mosimane? Sasa kama mnampenda si mumpe tu Ajira ya Ukocha kama mna Msuli wa Kiuchumi ( Kipesa ) wa Kumlipa na muachane na Kocha Nasredine Mohammed Nabi na yule Msaidizi wenu mbana Pua ambaye anajifanya hajui Kiswahili ila akiwa anawatongoza Waandishi wa Habari wa Kike huwa anaongea vyema tu Kiswahili na anakipatia kweli kweli kuliko hata akiwa anafanya Pre and Post Interviews na Media za hapo Dar es Salaam Tanzania.
 
Tazama muonekano wa 50 cents kama angezaliwa Africa
 

Attachments

  • FB_IMG_16591247628805045.jpg
    FB_IMG_16591247628805045.jpg
    25.6 KB · Views: 11
Kama kawaida yenu ya Kujisifu ( Kujimwambafai ) Kizembe na kupenda Kudanganya Mashabiki wenu Oya Oya ( Washamba ) wengi leo mmedanganya tena kwa kusema Klabu yenu ya Jezi Mbovu na Kituko FC FC inamleta Kocha Pitso Mosimane katika 'Wananchi Day' yenu.

Ukweli ni kwamba CEO Wenu Jezi Mbovu na Kituko FC Senzo Mbatha Mazingisa ndiyo amemualika Swahiba na Home Boy wake mkubwa Kocha Pitso Mosimane kuhudhuria Wananchi Day yenu na hajaalikwa au haletwi na Klabu.

Halafu nyie Jezi Mbovu na Kituko FC kwanini mnapenda sana 'Kujibebisha' kwa Kocha Pitso Mosimane? Sasa kama mnampenda si mumpe tu Ajira ya Ukocha kama mna Msuli wa Kiuchumi ( Kipesa ) wa Kumlipa na muachane na 'Basha' wenu wa Kiarabu Kocha Nasredine Mohammed Nabi na yule Msaidizi wenu mbana Pua 'Nikaze' ambaye anajifanya hajui Kiswahili ila akiwa anawatongoza Waandishi wa Habari wa Kike ili wamzawadie 'Mbunye' zao huwa anaongea vyema tu Kiswahili na anakipatia kweli kweli kuliko hata akiwa anafanya Pre and Post Interviews na Media za hapo Dar es Salaam Tanzania.
We kalio, inshu ya Pitso kuja wananchi day ilianzia twitter ambapo Rais Hersi alimtakia heri ya kuzaliwa Pitso kwa kuchelewa(belated), Pitso akajibu heri ile ndipo Rais akatumia ule mwanya kumualila siku ya wananchi.Hayo ya Senzo ni upumbavu wako uliokubuhu.
 
Kama kawaida yenu ya Kujisifu ( Kujimwambafai ) Kizembe na kupenda Kudanganya Mashabiki wenu Oya Oya ( Washamba ) wengi leo mmedanganya tena kwa kusema Klabu yenu ya Jezi Mbovu na Kituko FC FC inamleta Kocha Pitso Mosimane katika 'Wananchi Day' yenu.

Ukweli ni kwamba CEO Wenu Jezi Mbovu na Kituko FC Senzo Mbatha Mazingisa ndiyo amemualika Swahiba na Home Boy wake mkubwa Kocha Pitso Mosimane kuhudhuria Wananchi Day yenu na hajaalikwa au haletwi na Klabu.

Halafu nyie Jezi Mbovu na Kituko FC kwanini mnapenda sana 'Kujibebisha' kwa Kocha Pitso Mosimane? Sasa kama mnampenda si mumpe tu Ajira ya Ukocha kama mna Msuli wa Kiuchumi ( Kipesa ) wa Kumlipa na muachane na Kocha Nasredine Mohammed Nabi na yule Msaidizi wenu mbana Pua ambaye anajifanya hajui Kiswahili ila akiwa anawatongoza Waandishi wa Habari wa Kike huwa anaongea vyema tu Kiswahili na anakipatia kweli kweli kuliko hata akiwa anafanya Pre and Post Interviews na Media za hapo Dar es Salaam Tanzania.
Kichwa mavi tupu

Unahangaika na yanga badala ya kuhangaika na farao huko

Intalahamwe weee
 
We kalio, inshu ya Pitso kuja wananchi day ilianzia twitter ambapo Rais Hersi alimtakia heri ya kuzaliwa Pitso kwa kuchelewa(belated), Pitso akajibu heri ile ndipo Rais akatumia ule mwanya kumualila siku ya wananchi.Hayo ya Senzo ni upumbavu wako uliokubuhu.
huyo Zamwamwa achana nae

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
We kalio, inshu ya Pitso kuja wananchi day ilianzia twitter ambapo Rais Hersi alimtakia heri ya kuzaliwa Pitso kwa kuchelewa(belated), Pitso akajibu heri ile ndipo Rais akatumia ule mwanya kumualila siku ya wananchi.Hayo ya Senzo ni upumbavu wako uliokubuhu.
Sawa 'Danga' la Injinia Hersi Said nimekupata.
 
Kama kawaida yenu ya Kujisifu ( Kujimwambafai ) Kizembe na kupenda Kudanganya Mashabiki wenu Oya Oya ( Washamba ) wengi leo mmedanganya tena kwa kusema Klabu yenu ya Jezi Mbovu na Kituko FC FC inamleta Kocha Pitso Mosimane katika 'Wananchi Day' yenu.

Ukweli ni kwamba CEO Wenu Jezi Mbovu na Kituko FC Senzo Mbatha Mazingisa ndiyo amemualika Swahiba na Home Boy wake mkubwa Kocha Pitso Mosimane kuhudhuria Wananchi Day yenu na hajaalikwa au haletwi na Klabu.

Halafu nyie Jezi Mbovu na Kituko FC kwanini mnapenda sana 'Kujibebisha' kwa Kocha Pitso Mosimane? Sasa kama mnampenda si mumpe tu Ajira ya Ukocha kama mna Msuli wa Kiuchumi ( Kipesa ) wa Kumlipa na muachane na Kocha Nasredine Mohammed Nabi na yule Msaidizi wenu mbana Pua ambaye anajifanya hajui Kiswahili ila akiwa anawatongoza Waandishi wa Habari wa Kike huwa anaongea vyema tu Kiswahili na anakipatia kweli kweli kuliko hata akiwa anafanya Pre and Post Interviews na Media za hapo Dar es Salaam Tanzania.
Hivi ule ugonjwa wa kutokunya umeutibu kweli?
 
Kama kawaida yenu ya Kujisifu ( Kujimwambafai ) Kizembe na kupenda Kudanganya Mashabiki wenu Oya Oya ( Washamba ) wengi leo mmedanganya tena kwa kusema Klabu yenu ya Jezi Mbovu na Kituko FC FC inamleta Kocha Pitso Mosimane katika 'Wananchi Day' yenu.

Ukweli ni kwamba CEO Wenu Jezi Mbovu na Kituko FC Senzo Mbatha Mazingisa ndiyo amemualika Swahiba na Home Boy wake mkubwa Kocha Pitso Mosimane kuhudhuria Wananchi Day yenu na hajaalikwa au haletwi na Klabu.

Halafu nyie Jezi Mbovu na Kituko FC kwanini mnapenda sana 'Kujibebisha' kwa Kocha Pitso Mosimane? Sasa kama mnampenda si mumpe tu Ajira ya Ukocha kama mna Msuli wa Kiuchumi ( Kipesa ) wa Kumlipa na muachane na Kocha Nasredine Mohammed Nabi na yule Msaidizi wenu mbana Pua ambaye anajifanya hajui Kiswahili ila akiwa anawatongoza Waandishi wa Habari wa Kike huwa anaongea vyema tu Kiswahili na anakipatia kweli kweli kuliko hata akiwa anafanya Pre and Post Interviews na Media za hapo Dar es Salaam Tanzania.
Hivi ule ugonjwa wa kutokunya umeutibu kweli?
 
Back
Top Bottom