Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Wewe umejuaje kama hawajapewa hiyo kazi maalumu?Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Unawapenda?Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Maisha ni kupanda na kushuka⛷️Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Sasa wao ujinga wao ni upi??na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Kama kulikuwa na umuhimu wakutangaza watapewa,kwanini isitangazwe wameshapewa?Think deep bro.Wewe umejuaje kama hawajapewa hiyo kazi maalumu?
Kazi maalum hazitangazwi hazarani. Wako kazini as of nowKwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Asante kwa taarifaKwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Walipata nafasi wakaingiza mapanga🤣🤣na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Wenye Akili tulisema kuwa Waliondolewa kwakuwa walikuwa ni Team Hayati Magufuli na wangeachwa Serikalini wangeweza kutumika Kumkwamisha Mama yenu kwa Kutumika na Kundi lao lililokuwa nyuma yao hamkutuelewa.Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Huwenda huyu mama hawangoi pro magufuli bali potential contestants ambao wangepose risk kwakena wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
... hawakuzaliwa kuwa mawaziri anyway.na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo