Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Tatizo ukiwa mkubwa sehemu,simu zinadukuliwa sana,mama na chawa wake wanawajua hawa watu vilivyo.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Yani Aidan na elimu yote ile anakubali kufutwa Kazi kizembeeee?
 
Utafanyaje kazi na mtu anamuita binadamu mwenzie mungu
Na mwingine yale aliyoyaropoka akiwa kanisani
Wacha wakalime
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Haku taka Lukuvi ashtuke agombee uspika. Lukuvi kuwa spika inge mletea shida.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Usisahau mkoa wetu wa pwani una mawaziri watano
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Maza kaamua kuwaacha anaoweza kuwamudu!
 
sasa wanatakiwa kutengeneza uasi ndani ya CCM
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Ndio wanefutwa so what?
 
Mkuu wewe umeajuaje hawaendi tena ofisin? Umewaona wanacheza bao mtaani?

#Maendeleo hayana Chama.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Tatizo la wazenj ni uswazi mwingi! Aliwaweka pembeni ili spika wake apatikane!
 
na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo

Kwani mandate ya kuteua waziri au naibu si ni ya raisi mwenyewe? Waliachwa kiungwana tuuu hao,kwa sababu ya utu uzima wao,isingekuwa sawa kuwacha the same way kama akina Kitila na waitara.Ila hakuna jipya hapo,sema ukiachwa achika,fanya mengine. Huwezi kuwa mbunge halafu ukawa na kazi maalumu ya raisi,kazi ipi? zaidi ya uwaziri na unaibu ambayo mbunge anaweza pewa na mkuu wa nchi na kuendelea kubaki mbunge.labda tupeane uzoefu,je kufanya hivyo si ni kuvunja katiba .
 
na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Sasa mkuu ulitaka wapigane baada ya kufutwa kwa uwazir wao?? Lazima uheshimu maamuz ya mamlaka kama walivyofanya na c vinginevyo!!
 
na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Unawalaumu kwani waliombwa? Si anamamlka hayo aliyewatoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetaka kuwekwa pembeni ni Lukuvi ili awaachie vijana (wachapa kazi) kiti.
Kalamaganda is a spent force, Hana madhara akiwapo au asiwemo.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Walikuwa wapewe kazi maalum pengine ya uchawa wa kikubwa Lakini system ikawakataa kwakuwa hata kwenye katiba hakuna hizo nafasi
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Umefikia wapi na Umoja Party?

Umesharudi toka Kigali ulipoenda kufungua ofisi ndogo ya umoja party?
 
Back
Top Bottom