Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Hebu tulieni waacheni hao wazee wale pension yao sie tunazindua Royal tour... Dahh kuongozwa na mzenji kazi kweli kweli hii ni kazi ya waziri wa utalii mama kaingia mzima mzima matokeo yake anakaribishwa na mayor.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Toka nipo primary Lukuvi Lukuvi wacha akae nje nchi yenu ina watu karibu milioni 60 bado mnababaika na lukuv hana mawazo mbadala zaidi ya kuitakia Zanzibar mabaya iendelee kukaliwa kijeshi ni Tanganyika
 
Ila wale si wabunge!
Mbona kule pia hawaonekani?
Wananchi wa Isimani na Kilosa wanawakilishwa na nani?
Ule wembe unaokata watu flani flani---mbona huku ni butu?
 
Watawala huwa wana kauli zao dhidi ya wanaotenguliwa kwenye teuzi. Ni kama tu yule mzee alivyokuwa akisema "watapangiwa kazi nyingine". Ni ustaha tu flani kwamba wasijisikie vibaya sana.


JESUS IS LORD
 
Mmoja ni Mwenyekiti wa umoja party na mwingine ni katibu.
 
na wao ni wajinga, yaani SSH aliwa zuga eti atawapa 'kazi nyingine' na wao wakamwamini na kuingia cha kike, nyuma ya pazia dhamira ya ya mama ilikuwa ni kuwang'oa madarakani ma- 'pro magufuli', adi sasa wanaweza wasiamini masikio yao lakini ndiyo imetoka hiyoo
Watu waliojiaminisha kuwa na madaraka kudanganywa ni rahisi sana. Kuna uzi humu uliwataka wale wote ambao walikuwa ama mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na nyadhifa zingine walitakiwa wajiuzulu nafasi hizo kuonesha kutoridhika na utawala ulipo lakini walishupaza shingo wakakimbilia asali feki na kikundi kilichopo sasa kimekusudia kuwapoteza moja kwa moja .

Tanzania itachukua sio chini ya miaka kumi kumpata mtu kama JPM tena walipo ni waoga, hawako tayari kupoteza kazi au maisha kwa sababu za kilaghai
 
Ni muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
 
Kweli unataka kujua walipo ?

20211126_213851.jpg
 
Walipigwa na kitu kizito chenye ncha Kali.
Signature moja tu mtu unarudi jimboni, na usitegemee kupata ubunge Tena.
 
Back
Top Bottom