Nilimwona Lukuvi kwenye royo tua dasalamNi muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimwona Lukuvi kwenye royo tua dasalamNi muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Wote kutokana na kuwa Kwao na ukaribu na Hayati Rais Dkt. Magufuli wameshatupwa mazima Jalalani japo Kinafiki kabisa Watanzania mnaambiwa kuwa Wanatumika na Actress wenu wa Zanzibar katika Kazi zake fulani fulani.Ni muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Maswali ya kijinga kabisaNi muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Wote kutokana na kuwa Kwao na ukaribu na Hayati Rais Dkt. Magufuli wameshatupwa mazima Jalalani japo Kinafiki kabisa Watanzania mnaambiwa kuwa Wanatumika na Actress wenu wa Zanzibar katika Kazi zake fulani fulani.
Wako Mjengoni na Mstaafu wanawapigania Wapiga kura wao Maisha boraNi muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Wa kukabiliana na Uwendawazimu wako.Ukaribu upi?
Wazee waking'olewa serikalini huwa nafanya Sherehe! haya mazee ndo yanaturudisha nyuma akili iko jioni kabisa!Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!
Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.
Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!
Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.