Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa Uwaziri

Ni muda mrefu sijawasikia hawa Waheshimiwa. Je wako wapi na wana wadhifa gani?.
Wote kutokana na kuwa Kwao na ukaribu na Hayati Rais Dkt. Magufuli wameshatupwa mazima Jalalani japo Kinafiki kabisa Watanzania mnaambiwa kuwa Wanatumika na Actress wenu wa Zanzibar katika Kazi zake fulani fulani.
 
Wote kutokana na kuwa Kwao na ukaribu na Hayati Rais Dkt. Magufuli wameshatupwa mazima Jalalani japo Kinafiki kabisa Watanzania mnaambiwa kuwa Wanatumika na Actress wenu wa Zanzibar katika Kazi zake fulani fulani.

Ukaribu upi?
 
Wakati wao uliisha, wa jalalani karudi kilosa anatoa macho na kiswahili chake cha kenda haamini kitu kizito kilichombwengua.
 
Kwa nini Samia hakutaka kuwa wazi tu kuwahusu hao jamaa na kuamua kutudanganya eti watapewa kazi maalum ilihali sivyo?!

Ukweli humweka mtu huru na kwalo Samia ingetosha alipowateua wengine na kuwaacha kina Lukuvi na wenzake angekaa kimya na kuendelea na hamsini zake.

Hilo la Lukuvi na Kabudi kufanya kazi maalum ni uongo wa mchana kweupe!

Ukweli ni kwamba Lukuvi na Kabudi walifutwa kazi ya uwaziri na si vinginevyo.
Wazee waking'olewa serikalini huwa nafanya Sherehe! haya mazee ndo yanaturudisha nyuma akili iko jioni kabisa!
 
Lukuvi angewazuia kwenye utoaji vibali uporaji ardhi yetu, thus wamemtoa wamemsogeza mtoto wa mlamba asali azoee ofisini,
 
Back
Top Bottom